Naona Kula Mgahawani ni nafuu kuliko kupika kwa mtu mmoja

Heri yako unayekula 3000, mimi lunch yangu inarange 7000 hadi 10000, diner the same, niwekee huo mchanganuo tuone kipi afadhali
 
MIMI NILISHAWAHI FANYA MAHESABU HAYO,NILIKUWA NA FRIDGE PIA,,,NIKAPIKA THE FIRST WEEK,NIKAONA GHARAMA ZINAONGEZEKA KWA MARA MBILI NA CHUMBA KINAKUWA KICHAFU( KUTOKUOSHA VYOMBO KWA WAKATI MPKA KESHO YAKE)...NIKAJIONGEZA NIKATAFUTA MAMA NTILIE ANAYEPIKA VIZURI NIKAMPATA,BASI CHUMBA CHANGU KIKAPONA,MIMI NI MTU WA KUSOMA VITABU NA KUFANYA PROJECT ZANGU JIONI KWAIO MUDA WANGU UKAWA UMEPONA....NATHAMINI AFYA YANGU LAKINI PIA MUDA NAUTHAMINI ....teh teh All hail to Mama nitilie's in the City.
 
elfu 60 kwa siku unalisha hekalu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

kupika ni kazi sana usumbuf mkubwa niuonao ni ukijuwa naenda kupika lazima uwahi kufika nyumbani, mambo ni mengi kwenye kupika utayarishe mchele kama ni kudondoa chua siju vyombo kijiko kiko wapi, chumvi, umenye vitunguu, nyanya wakati haya yako jikoni lazima usimamie then mimi nilichogundua chakula nilichopika mimi sikioni kitamu mpaka kipikwe na mtu mwengine.

nikiwaza hayo tu nagairisha kupika naenda kununua zege la chipsi mayai na juic kaz kwisha.
 
Heri yako unayekula 3000, mimi lunch yangu inarange 7000 hadi 10000, diner the same, niwekee huo mchanganuo tuone kipi afadhali
Mkuu,
Nilikuwa na matumizi makubwa sana, kwa siku nilikuwa napindua 20k kwenye misos tu, hujaweka mafuta..
Nikaona hii balaa, nikaamua kujiunga na Saccos moja ya serikali, ili wawe wananikata kiasi fulan kila mwezi,

Kiukweli baada ya kuweka limit, nikaweza kujishape kwa 12k kwa siku na ninampango wa kufika 10k.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ubwege ww hivi nyanya za hiyo bei unapikia kw siku moja huo ni ufala na sifa za kijinga, hivi kweli hoho za bei hiyo tajwa unapika kwa siku moja labda kama akili yako ni ya pumbavu acha ujinga bana ww huna unalojua acha ufala
 
Hyo saccoss wanapika chakula?
 
Kibachela buku tu inatosha.

Hua nazungusha kiugali changu unga robo 200. Napika kwa kerosine stove (jiko la mchina). Mafuta koroboi 2 150 jumla 300. Yanatosha kuivisha ugali.

Mboga: Nachukua na dagaa mchele wa kulumagia. Japo fungu ni buku niliingia MoU na Mama Chuki awe ananiuzia nusu fungu yaani 500 na kila siku nanunua kwake tu

Sipakui ugali nakula kwenye sufuria tu na dagaa nakula kwenye gazeti lake. Kwahyo kazi yangu ni kuosha sufuria na mwiko tu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha kwa hiyo ww kila siku unakula nguna na dagaa mchele tu??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kuendekeza umasikin, mwili haujengwi kwa matofali utazeeka siku siyo zako ipende afya yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…