ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Njooheeee kwani hizo hela mnapata wapi tugaieni na sie
wapi huko wanako gawa helaNjoo
Mangungu KATISHA ATATOA HELA YA USAJILI BILIONI TATUMangungu: Nitatoa pesa za usajili Kwa maslahi mapana ya timu
20000 tu duh pole sana anyway hela ya serikali ngumu kuila Mpaka uikute imewekwa na mfumo unakutambuaNi kweli mkuu muda huu nimepata elfu ishirini.
Ila si zitarudi mitaani watu watapata wafanyabishara na wajasiriamali na mafundiMorogoro yote inakutanisha watumishi wa serikali kutafuna makombo ya kodi za walala hoi
Yeah ila siku hizi hela huwa hazirudi hazina ila basi tuMwaka wa fedha umeisha mnagawana tu sasa
Unapewa na binadamu wenzako wanaotaka kutoa toa ili ziishe watafute nyingineheeee kwani hizo hela mnapata wapi tugaieni na sie
Ewe kiumbe wa allah, usipende pesa usizotolea jasho, utanajisika kwa kuzilipa kwa njia ya zinaa. Mgeukie mola na ujifunze kuweka stara kwa haibabya kike, ficha hiyo tupu yako ya mbele na ya nyuma uache kunajisi vijana.heeee kwani hizo hela mnapata wapi tugaieni na sie