FaizaFixy
Member
- Jun 11, 2024
- 77
- 105
Mfumo wa ubatili ni machukizo kwa molah. Mtazilipa hizo pesa kwa machozi jasho naa damu kwakua mmechagua njia kinyume na allah20000 tu duh pole sana anyway hela ya serikali ngumu kuila Mpaka uikute imewekwa na mfumo unakutambua