Naona kuna wimbi la wasusiaji wa CHADEMA hasa wale wanaharakati kwasababu wanataka Lissu awe mwenyekiti

Naona kuna wimbi la wasusiaji wa CHADEMA hasa wale wanaharakati kwasababu wanataka Lissu awe mwenyekiti

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Naona kuna wimbi la wasusiaji wa Chadema hasa wale wanaharakati kwasababu wanataka Lissu awe mwenyekiti.

Hata mimi nafikiri ni wakati Lissu angetakiwa kuwa mwenyekiti lakini tupiganie sababu za kutaka Lissu awe mwenyekiti.

Tupiganie midahalo na kuelimishana sio kuzuia midahalo. Elimu ipatikane kwa safari hii sio kwasababu tunamtaka mtu turuke kila kitu na kususia.

Soma Pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

Hatuwezi kuwa watu wa demokrasia na kushangaa majibizano. Lissu anajua anawatu wengi nje ya CHADEMA zaidi ya ndani lakini anataka majadiliano ya wazi ili watu wajue ni njia gani Tanzania inatakiwa kuwa.

Kwasasa CHADEMA haitaweza kuwa ile ya zamani Hata Lissu hii itamfanya awe mvumilivu zaidi ajue nani rafiki yake na kuwa makini na watu wapenda madaraka kama Msigwa.
 
Kama Lissu anakubakika ndani ya CDM tatizo lipo wapi? atakuwa mwenyekiti ni suala la muda tu baada ya kura kuhesabiwa.
Lissu asiogope Mbowe kuchukua form, hiyo ndiyo demokrasia ya chama kwa vitendo.
 
Screenshot_20241222-211844.png
 
Meli ndo kwanza inakata mawimbi wenye mioyomidogo wameanza KUJIRUSHA majini .....wagumu tuko juu ya Meli huu ndo muda wa kuchakata MAKAPI mapambano yanayokuja Niroho Ngumu tuu ZINATAKIWA
 
Naona kuna wimbi la wasusiaji wa Chadema hasa wale wanaharakati kwasababu wanataka Lissu awe mwenyekiti.

Hata mimi nafikiri ni wakati Lissu angetakiwa kuwa mwenyekiti lakini tupiganie sababu za kutaka Lissu awe mwenyekiti.

Tupiganie midahalo na kuelimishana sio kuzuia midahalo. Elimu ipatikane kwa safari hii sio kwasababu tunamtaka mtu turuke kila kitu na kususia.

Soma Pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

Hatuwezi kuwa watu wa demokrasia na kushangaa majibizano. Lissu anajua anawatu wengi nje ya CHADEMA zaidi ya ndani lakini anataka majadiliano ya wazi ili watu wajue ni njia gani Tanzania inatakiwa kuwa.

Kwasasa CHADEMA haitaweza kuwa ile ya zamani Hata Lissu hii itamfanya awe mvumilivu zaidi ajue nani rafiki yake na kuwa makini na watu wapenda madaraka kama Msigwa.
Lissie ametusaidia kuwajua matapeli na wanafiki wa cdm ambao miaka mingi tulidhani ni wapinzani kumbe ni wajasiliamali

Nadhani kwa Hali na mazingira yalivyo lissu hana usongo na uwenyekiti, ila anataka ku expose nyufa zilizo ndani ya jumba lao

Ili wenye nyumba wazizibe

Sasa wenye nyumba waanza vita vya wenyewe badala ya kuziba nyufa


Tukubali tunahitaji kuwa na wagombea binafsi
 
Naona kuna wimbi la wasusiaji wa Chadema hasa wale wanaharakati kwasababu wanataka Lissu awe mwenyekiti.

Hata mimi nafikiri ni wakati Lissu angetakiwa kuwa mwenyekiti lakini tupiganie sababu za kutaka Lissu awe mwenyekiti.

Tupiganie midahalo na kuelimishana sio kuzuia midahalo. Elimu ipatikane kwa safari hii sio kwasababu tunamtaka mtu turuke kila kitu na kususia.

Soma Pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

Hatuwezi kuwa watu wa demokrasia na kushangaa majibizano. Lissu anajua anawatu wengi nje ya CHADEMA zaidi ya ndani lakini anataka majadiliano ya wazi ili watu wajue ni njia gani Tanzania inatakiwa kuwa.

Kwasasa CHADEMA haitaweza kuwa ile ya zamani Hata Lissu hii itamfanya awe mvumilivu zaidi ajue nani rafiki yake na kuwa makini na watu wapenda madaraka kama Msigwa.
Watanzania akili mbovu xana.
 
Kama Lissu anakubakika ndani ya CDM tatizo lipo wapi? atakuwa mwenyekiti ni suala la muda tu baada ya kura kuhesabiwa.
Lissu asiogope Mbowe kuchukua form, hiyo ndiyo demokrasia ya chama kwa vitendo.
Mbowe hawezi kukubali ashindwa anajua fika itakuwa ni aibu kwake kwahiyo anaweza kucheza rafu.
 
Naona kuna wimbi la wasusiaji wa Chadema hasa wale wanaharakati kwasababu wanataka Lissu awe mwenyekiti.

Hata mimi nafikiri ni wakati Lissu angetakiwa kuwa mwenyekiti lakini tupiganie sababu za kutaka Lissu awe mwenyekiti.

Tupiganie midahalo na kuelimishana sio kuzuia midahalo. Elimu ipatikane kwa safari hii sio kwasababu tunamtaka mtu turuke kila kitu na kususia.

Soma Pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

Hatuwezi kuwa watu wa demokrasia na kushangaa majibizano. Lissu anajua anawatu wengi nje ya CHADEMA zaidi ya ndani lakini anataka majadiliano ya wazi ili watu wajue ni njia gani Tanzania inatakiwa kuwa.

Kwasasa CHADEMA haitaweza kuwa ile ya zamani Hata Lissu hii itamfanya awe mvumilivu zaidi ajue nani rafiki yake na kuwa makini na watu wapenda madaraka kama Msigwa.
Kwa maoni yangu, yake yale wanayopinga kwa Mbowe ni hayo hayo wanayofanya kwa Tundu Lissu. Yaani mapenzi Kwa Lissu yamekuwa so overwhelming kwamba wanaodhani is "the only saviour". Wakati ule wa Dk Slaa hata mimi nilidhani asingepatikana mpambanaji mwingine kama yeye. Lakini akapatikana Tundu Lissu. Na hata kama hatakuwa mwenyekiti (kama ikitokea hivyo) kwani ndiyo mwisho wa kupambana? Mbona amekuwa akipambana bila kuwa mwenyekiti na watu wengi wana'appreciate' mchango wake? Naona wapambe wake walitamani sana asiwe na mpinzani (apite bila kupingwa), na wame'blow' kama ambavyo huwa tunasema.
 
Naona kuna wimbi la wasusiaji wa Chadema hasa wale wanaharakati kwasababu wanataka Lissu awe mwenyekiti.

Hata mimi nafikiri ni wakati Lissu angetakiwa kuwa mwenyekiti lakini tupiganie sababu za kutaka Lissu awe mwenyekiti.

Tupiganie midahalo na kuelimishana sio kuzuia midahalo. Elimu ipatikane kwa safari hii sio kwasababu tunamtaka mtu turuke kila kitu na kususia.

Soma Pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

Hatuwezi kuwa watu wa demokrasia na kushangaa majibizano. Lissu anajua anawatu wengi nje ya CHADEMA zaidi ya ndani lakini anataka majadiliano ya wazi ili watu wajue ni njia gani Tanzania inatakiwa kuwa.

Kwasasa CHADEMA haitaweza kuwa ile ya zamani Hata Lissu hii itamfanya awe mvumilivu zaidi ajue nani rafiki yake na kuwa makini na watu wapenda madaraka kama Msigwa.
Msigwa anatukanwa bure, ubaambiwa amevumilia vita vingi ndani ya Chadema, kuna wakati mtu uvumilivu unakushinda.
Tumekuwa wepesi kuwatuhumu na kuwatukana watu wakiikimbia chadema lkn sasa tuwaombe radhi
 
Back
Top Bottom