Naona Maulid Kitenge na Wasafi FM ulikohamia rasmi mmeshaanza ‘ kuchemsha ‘ mapema tu

Naona Maulid Kitenge na Wasafi FM ulikohamia rasmi mmeshaanza ‘ kuchemsha ‘ mapema tu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tokea Siku ya Alhamisi iliyopita tena katika Kurasa zako mbalimbali za Mitandao Wewe Maulid Kitenge na mpaka Jana Usiku ulikuwa ‘ ukituhimiza ‘ kuwa Sisi Wapenzi wa Michezo vya Redio hasa vile ambavyo huwa unaviendesha Wewe tusikose na wala tusithubutu ‘ Kubanduka ‘ katika 88.9 Wasafi fm kwani Kuanzia Saa 2 Kamili asubuhi hadi Saa 5 Kamili asubuhi utakuwa ‘ unazindua ‘ hicho Kipindi chako Kipya cha ‘ Sports Arena ‘ lakini cha Kusikitisha hadi hivi sasa Saa 2 hii na Robo Kipindi hakijaanza na nasikia tu Kipindi sijui cha Jogoo na ‘ Upuuzi ‘ mwingine.

Sasa nimeamini rasmi kuwa duniani kote anayejua kwenda na muda, ahadi na kuheshimu Ratiba zake na huwa hakosei ni Mzungu tu peke yake. Kama Siku zingine mkiwa mnajua kabisa kuwa hamna huo ‘ Ustaarabu ‘ walionao Wazungu basi msiwe ‘ mnajitutumua ‘ kujifanya nanyi mnauweza ‘ Ustaarabu ‘ Wao.

Hakuna Kitu ambacho nakichukia kama ‘ Uswahili Uswahili ‘ na ‘ Uwongo ‘ au Mtu kutotimiza ‘ Ahadi ‘ yake. Hata kabla ya Kipindi chako tu Kuanza tayari ‘ umeshanikwaza ‘ na sasa nadhani nitaendelea tu Kusikiliza Kipindi cha ‘ Sports Headquarters ‘ ambacho naona kina ‘ Ustaarabu ‘ na Watu makini na siyo huu ‘ Upuuzi ‘ wako wa Kutuambia tukutegee Masikio Saa 2 hii halafu mnatupigia tu miziki yenu. Hovyo kabisa!

Kwanza hata Li ' Redio ' lenyewe halisikiki vizuri kwani ' Frequency ' yake nayo ni mpaka ukae sehemu nzuri au uipindue pindue Redio au uiweke chini ya Uvungu kama si Dirishani ndipo unaishika vizuri vinginevyo utabaki kusikia Makelele tu. Efm au Clouds fm au Magic fm ambazo zote zina Vipindi vizuri kabisa vya Michezo havina hili tatizo na huu ' Upuuzi ' hivyo kwa dalili hii mpaka unaona GENTAMYCINE ' nimekwazika ' hivi tayari ' Nuksi ' imeshaanza na sijui kama hata Wasikilizaji nao mtawapata wengi. Yaani naamka mapema Kujiandaa Kusikiliza Kipindi cha Michezo nakutana na Kipindi kinaongelea Kuku kwahiyo umeambiwa / mmeambiwa Sisi Wasikilizaji wenu / wako mliotuambia tusikose Kusikiliza Kipindi leo ni Kuku?
 
Bado wanapiga muziki wao tu mpaka saiz saa 08:35,naisikia "Mc Muga" ya Ally Kiba hapa,wameniboa Sana Hawa jamaa
 
Wanazingua kama hawakujipanga wasingeweka watu na tension kubwa.
 
Tokea Siku ya Alhamisi iliyopita tena katika Kurasa zako mbalimbali za Mitandao Wewe Maulid Kitenge na mpaka Jana Usiku ulikuwa ‘ ukituhimiza ‘ kuwa Sisi Wapenzi wa Michezo vya Redio hasa vile ambavyo huwa unaviendesha Wewe tusikose na wala tusithubutu ‘ Kubanduka ‘ katika 88.9 Wasafi fm kwani Kuanzia Saa 2 Kamili asubuhi hadi Saa 5 Kamili asubuhi utakuwa ‘ unazindua ‘ hicho Kipindi chako Kipya cha ‘ Sports Arena ‘ lakini cha Kusikitisha hadi hivi sasa Saa 2 hii na Robo Kipindi hakijaanza na nasikia tu Kipindi sijui cha Jogoo na ‘ Upuuzi ‘ mwingine.

Sasa nimeamini rasmi kuwa duniani kote anayejua kwenda na muda, ahadi na kuheshimu Ratiba zake na huwa hakosei ni Mzungu tu peke yake. Kama Siku zingine mkiwa mnajua kabisa kuwa hamna huo ‘ Ustaarabu ‘ walionao Wazungu basi msiwe ‘ mnajitutumua ‘ kujifanya nanyi mnauweza ‘ Ustaarabu ‘ Wao.

Hakuna Kitu ambacho nakichukia kama ‘ Uswahili Uswahili ‘ na ‘ Uwongo ‘ au Mtu kutotimiza ‘ Ahadi ‘ yake. Hata kabla ya Kipindi chako tu Kuanza tayari ‘ umeshanikwaza ‘ na sasa nadhani nitaendelea tu Kusikiliza Kipindi cha ‘ Sports Headquarters ‘ ambacho naona kina ‘ Ustaarabu ‘ na Watu makini na siyo huu ‘ Upuuzi ‘ wako wa Kutuambia tukutegee Masikio Saa 2 hii halafu mnatupigia tu miziki yenu. Hovyo kabisa!

Kwanza hata Li ' Redio ' lenyewe halisikiki vizuri kwani ' Frequency ' yake nayo ni mpaka ukae sehemu nzuri au uipindue pindue Redio au uiweke chini ya Uvungu kama si Dirishani ndipo unaishika vizuri vinginevyo utabaki kusikia Makelele tu. Efm au Clouds fm au Magic fm ambazo zote zina Vipindi vizuri kabisa vya Michezo havina hili tatizo na huu ' Upuuzi ' hivyo kwa dalili hii mpaka unaona GENTAMYCINE ' nimekwazika ' hivi tayari ' Nuksi ' imeshaanza na sijui kama hata Wasikilizaji nao mtawapata wengi. Yaani naamka mapema Kujiandaa Kusikiliza Kipindi cha Michezo nakutana na Kipindi kinaongelea Kuku kwahiyo umeambiwa / mmeambiwa Sisi Wasikilizaji wenu / wako mliotuambia tusikose Kusikiliza Kipindi leo ni Kuku?
mswahili ni yule hata akose kampani vipi,,sehemu yoyote hawezi kwenda na muda
 
saa mbili asubuhi unapata muda wa kusikiliza radio..shughuli zako za kukuingizia kipato unazifanya saa ngapi au huna kazi za kufanya?

Tokea nizaliwe hadi leo hii nipo Mkubwa hivi Kula yangu au Ustawi wangu mzima wa Kimaisha ulikuwa unakutegemea ' Mpumbavu ' Wewe? Nimeshawahi hata Siku moja kuja Kukugongea Kwako kuwa nataka Unipe Ugali wako na Matembele unayoshindia 24/7 au ' Bando ' la Kuniwezesha Mimi kuwepo hapa? Nilikuwa sijui kumbe kwa Tanzania hii ili Mtu aonekane umeenda Kazini ni mpaka uamke Alfajiri upambane na Madalala na urejee Jioni ndiyo unajulikana umeenda Kazini? Sasa nakubaliana tena kwa 100% yale ' Matusi ' ambayo Waafrika wengi tumekuwa tukipewa na Rais Trump wa Marekani. Tuna matatizo makubwa ' Ubongoni ' mwetu. Na ulivyo ' Mpumbavu ' wa ' Kutukuka ' hujui kuwa wengine ' Fani ' zao ni za Kutegemeana ambapo wakisikiliza Kipindi husika basi na Wao hapo hapo wanapata ' Tips ' za Kihabari / Kitaarifa na pia wanatengeneza vyema ' News Angles ' zao kisha wanazitumia kwa Matumizi yao mengine ambayo baadae pia yanawaongezea Vipato vyao na Maisha yao yanaenda. Nimefurahi Kukutana na ' Mpumbavu ' Mmoja Wewe mapema Asubuhi hii.
 
Yaani unauliza Mimi ni nani wakati unajua kabisa kuwa Mimi ni ' Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer ' GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE je, nikisema Wewe ni ' Popoma ' nitakuwa nakosea?
Habari mkuu?
 
Kwa nn kipindi cha michezo wasingekiweka jioni hata kuanzia saa mbili hiv na kuendelea

Alichokifanya Maulid Kitenge ni ' Kukurupuka ' ila naamini kama angetulia angekiweka hicho Kipindi katika muda mzuri ambao ungewavutia wengi, ila alichokiangalia Yeye ni Kushindana tu na kule alikotokea Efm hasa kile Kipindi cha ' Sports Headquarters ' ili asiwapoteze Wasikilizaji wake lakini akasahau kuwa pamoja na kwamba ameshahama huko Efm lakini kama angetulia bado angeweza kuja na ' Ubunifu ' zaidi ambao ungemfanya aongeze Idadi ya Wasikilizaji wake kuliko hata wale ambao alikuwa nao kule Efm.

Leo Maulid Kitenge na Wasafi fm hasa Sisi Wapenzi wa Vipindi vya Michezo ' wametukwaza ' mno tu na bado hawajachelewa Kutuomba Radhi kwani na Sisi pia ni Binadamu tunaweza Kuwasamehe. Kama ' Mafisadi ' wakubwa wa nchi hii na walioiibia Tanzania na Kuifanya ' Shamba la Bibi ' wamesamehewa tena na Mheshimiwa Rais kwa ' Kulegezwa ' vya Vifungu vya Sheria hata Sisi kama Wasafi fm na Kitenge wao wakikiri Kutukosea nasi tutawasamehe kwani Tanzania ya sasa ni ya ' Kusameheana ' tu kwa kwenda mbele.
 
Mimi nakubaliana na wewe kitu kimoja sipendi mtu ambaye hajali muda hii ni biashara sio udaku ukisema saa moja basi iwe saa moja kama saa 4 sema tu 4 sio kufanya mambo ya kitoto unapoteza uaminifi kwa vitu vya kijinga kabisa. sipendi kumuahidi mtu uongo katika mambo ya mida na sipendi mtu aseme uongo nakuja saa 1 halafu anakuja saa 2 mbaya sana.
 
Back
Top Bottom