Naona Maulid Kitenge na Wasafi FM ulikohamia rasmi mmeshaanza ‘ kuchemsha ‘ mapema tu

Naona Maulid Kitenge na Wasafi FM ulikohamia rasmi mmeshaanza ‘ kuchemsha ‘ mapema tu

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]

Wee jamaa bana
Yaani unauliza Mimi ni nani wakati unajua kabisa kuwa Mimi ni ' Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer ' GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE je, nikisema Wewe ni ' Popoma ' nitakuwa nakosea?
 
Mimi nakubaliana na wewe kitu kimoja sipendi mtu ambaye hajali muda hii ni biashara sio udaku ukisema saa moja basi iwe saa moja kama saa 4 sema tu 4 sio kufanya mambo ya kitoto unapoteza uaminifi kwa vitu vya kijinga kabisa. sipendi kumuahidi mtu uongo katika mambo ya mida na sipendi mtu aseme uongo nakuja saa 1 halafu anakuja saa 2 mbaya sana.

Nimepoteza Marafiki wengi na hata Kushindwana na Mademu wengi kutokana tu na Suala zima la Muda ( Ahadi ) na Kujali Ratiba. Hakuna Kitu ambacho GENTAMYCINE nakipenda na nakiheshimu kama kwenda na muda, kuwa Mtu wa Ahadi na Kujali / Kuheshimu Ratiba. Ukitaka ' nikuchukie ' na ' tugombane ' Wewe niambie Uwongo au nipoteze muda na hapo ndiyo utanijua vizuri na huenda hata ' ukanichukia ' Maisha yako yote.

Kuna Demu Mmoja nakumbuka niliwahi Kupendana nae mno tu na alijua kuwa Mimi ndiyo nitakuja kuwa Mumewe lakini kuna Siku tulikubaliana kukutana muda fulani ( siyo kwenda Kufanya Mapenzi ) na nilifika eneo husika dakika 15 kabla ya muda wetu na Yeye alifika dakika 45 baadae tofauti na muda tuliokubaliana na kilichofuatia pale pale nilimpa ' Makavu ' yangu na kuwambia Mimi na Yeye Safari yetu ndiyo imeishia pale rasmi. Hadi hivi leo haamini Mkuu japo nakiri kuwa alikuwa ni Mwanadada Mmoja Mrembo sana lakini sikuliangalia hilo kwani GENTAMYCINE Kiasili ni Mtu wa ' PRINCIPLES ' na nitakuwa hivyo hadi nazama zangu Shimoni Kaburini pale Mwenyezi Mungu akiniita Siku aliyonipangia.

Na kilichonikasirisha zaidi kwa huyo Demu ni kwamba nakumbuka kabla kabisa ya Kukubaliana nae kuhusu muda wetu wa Kukutana nilimuuliza zaidi ya mara tano kuwa je, ana uhakika huo muda atauweza na atawahi nae kwa Kujiamini kabisa na ' Mikogo ' kibao ( kama mnavyowajua Wanawake wetu / Dada zetu ) akanihakikishia kuwa atawahi lakini hatimaye hakutimiza Ahadi yake na Urafiki wetu ukafiki Kikomo hapo hapo.

Desturi yangu mara zote nikiwa napanga ' appointment ' na Mtu yoyote yule huwa napenda kumpa Yeye nafasi ya Kupanga au Kuchagua muda husika ili ' ajinyonge ' mwenyewe na kama asipoenda na huo muda basi Kazi yangu ya Kumpa ' Makavu 'iwe rahisi na Kumalizana hapo hapo. Kama unajua huna uhakika basi usiniahidi muda wa Kukutana / Kuonana na huwa napenda mno wale Watu ambao hufika mahala dakika 15 au hata 30 kabla ya ule muda wetu tuliokubaliana. au hata kama unaona utachelewa basi nijulishe mapema hapo nitakuheshimu kuliko unanichelewesha halafu hunipi taarifa zozote za sababu ya Kuchelewa Kwako.

Sasa kwa mfano kama Maulid Kitenge na Kituo chake cha Wasafi fm kumbe walijua kuwa kwa leo Jumatatu hii hawatakuwa na Kipindi muda ule aliotuambia tokea Siku ya Alhamisi katika Kurasa zake mbalimbali za Mitandao kwakuwa watakuwa katika Sherehe za Uzinduzi kama ambazo zinaendelea sasa basi hata Jana tu kupitia Kurasa zake zile zile angetuambia au hata Kutuomba Radhi Wasikilizaji wake tofauti na ambavyo amefanya na ndiyo maana hata Mimi nimekuwa ' Mkali ' hivi Kwake / Kwao. Mawasiliano ni jambo zuri na jema sana na kwa hili kidogo ' PR ' ya Wasafi fm ' imenajisiwa ' hasa kama Wewe ukiwa ni Mwana Taaluma ' tukuka ' wa Mawasiliano ya Umma na Uhusiano. Hili Kosa lisijirudie tena tafadhali.
 
Ila hicho kipindi kitakuwa na watangazaji wengi 7
 
Kwani haiwezekani kufanya shughuli zako huku unasikiliza radio???

Mtu kama huyo ni wa ' Kumdharau ' tu Mkuu na ningeshangaa sana kama huu Uzi wangu ' usingevamiwa ' wa ' Wapuuzi ' wa aina yake. Bado nasubiri Jibu lake la Swali ulilomuuliza na akikujibu naomba ' Unitagi ' na Mimi tafadhali.

Cc: tang'ana
 
Yaani unauliza Mimi ni nani wakati unajua kabisa kuwa Mimi ni ' Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer ' GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE je, nikisema Wewe ni ' Popoma ' nitakuwa nakosea?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa comments zako zinanifurahisha
 
Ila hicho kipindi kitakuwa na watangazaji wengi 7

Ni ' Strategy ' yao hasa katika Kukinogesha lakini pia Kushindana na Wapinzani wao wakubwa ambao siyo Siri kwa sasa watakuwa ni Efm pekee. Na kama Efm nao hawatakuja na ' Strategy ' mpya hasa katika Vipindi vyao Viwili vya Michezo basi ' Kifo ' chao Kinakuja na wanaweza Kujikuta ' Wadhamini ' wao wote Maulid Kitenge anaondoka nao kuelekea kunako Wasafi fm. Na ' Kimedani / Kijeshi ' hakuna Vita mbaya na ngumu kama ile ya Kupigana / Kupambana na Adui ambaye anakujua si tu Jikoni Kwako bali hata Chumbani Kwako. Ni rahisi sana kwa Maulidi Kitenge ' Kuwamaliza ' hasa Kiushindani Efm kuliko Wao Efm kuweza Kumshinda Yeye na hiyo Redio ya Wasafi fm aliyohamia sasa. Na kwanini nakiona mapema Kifo cha Efm ( hasa Vipindi vyao wa Michezo ) sababu ni kwamba ' Usajili ' wa ' Kutukuka ' walioufanya Wasafi fm unaowahusisha Watu makini, Wachambuzi makini na Wabobezi hasa wa Mpira wa Miguu wa akina Edo Kumwembe, Ahmed na wengineo tayari ni Pigo tosha la ' TKO ' kwa Efm.
 
Tokea nizaliwe hadi leo hii nipo Mkubwa hivi Kula yangu au Ustawi wangu mzima wa Kimaisha ulikuwa unakutegemea ' Mpumbavu ' Wewe? Nimeshawahi hata Siku moja kuja Kukugongea Kwako kuwa nataka Unipe Ugali wako na Matembele unayoshindia 24/7? Nilikuwa sijui kumbe kwa Tanzania hii ili Mtu aonekane umeenda Kazini ni mpaka uamke Alfajiri upambane na Madalala na urejee Jioni ndiyo unajulikana umeenda Kazini? Sasa nakubaliana tena kwa 100% yale ' Matusi ' ambayo Waafrika wengi tumekuwa tukipewa na Rais Trump wa Marekani. Tuna matatizo makubwa ' Ubongoni ' mwetu. Na ulivyo ' Mpumbavu ' wa ' Kutukuka ' hujui kuwa wengine ' Fani ' zao ni za Kutegemeana ambapo wakisikiliza Kipindi husika basi na Wao hapo hapo wanapata ' Tips ' za Kihabari / Kitaarifa na pia wanatengeneza vyema ' News Angles ' zao kisha wanazitumia kwa Matumizi yao mengine ambayo baadae pia yanawaongezea Vipato vyao na Maisha yao yanaenda. Nimefurahi Kukutana na ' Mpumbavu ' Mmoja Wewe mapema Asubuhi hii.

hili nipovu ..ungekaa kmy ingekuw vzr naona upepo wa kisulisuli umekuendea vibaya.
 
Bora kahama kwanza EFM alikua anaongoza kipindi kimajungu sana...kila siku yeye kuponda tu simba haoni mazuri kila siku anataka mabaya tu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa comments zako zinanifurahisha

Hapa ni Nyumba ya Majibu unayoyataka. Ukija Kiustaarabu utayapata ya Kiustaarabu, ila ukija Kihuni utaujua Usela wangu pia.
 
Nimepoteza Marafiki wengi na hata Kushindwana na Mademu wengi kutokana tu na Suala zima la Muda ( Ahadi ) na Kujali Ratiba. Hakuna Kitu ambacho GENTAMYCINE nakipenda na nakiheshimu kama kwenda na muda, kuwa Mtu wa Ahadi na Kujali / Kuheshimu Ratiba. Ukitaka ' nikuchukie ' na ' tugombane ' Wewe niambie Uwongo au nipoteze muda na hapo ndiyo utanijua vizuri na huenda hata ' ukanichukia ' Maisha yako yote.

Kuna Demu Mmoja nakumbuka niliwahi Kupendana nae mno tu na alijua kuwa Mimi ndiyo nitakuja kuwa Mumewe lakini kuna Siku tulikubaliana kukutana muda fulani ( siyo kwenda Kufanya Mapenzi ) na nilifika eneo husika dakika 15 kabla ya muda wetu na Yeye alifika dakika 45 baadae tofauti na muda tuliokubaliana na kilichofuatia pale pale nilimpa ' Makavu ' yangu na kuwambia Mimi na Yeye Safari yetu ndiyo imeishia pale rasmi. Hadi hivi leo haamini Mkuu japo nakiri kuwa alikuwa ni Mwanadada Mmoja Mrembo sana lakini sikuliangalia hilo kwani GENTAMYCINE Kiasili ni Mtu wa ' PRINCIPLES ' na nitakuwa hivyo hadi nazama zangu Shimoni Kaburini pale Mwenyezi Mungu akiniita Siku aliyonipangia.

Na kilichonikasirisha zaidi kwa huyo Demu ni kwamba nakumbuka kabla kabisa ya Kukubaliana nae kuhusu muda wetu wa Kukutana nilimuuliza zaidi ya mara tano kuwa je, ana uhakika huo muda atauweza na atawahi nae kwa Kujiamini kabisa na ' Mikogo ' kibao ( kama mnavyowajua Wanawake wetu / Dada zetu ) akanihakikishia kuwa atawahi lakini hatimaye hakutimiza Ahadi yake na Urafiki wetu ukafiki Kikomo hapo hapo.

Desturi yangu mara zote nikiwa napanga ' appointment ' na Mtu yoyote yule huwa napenda kumpa Yeye nafasi ya Kupanga au Kuchagua muda husika ili ' ajinyonge ' mwenyewe na kama asipoenda na huo muda basi Kazi yangu ya Kumpa ' Makavu 'iwe rahisi na Kumalizana hapo hapo. Kama unajua huna uhakika basi usiniahidi muda wa Kukutana / Kuonana na huwa napenda mno wale Watu ambao hufika mahala dakika 15 au hata 30 kabla ya ule muda wetu tuliokubaliana. au hata kama unaona utachelewa basi nijulishe mapema hapo nitakuheshimu kuliko unanichelewesha halafu hunipi taarifa zozote za sababu ya Kuchelewa Kwako.

Sasa kwa mfano kama Maulid Kitenge na Kituo chake cha Wasafi fm kumbe walijua kuwa kwa leo Jumatatu hii hawatakuwa na Kipindi muda ule aliotuambia tokea Siku ya Alhamisi katika Kurasa zake mbalimbali za Mitandao kwakuwa watakuwa katika Sherehe za Uzinduzi kama ambazo zinaendelea sasa basi hata Jana tu kupitia Kurasa zake zile zile angetuambia au hata Kutuomba Radhi Wasikilizaji wake tofauti na ambavyo amefanya na ndiyo maana hata Mimi nimekuwa ' Mkali ' hivi Kwake / Kwao. Mawasiliano ni jambo zuri na jema sana na kwa hili kidogo ' PR ' ya Wasafi fm ' imenajisiwa ' hasa kama Wewe ukiwa ni Mwana Taaluma ' tukuka ' wa Mawasiliano ya Umma na Uhusiano. Hili Kosa lisijirudie tena tafadhali.
Brother me nakubaliana na ww kwa 100% Yan hakuna kitu kibaya km kuishi kwa mazoea ...
 
Bora kahama kwanza EFM alikua anaongoza kipindi kimajungu sana...kila siku yeye kuponda tu simba haoni mazuri kila siku anataka mabaya tu

Japo alikuwa akiiponda Simba SC yako na Mimi pia ila hakuna Mtu ambaye ana Urafiki mkubwa na Maulid Kitenge tena tokea Utotoni walipokuwa pamoja mitaa ya Jangwani na Karikoo Ghorofani kama Msemaji wetu wa Simba SC Haji Manara. Ukiachilia mbali ' Unazi ' wake kwa Yanga SC ambao ' umepitiliza ' ila Kiutangazaji wa Michezo, Ubunifu na Uchangamfu hakuna Mtangazaji wa Michezo hapa Tanzania kwa sasa anamzidi Maulid Baraka Kitenge Mkuu. Hata Mimi mwana Simba SC Mwenzako kuna muda huwa si tu ananiudhi bali pia huwa ananikera kwa huo ' Unazi ' wake ' tukuka ' kwa Yanga SC lakini huwa namvumilia kwakuwa nimeshamzoea japo miaka ya nyuma kabisa niliwahi Kugombana nae ( siyo kwa Ngumi bali kwa Maneno tu ) katika Uwanja wa Uhuru ( Shamba la Bibi ) kutokana na Unazi nazi wake huu huu tena akiwa Radio One ( miaka mingi imepita sasa ) na nakumbuka Kaka yangu Kimpira Mshambuliaji wa zamani wa Reli ya Morogoro na Simba SC David Mihambo alitusuluhisha ' Kiaina ' huku Beki ' Katili ' Fikiri Magoso akicheka zake Jukwaani. Wewe mzoee tu Mkuu na uwe Mvumilivu Kwake pia.
 
Back
Top Bottom