Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakosa gani kwani nimemla ?
Maana yake unaendelea kufichwa?
subiri malaika atakuja akiambie zwazwa wewe!Kwakosa gani
Atafanyiwa nini?Unajitafutia matatizo,kaa mbali na mke we mtu
peleka nguo zako tena basi akakufulie, na kisha na msosi wa leo akupikie na samaki, mboga za majani na maziwa, ili umdhulumu bwana wake na ufurahie wewe hicho kitonga,Wapi umeona nimemla sasa?
hayo majibu utakuja kuyatoa atakapokuja huyo mchimba mafuta!Sawa kwani nimesema nimemla au
ZINGATIA HUU USHAURI,Usijali wewe nunua "salimia ukae nayo" stand hay lolote litakukuta
Sasa unaniambia mimi ndio hakimu..!? Tulia uje upigwe CounterattackSina kosa
Mwambie aendelee kuuutakaHalf american mdogo wako kaelemewa tunamsaidiaje?
Ahaha ataupata etyz?Mwambie aendelee kuuutaka