Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Na walioko kule Wengi Wako brainwashed Mkuu [emoji3][emoji3][emoji3]Kule ndo kuna pesa za uhakika na hazina kodi wala ushuru.
HeheheSasa Hivi ukijua kuongea tu basi wewe mchungaji. Ngoja na mm nifungue kanisa
Hawa jamaa hawachoki kumtania Mungu tu? Anyways who am i to judge.Wakuu naona Siku Hizi MC Pilipili naye Amekuwa Mchungaji Kama Alivyo Masanja Mkandamizaji, Ministry Yake Inaitwa Wonders Sunday Service, lipo Mbezi Beach Africana [emoji3][emoji3][emoji3]
View attachment 1802517
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ameshapata mtaalam wa kutupia miujiza kama bulldozer