Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa walokole hawatoagi msaada hata wa gunia la mahindi.Watu mnawaza sadaka tu hamfikilii kuhusu huduma, inayoendeshwa
"Shambani mwa bwana mavuno ni mengi watendakazi ni wachache". Waacheni watu wakafanye kazi ya MUNGU aliyewaita, sizani kama kwa level aliyokuwepo kama alikuwa anakosa chochote alichokuwa akihitaji na laiti mngejua ugumu uliokatika utumishi sizan kama hata mgewaza hzo sadaka.
Tunacheleweshwa sanaKwa kipaji nilicho nacho najichelewesha aisee
Ndugu usihukumu Mungu asije kukuhukumu wewe,angalia sana hiki ulichoandika una uhakika nacho je wajua lengo la injili?kama hujui nyamaza.Kule ndo kuna pesa za uhakika na hazina kodi wala ushuru.
Watch your wordNa walioko kule Wengi Wako brainwashed Mkuu [emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji106]Watch your word
Kwamba utamshughulikia, ajiangalie?Watch your word
Kule ndo kuna pesa za uhakika na hazina kodi wala ushuru.
Hawa wapigaji tu, hawatosheki na ndio maana kila leo wanaongezeka na kuwaongezea waumini maumivu/umaskini!!!Watu mnawaza sadaka tu hamfikilii kuhusu huduma, inayoendeshwa
"Shambani mwa bwana mavuno ni mengi watendakazi ni wachache". Waacheni watu wakafanye kazi ya MUNGU aliyewaita, sizani kama kwa level aliyokuwepo kama alikuwa anakosa chochote alichokuwa akihitaji na laiti mngejua ugumu uliokatika utumishi sizan kama hata mgewaza hzo sadaka.
Hawa wapigaji tu, hawatosheki na ndio maana kila leo wanaongezeka na kuwaongezea waumini maumivu/umaskini!!!
Kama ni swala la upigaji nawe fungua lako upigeHawa wapigaji tu, hawatosheki na ndio maana kila leo wanaongezeka na kuwaongezea waumini maumivu/umaskini!!!