Naona MC Pilipili amekuwa mchungaji

Naona MC Pilipili amekuwa mchungaji

Huyu ndiye Mchungaji?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kama itakuwa ameitwa na Mungu kwenye hiyo huduma Basi kusudi la Mungu litasimama lakini sitegemei iwe kuwa si wote wasemao Bwana. Bwana ....,,,,,,,,,

Inashangaza [emoji14][emoji14][emoji14]
Kwani we ndo una vipimo mkuu vya kujua walioitwa na ambao hawajaitwa?



Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
 
Watu mnawaza sadaka tu hamfikilii kuhusu huduma, inayoendeshwa
"Shambani mwa bwana mavuno ni mengi watendakazi ni wachache". Waacheni watu wakafanye kazi ya MUNGU aliyewaita, sizani kama kwa level aliyokuwepo kama alikuwa anakosa chochote alichokuwa akihitaji na laiti mngejua ugumu uliokatika utumishi sizan kama hata mgewaza hzo sadaka.
Watu wanapenda sn kuongea!
Km ni rahisi na wao waanzishe!

Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
 
Watu mnawaza sadaka tu hamfikilii kuhusu huduma, inayoendeshwa
"Shambani mwa bwana mavuno ni mengi watendakazi ni wachache". Waacheni watu wakafanye kazi ya MUNGU aliyewaita, sizani kama kwa level aliyokuwepo kama alikuwa anakosa chochote alichokuwa akihitaji na laiti mngejua ugumu uliokatika utumishi sizan kama hata mgewaza hzo sadaka.
Dah hawajui tu jinsi ilivyokazi kuhudumia roho na nafsi ya mtu ikawa satisfied,bila kuongozwa na Mungu hufiki mbali.
 
Yule alikua anaigiza igiza kama Pastor?

Ndio Mkuu.

PMY.jpg
 
Hii dunia ukimtumikia Mungu wanakudhihaki......ukienda kwa shetani wanajifanya wanakukosoa


Kama kipindi cha Mtume Paulo kungekua na jf basi kuna uzi ambao ungesomeka

"YULE SAULI ALIYEKUWA AKIWAUA WANAFUNZI WA KRISTO NAYE AWA MTUME!!!!

Hapo bila shaka comment ya kwanza ingekuwa
Hii
"ameona wanapiga hela na yeye ameamua ajiunge nao"
 
Back
Top Bottom