Kama ni swala la upigaji nawe fungua lako upige
Namuogopa MUNGU!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni swala la upigaji nawe fungua lako upige
Endelea kuwa muoga, waache majasili wazivuneNamuogopa MUNGU!!!
Mungu aonae siriniKwamba utamshughulikia, ajiangalie?
itakua alimtoa kafara mama yake na ma mdogo ili aweze kuanzisha kanisaAnaitwa Mwl. Emmanuel Mathias [emoji2][emoji2][emoji2]
Kwani we ndo una vipimo mkuu vya kujua walioitwa na ambao hawajaitwa?Huyu ndiye Mchungaji?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama itakuwa ameitwa na Mungu kwenye hiyo huduma Basi kusudi la Mungu litasimama lakini sitegemei iwe kuwa si wote wasemao Bwana. Bwana ....,,,,,,,,,
Inashangaza [emoji14][emoji14][emoji14]
Nashangaa!Kila mtu ana haki ya kufungua kanisa, waumini ndio wanaotoa sadaka, lakini nashangaa kwanini humu watu ni wakuda kama hela zao.
Watu wanapenda sn kuongea!Watu mnawaza sadaka tu hamfikilii kuhusu huduma, inayoendeshwa
"Shambani mwa bwana mavuno ni mengi watendakazi ni wachache". Waacheni watu wakafanye kazi ya MUNGU aliyewaita, sizani kama kwa level aliyokuwepo kama alikuwa anakosa chochote alichokuwa akihitaji na laiti mngejua ugumu uliokatika utumishi sizan kama hata mgewaza hzo sadaka.
Dah hawajui tu jinsi ilivyokazi kuhudumia roho na nafsi ya mtu ikawa satisfied,bila kuongozwa na Mungu hufiki mbali.Watu mnawaza sadaka tu hamfikilii kuhusu huduma, inayoendeshwa
"Shambani mwa bwana mavuno ni mengi watendakazi ni wachache". Waacheni watu wakafanye kazi ya MUNGU aliyewaita, sizani kama kwa level aliyokuwepo kama alikuwa anakosa chochote alichokuwa akihitaji na laiti mngejua ugumu uliokatika utumishi sizan kama hata mgewaza hzo sadaka.
Yule alikua anaigiza igiza kama Pastor?Pastor Muyamba naye anasepa na kijiji siku hizi.