Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,063
- 12,866
ndege JOHN nafuatilia thread zako nyingi NI kuandika uongo Tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hamna watoto ni SAWA kabisa ila kama mna watoto tegemea watoto kuja kuwa na tabia mbaya mbaya zoteee unazozijuaFuture wife ni mjasiriamali mzuri ila mkoa ninapofanyia kazi hakuna mishe mishe mzunguko mdogo watu wengi hawana kazi so wamekalia majungu sana na usengenyaji nilichofikiria ni kupanga maghetto mawili moja mkoa mwingine akae mke so nachokifanya ni kila ijumaa mchana namfuata mke tunakaa wote Mpaka jumatatu asubuhi ndo mimi narudi kazini.
Kwanza nitakuwa nimeepusha mengi maneno maneno yatapungua ya mtaani ambayo anaweza akapewa na vilevile mazoea yatapungua nahisi ndo mahusiano yatadumu ila pia ntakuwa nakula bata huo mkoa ninaotaka kwenda kila weekend uzuri nauli ni 5000 tu na km 100 tu.