Naona sasa mmeelewa kuwa siasa sio chuki au papara za mkumbo. Visasi na mihemuko imekuwa inawaghalimu sana nyie.

Naona sasa mmeelewa kuwa siasa sio chuki au papara za mkumbo. Visasi na mihemuko imekuwa inawaghalimu sana nyie.

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Mambo mengi mnafanya kwa mihemuko bila kujua backstage ishu ziko vipi.

Ndio maana mwamba analamba asali huku mkibaki mnapiga miayo.

Sasa mlidhani mtawakomoa?

Subirini mpaka mtapokuwa na akili timamu ndio mtajua siasa sio mihemuko

Acheni mihemuko ya kisiasa
Screenshot_20220624-174111.jpg
 
Mambo mengi mnafanya kwa mihemuko bila kujua backstage ishu ziko vipi.

Ndio maana mwamba analamba asali huku mkibaki mnapiga miayo.

Sasa mlidhani mtawakomoa?

Subirini mpaka mtapokuwa na akili timamu ndio mtajua siasa sio mihemuko

Acheni mihemuko ya kisiasa
View attachment 2270776
Kwani Kangara ya kuonja imekwisha🤔
 
nimeona bonge la TX kwa nyuma, kweli bint anakula life
 
Mambo mengi mnafanya kwa mihemuko bila kujua backstage ishu ziko vipi.

Ndio maana mwamba analamba asali huku mkibaki mnapiga miayo.

Sasa mlidhani mtawakomoa?

Subirini mpaka mtapokuwa na akili timamu ndio mtajua siasa sio mihemuko

Acheni mihemuko ya kisiasa
View attachment 2270776

Mahakamani wameshindwa kwenye chama wameshindwa. Ngoja wabebwe na huyo Samia wao tuone mwisho wake.
 
Mambo mengi mnafanya kwa mihemuko bila kujua backstage ishu ziko vipi.

Ndio maana mwamba analamba asali huku mkibaki mnapiga miayo.

Sasa mlidhani mtawakomoa?

Subirini mpaka mtapokuwa na akili timamu ndio mtajua siasa sio mihemuko

Acheni mihemuko ya kisiasa
View attachment 2270776

Mbona mbwa wamechoka hivyo?
 
Back
Top Bottom