Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Kwani Kangara ya kuonja imekwisha🤔Mambo mengi mnafanya kwa mihemuko bila kujua backstage ishu ziko vipi.
Ndio maana mwamba analamba asali huku mkibaki mnapiga miayo.
Sasa mlidhani mtawakomoa?
Subirini mpaka mtapokuwa na akili timamu ndio mtajua siasa sio mihemuko
Acheni mihemuko ya kisiasa
View attachment 2270776
Mambo mengi mnafanya kwa mihemuko bila kujua backstage ishu ziko vipi.
Ndio maana mwamba analamba asali huku mkibaki mnapiga miayo.
Sasa mlidhani mtawakomoa?
Subirini mpaka mtapokuwa na akili timamu ndio mtajua siasa sio mihemuko
Acheni mihemuko ya kisiasa
View attachment 2270776
Mambo mengi mnafanya kwa mihemuko bila kujua backstage ishu ziko vipi.
Ndio maana mwamba analamba asali huku mkibaki mnapiga miayo.
Sasa mlidhani mtawakomoa?
Subirini mpaka mtapokuwa na akili timamu ndio mtajua siasa sio mihemuko
Acheni mihemuko ya kisiasa
View attachment 2270776
Mbona mbwa wamechoka hivyo?
Mwisho wake utakuwa mbaya snMahakamani wameshindwa kwenye chama wameshindwa. Ngoja wabebwe na huyo Samia wao tuone mwisho wake.
Sahivi anajiona ni mjanja sn..halima anazidi kujiharibia.
..akubali kuwa amekosea.
..yaliyompata yalikuwa ni " kishindo cha awamu ya 5. "