The Clinical Pharmacist
Member
- May 13, 2014
- 90
- 102
Km huridhiki si uoe rasmi??
ijulikane ni wake wenza
Kinachokera ni kuvalishwa shela na kuapishwa uaminifu na mume mbele ya umma kitu ambacho sio kweli
Uke wenza official unapunguza stress
Ila issue ni utakua fair kwa wote??
Unaweza kuwatunza wote?? Ama mnachoweza ni kujificha tu?
Respect gani na usaliti??
U dont respect marriage ndo mana mnasaliti..hamna a better way to say it
Huamini subiri siku mke aonjwe nje..hio ndoa itavunjika...usaliti is disrespectful period
MhhhMie suala la mke wangu kuonjwa sio jambo jipya na sio kitu ambacho ni kipya. As long as anachepuka mie nisijue hilo mie halinihusu labda kama ningemkuta akiwa Bikra. Mtu ameshapitishiwa Bomba kama kumi na kitu huko nyuma. Sasa kupigwa mashine itakuwa kitu kigeni. Mwanamke ambaye nimemkuta hana Bikra unadhani aliyemtoa bikra huwa hamuwazi.!?
Wewe ndo hujaweka msimamo unataka niniChangamoto ya wake zetu wa kikristo hawataki kukubaliana na ukweli. Hakuna cha kuficha hapo mkuu. Kama wangekuwa wanaliona jambo ambalo lipo kama ilivyo kwa Ndugu zetu wa islam.
Tuseme nimemwambia then what ? Hivi hujui kula vya kuiba ni vitamu sana. Alfu pia huyu mwanamke ni mbinafsi sana. Kuna siku akawa anasema “siku nikija kugundua unanicheat “ nitalipa kisasi namimi kimoyomoyo najisemea tu kuwa ungeajua mie Mbususu yako ni yako sina wivu nayo kwa maana sikukuta Bikra. Na yule mwanamke ni mbinafsi sana yaani. Niliwahi kumwambia kitu kujua yukoje, nikagundua mbinafsi sana. Ila hilo mimi halinipi tabu sana.Wewe ndo hujaweka msimamo unataka nini
Sema utaoa wake wawili kama hataki alale mbele
Ila husemi ukweli unamficha unategemea nini?.
WEWE JAMAA UMEMALIZA KILA KITU 🫱🏼🫲🏽🫱🏼🫲🏽🫱🏼🫲🏽KAMA MKE ULIMKUTA NA BIKRA YAKE, BASI BAKI NA HUYOI HUYO
KINYUME NA HAPO, NA KAZI IENDELEE MPAKA SIKU YA KURUDI KABURINI
#MENLIVESMATTER
Ss sijui unamuogopaTuseme nimemwambia then what ? Hivi hujui kula vya kuiba ni vitamu sana. Alfu pia huyu mwanamke ni mbinafsi sana. Kuna siku akawa anasema “siku nikija kugundua unanicheat “ nitalipa kisasi namimi kimoyomoyo najisemea tu kuwa ungeajua mie Mbususu yako ni yako sina wivu nayo kwa maana sikukuta Bikra. Na yule mwanamke ni mbinafsi sana yaani. Niliwahi kumwambia kitu kujua yukoje, nikagundua mbinafsi sana. Ila hilo mimi halinipi tabu sana.