Naona suala la michepuko linaonekana ni sawa kwa upande mmoja

Naona suala la michepuko linaonekana ni sawa kwa upande mmoja

Mwanamke na mwanaume tumeumbwa tofauti kwa mambo mengi sana.
Tena huko kwenye hisia ndo hasi na chanya kabisa wala haturandani.

Huo usawa unaoutaka hautakuja kuwepo, we fanya hivyo kwa nafsi yako tu ila kwa wengine hiyo haipo.
Uone pisi kali imeshoboka uaiche kisa nini aisee, we batua kikubwa muheshimu mkeo na wanawake wengi wanaojielewa ndivyo wanavyotaka.

Wanajua unachepuka ila chepuka kwa akili sio usimjari, na kumuonesha mkeo.
 
Mwanamke na mwanaume tumeumbwa tofauti kwa mambo mengi sana.
Tena huko kwenye hisia ndo hasi na chanya kabisa wala haturandani.

Huo usawa unaoutaka hautakuja kuwepo, we fanya hivyo kwa nafsi yako tu ila kwa wengine hiyo haipo.
Uone pisi kali imeshoboka uaiche kisa nini aisee, we batua kikubwa muheshimu mkeo na wanawake wengi wanaojielewa ndivyo wanavyotaka.

Wanajua unachepuka ila chepuka kwa akili sio usimjari, na kumuonesha mkeo.
Tena hakikisha pisi kali unayoipelekea moto ni kali kuliko mkeo ili worse comes to worse umeshikwa mke asiweze kuuliza "umekosa nini kwangu" abaki ana apreciate uzuri wa pisi kali
 
True...tuelezane ukweli. Ila nyie wanawake hampendi kuelezwa ukweli wengi wenu
Shida ni dharau kwenye huo ukweli

Hakuna mwanaume anaweza kubalance upendo wa wanawake 2
Ataelemea tu upande flani na hapo pataleta vita kubwa

Ndo mana wanaume hamuwezi vumilia kushare
 
Shida ni dharau kwenye huo ukweli

Hakuna mwanaume anaweza kubalance upendo wa wanawake 2
Ataelemea tu upande flani na hapo pataleta vita kubwa

Ndo mana wanaume hamuwezi vumilia kushare
Dah mie basi wakipekee yaani mwanamke ambaye namla peke yangu wala hanipi stimu...mie nataka yule ambaye mkikutana mnapeana story ya jinsi alivyonyanduliwa huko na jamaa fulani or how she caught her man cheating...hapo ndio mambo yanakuwa exciting
 
Dah mie basi wakipekee yaani mwanamke ambaye namla peke yangu wala hanipi stimu...mie nataka yule ambaye mkikutana mnapeana story ya jinsi alivyonyanduliwa huko na jamaa fulani or how she caught her man cheating...hapo ndio mambo yanakuwa exciting
Oa kwanza
Otherwise uko dunia yako ya ufuska
 
Oa kwanza
Otherwise uko dunia yako ya ufuska
Sasa mbona unaenda kinyume na yale uliosema hapo juu?
Umesema kuwa mwanaume hawezi kupenda sawa wanawake wawili na kwamba nyie ke hampendi uongo.
Unapo nishauri nioe kwanza sii ni kwamba unataka niwe muongo.
 
Tena hakikisha pisi kali unayoipelekea moto ni kali kuliko mkeo ili worse comes to worse umeshikwa mke asiweze kuuliza "umekosa nini kwangu" abaki ana apreciate uzuri wa pisi kali
😃😃 Sasa bahati mbaya kwetu wachepukaji, wengi wetu huchepuka na pisi mbovu kichizi.
Sijui ni tamaa au ni nini mpaka watu wa karibu wanaulizana huyu jamaa niaje.

Ukicheat kwa pisi kali hukamatwi, jiloge kwa beki tatu au pisi mbovu uone unavodakwa chap, kama mzembe na mimba wataidaka hao michepuko.
 
😃😃 Sasa bahati mbaya kwetu wachepukaji, wengi wetu huchepuka na pisi mbovu kichizi.
Sijui ni tamaa au ni nini mpaka watu wa karibu wanaulizana huyu jamaa niaje.

Ukicheat kwa pisi kali hukamatwi, jiloge kwa beki tatu au pisi mbovu uone unavodakwa chap, kama mzembe na mimba wataidaka hao michepuko.
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Sio kweli
Kinacholeta husda ni mume kushindwa kupenda watu 2 kwa usawa
Kuna mahali ataelemea tu na hapo lazima kuwepo na vita

Unajitia kupenda 2 ila hujui kubalance
Sasa kushindwa kubalance nikutokana na mmoja kuwa bora kwa mumewe kwakupitia lugha nzuri na hata ushauri ulio bora na pia kupenda ndugu wa mume...
Lakin mke huyu yeye ni ghubu na ma hasira walah pendo huwezi balance best
 
Dah...
Mi namuachia Mungu...
Mtego huu siwezi chomoka.Litakalo nikuta basii hakuna namna na sita jilaum
By all means have 1 woman
Ukishindwa kuwa na wa2 and be fair to them na wote wajue..matunzo,status etc

Short of that,misery shall never leave ur home
Never
Ni suala la muda tu
 
Sasa kushindwa kubalance nikutokana na mmoja kuwa bora kwa mumewe kwakupitia lugha nzuri na hata ushauri ulio bora na pia kupenda ndugu wa mume...
Lakin mke huyu yeye ni ghubu na ma hasira walah pendo huwezi balance best
Hasira zake zinatokana na nini?
Ulioa kichaa tu akaamka na hasira ama umemvuruga?...na husemi hapa?

Kauli nzuri tu ni kwa sababu anajua anapendwa kuliko mwingine ama ni yeye tu jinsi alivyo?
 
Sasa mbona unaenda kinyume na yale uliosema hapo juu?
Umesema kuwa mwanaume hawezi kupenda sawa wanawake wawili na kwamba nyie ke hampendi uongo.
Unapo nishauri nioe kwanza sii ni kwamba unataka niwe muongo.
Oa mkeo awe na mahusiano na mwanaume mwingine afu ndio uje kusema hapa
Ni rahisi mana uko kwenye ufuska sio ndoa
 
Serikali yetu inaruhusu ndoa za Wake wengi
Embu tuache mzaha sote twajua kwenye jamii ndoa zinazokubalika ni za dini sio serikali na ndio ni nyingi za dini Hujanijibu swali kwa wenye imani ya ukristo je ?

Si umeona mambo yanavyokuwa magumu kwetu

Kuwa na mwanamke mmoja mwanaume ni impossible na kuoa wawili kwa wakristo ni impossible Hapo Sasa ushajua kinachofuata ni nini
 
Back
Top Bottom