The Clinical Pharmacist
Member
- May 13, 2014
- 90
- 102
Itakua ni hivyo Mkuu [emoji3][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisaaa yaan, naliona hili pia.Mkuu, huyo Dada si mjinga, anahitaji awe na ndoa na familiya yake inayotambulika.
Kwa kuwa amekupenda na kwakuwa na wewe unampenda sana, na kwa kuwa na yeye analijua hilo, Na kwakuwa anajua kinachosababisha yeye hasiwe mkeo ni vitu viwili (1) Mkeo (2) Ukristo, Basi katika mazingira haya bila kujua unaweza kumsababishia mkeo matatizo.
Ni hivi, anaweza kufikia mahali fulani akatumia namna nzuri ya kumuondoa mkeo ambayo haitoacha alama wala mashaka kwamba kaondolewa na mkono wa binadamu hususani yeye (mchepuko) baada ya hapo atalia na kuugua na wewe ( kinafiki) katika wakati huo mgumu utakaokuwa unaupitia,alafu baada ya hapo matokeo yanajulikana ( Kwamba utamtwaa awe mkeo baada ya kifo cha mkeo).
Unafiki mtupu.Mkuu acha kushupaza shingo. Kwani kitu gani huelewi hapo ?
Hiyo reason ya kwanza ndio yenyewe kabisa. Ukiwa broke kwanza wanawake wanakukwepa kama ukoma...talking from experience.Tuliza makeke bidada, Mchepuko yupo kubalance maisha ya kwenye Ndoa. Nyie kama mnataka wanaume wasiochepuka basi umbeni wa kwenu. Ila ukweli ni kwamba “Men are polygamous in nature” hizi habari za kuanza kuambizana sijui imepita hapa mara kule ni kujisumbua tu.
Nikwambie wewe dada mwenye Jina zuri kabisa na Mtoa maada: Kama unamumeo au Bf wako hujawahi kusikia anamchepuko basi tambua kabisa Huyo mumeo ni Pro kwenye kuchepuka. Kuna michepuko iko smart sana. Ukiingia kwa inbox ya mumeo utakuta wanachati just as friends do ila mambo mengi yanaishia kwa Simu. So msituhangaishe hapa. Suala la kuwa mwanamke mmoja kwa maisha haya mafupi ni Ngumu sana.
Ipo mifano mingi tu kwenye Biblia ikionyesha how polygamous men are, So stop dreaming and live the reality of it. I just wanna give you this of advice Madamme, If you want your marriage or relationship last, stop overthinking and trust your man assuming he doesn’t have one unless otherwise you wanna live as single mother full of hatred towards men. I am sorry to tell you that believing that The man can be satisfied with one woman is an delusional. Kinachomfanya mwanaume aonekane ametulia ni mambo kati ya haya yafuatayo;
- He is broke
- His manhood is doubtful
- He is Brainwashed
Waache kungaikia jambo ambalo kuisha kwake ni hadi Mungu aumbe dunia Mpya ila kwa sasa. Na hata hivyo Mungu hachukizwi na Kuwa na wake wengi ila anachukia kunyandua nyandua na kuacha. Ukiwa na msimamo wa Wanawake wako wawili au watatu wote unapa dozi zai safi. Asee hutasikia kitu inaitwa stress. PeriodHiyo reason ya kwanza ndio yenyewe kabisa. Ukiwa broke kwanza wanawake wanakukwepa kama ukoma...talking from experience.
Mwanaume mwenye hela kula mbususu moja haiwezekani maana kwanza wanawake wanakuvulia chupi tuu ni wewe kuamua leo zamu ya nani au nina wa confuse
Kweli kabisa alafu mbona wanawake wenyewe wanaelewa kabisa kuwa mwanaume kuwa na mbususu moja ni kumtafutia stress.Waache kungaikia jambo ambalo kuisha kwake ni hadi Mungu aumbe dunia Mpya ila kwa sasa. Na hata hivyo Mungu hachukizwi na Kuwa na wake wengi ila anachukia kunyandua nyandua na kuacha. Ukiwa na msimamo wa Wanawake wako wawili au watatu wote unapa dozi zai safi. Asee hutasikia kitu inaitwa stress. Period
Ebe leta mmoja asie chepuka mie nitakuletea million ambao wanachepukaAcheni kupotosha,
Wapo wanaume wengi wanaishi na mke mmoja vizuri sana tu kwenye jamii bila kuchepuka.
Kuna watu wanaishi kwa kufuata kanuni .
Maisha ya ndoa bila kuchepuka yanawezekana!
Sasa si ndio maana tunawaoa yaani tutazunguka kote ila kwa mke ndio mwisho ndio maana nasema yan mwanaume akikuoa ni respect kubwa anakupenda sana huko nje ni tamaa tu za kuonja ladha ni nature inatutesaKumbe unamuogopa mkeo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanaume tambo zenu hapo mwisho wa reli
Wewe una ushahidi gani juu ya hiloAcheni kupotosha,
Wapo wanaume wengi wanaishi na mke mmoja vizuri sana tu kwenye jamii bila kuchepuka.
Kuna watu wanaishi kwa kufuata kanuni .
Maisha ya ndoa bila kuchepuka yanawezekana!
Naitafuta mood ya kuandika mgazeti hapa🤣🤣Nilitaka nikuite.
Broo...DahMkuu, huyo Dada si mjinga, anahitaji awe na ndoa na familiya yake inayotambulika.
Kwa kuwa amekupenda na kwakuwa na wewe unampenda sana, na kwa kuwa na yeye analijua hilo, Na kwakuwa anajua kinachosababisha yeye hasiwe mkeo ni vitu viwili (1) Mkeo (2) Ukristo, Basi katika mazingira haya bila kujua unaweza kumsababishia mkeo matatizo.
Ni hivi, anaweza kufikia mahali fulani akatumia namna nzuri ya kumuondoa mkeo ambayo haitoacha alama wala mashaka kwamba kaondolewa na mkono wa binadamu hususani yeye (mchepuko) baada ya hapo atalia na kuugua na wewe ( kinafiki) katika wakati huo mgumu utakaokuwa unaupitia,alafu baada ya hapo matokeo yanajulikana ( Kwamba utamtwaa awe mkeo baada ya kifo cha mkeo).
Ayaa kakaaa... Ila nakukumbusha tuu mke wa mtu Sumu asee...Mm sijaoa Bado ila ukweli nachepuka na mke wa mtu mwenye watot wawili Tena tunakah majiran kbsa nagegeda vzr hata Jana jioni nilichakata pia baaada ya kuja kunipikia huku mumewake akiwa dukani anaendelea na biashara zake
Namuuliza vip Mr anasema bwana ake yule Ni mkorofi na hayuko romantic kbsa kila kitu kwake Ni serious na pia anamatusi, Kajeli dhid yake hvyo mwanamke anakereka Sana kwa kauli zake hzo so anachotafuta Ni faraja kwa upande wa pili
So Kama upo Happ unamtukan mkeo na kumdharau bas acha kwa vile huku mm nachakata tu na ananipa vzr Sana kwa kweli dada huyu anajuwa kunipa vzr Sana na ufundi wa kunyonya mb...o o kwa ustadi
Mkuu, ni hivi aliingia akijua una mke,hivyo akakubali vigezo na masharti, na huwenda alijua naye anapitisha wakati huku akisubiri yule Mungu aliyempangia ili aanzishe familiya.Broo...Dah
Yeye mbona anampenda sanaa mkewangu.Na pia anania njema tangu awali na amekuwa mwelewa sana juu ya maisha ya ndoa yangu.
Ulitegemea akuoneshe kuwa anampenda mkeo? Lazima anatamani kuwa kwenye nafasi ya mkeo. Na wengine hadi wanaua wake zenu ili muwaoe wao. Be smartBroo...Dah
Yeye mbona anampenda sanaa mkewangu.Na pia anania njema tangu awali na amekuwa mwelewa sana juu ya maisha ya ndoa yangu.
Mkuu, ni hivi aliingia akijua una mke,hivyo akakubali vigezo na masharti, na huwenda alijua naye anapitisha wakati huku akisubiri yule Mungu aliyempangia ili aanzishe familiya.
Sasa amejikuta kanasa, anakuelewa na bahati nzuri unamuelewa pia,Moyoni mwake hakuna mwanaume mwingine tofauti na wewe. Wakati huohuo kumbuka nia na tamanio lake la kuwa na familiya inayotambulika iko palepale.
Sasa mtu pekee anayeikwamisha ndoto hiyo ni mkeo tu. Niamini anaweza akafanya elimination ya mkeo,na ili mia yake ya kuolewa na wewe itimie hata siku moja hatoonesha kabisa kwamba amfurahii mkeo. Namaanisha hata sasa huo upendo unaousema anao kwa mkeo ni wakutengeneza tu.
Mkuu,ili uwe na mchepuko na husilete madhara kwa mkeo, ni mchepuko husiwe na hakika kwamba kwa vyovyote yeye ndiye mke likimtokea la kitokea mkeo.
Sasa kwa case yako,mahusiano uliyonayo na mchepuko ni makubwa kuliko mke mwenyewe na mchepuko unayajua hayo ni lazima mkeo awe adui wa moyo wake.
Kuna uwezekano mkubwa mchepuko wako ukamuua mkeo.
Kweli nimeichukua hiyo...Ulitegemea akuoneshe kuwa anampenda mkeo? Lazima anatamani kuwa kwenye nafasi ya mkeo. Na wengine hadi wanaua wake zenu ili muwaoe wao. Be smart