Naona vitisho vinazidi Kwa siye wadada na hiyo Midori(Robots)

Naona vitisho vinazidi Kwa siye wadada na hiyo Midori(Robots)

Roboti hata mkilipiga mande halikatai

Roboti Hana Mambo mengi

Roboti hapotezi muda kwenye kioo


Roboti ana upara haendi saluni


Roboti Ni chapu chapu

Hanuki mdomo ,
Hana fangasi

Size ya mnato una set mwenyewe


Roboti hakuulizi unamaliza sa ngapi


Nakupenda roboti I wish tungejuana mapema
Robot hajihusishi na mikopo ya kausha damu kama hawa chuma ulete halafu wanakaa kukununia utadhani mlikopa wote au ulimtuma akakope.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
nitag kwenye hizo picha
Huyu hapa my wetu. View attachment 2638502View attachment 2638505View attachment 2638503View attachment 2638504View attachment 2638506
1685287370670.jpg


Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
KWA ZAMA HIZI BORA YA ROBOTS:

Methali 21:19:Afadhali kuishi jangwani, kuliko kukaa na mwanamke mgomvi na msumbufu.
Mit 25:24:Ni afadhali kukaa katika pembe ya darini, Kuliko katika nyumba pana pamoja na mwanamke mgomvi.

ROBOT UNA MKUTA YUKO SEALED KABISA, SIO USED KAMA [emoji1787]
ROBOT HANA EX KAMA WEWE,
ROBOT HACHITI KAMA WEWE.


HUKU ROBOTS,
KULE MASHOGA
TUKO PAZURI SANA SASA.
Wanaume tumelalamika sana hawa viumbe badala ya kutusitiri wanatumia maumivu yetu kutu blackmail kwamba tuchague kulipia sex ama tuteseke.

Sasa wanaume tumeona famililahi.... Kama tumeweza kutengeza computer tushindwe tengeneza chombo cha starehe bila sifa zingine ambazo hatuzihitaji?! Alaaaaah

Robot hao wapo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Hawezi kutoa uzazi tu labda mengine yote hapo yuko vizuri mara mbili ya nyie.
Kuhusu uzazi haina shida tutalea wajomba na hata wapo wanawake watazaa na sisi then tutalea watoto wenyewe. Tutaongea na Elon Musk atutengenezee roboti linaloweza nyonyesha.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Kama madawa ambayo ni hatari yanapita sembuse hawa viburudisho ambao watarudisha amani katika mioyo ya wanaume wote.

Tupo tayari hata kuchangiana ili kila mwanaume apate lake.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Kuna wenzenu hawayataki hayo ma wanasesere yenu,mjichangie wenyewe mnaopenda kukaa na misukule
Bora hili ukienda nunua hata unaweza jua nani na nani wamelikojolea utaambiwa na anayekuuzia.

Hawa chuma ulete tunaokutana nao unaweza shangaa hata mshua amepita nae kamkojolea miksa na ndugu na marafiki na ngoma imetanuka. Ila huyu mdoli silicone haiwezi tanuka hata ipigwe mashine size ya mguu wa mtoto.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Daaah we jamaa ni vile huwezi li afford kulinunua,Ila lingekuwa linauzwa laki Kama Yale ya kitundikia nguo kkoo nadhani lazima ungejipatia moja🙆🙆
 
Mi binafsi nasema hata ziwa lilale kama banzoka iliyopitishiwa moto bado Robot hawawez ziba nafasi yetu wanawake.... especially kwenye vitu hiv:

1.Robot hatoi utelezi ila anawekewa
2.Robot hana katerero
3.Robot hajui kuifinyia ndani
4.Robot hana joto asilia
5.Robot hana story za udaku Usiku kupiga na mumewe
Mengine wataongezea wanawake wenzangu

NB:Mwanadamu ni mwanadamu tu Yaan hafananishwi jaman
Mbona nyie mnatumie vibrator na artificial penis. Mlitaka haki sawa mmezipata
 
Kaka watu wengi watayanunua maana ni mbadala wa nyeto pia itaovercome changamoto zinazoletwa na madem zetu!


Wadada wanaoishi kwa kutegemea Hela za wanaume hapa mjini watarudi kijijini uyole
Huko Japan nasikia kimenuka, yule jamaa anayoyatengeneza anapokea simu za vitisho toka kwa wanawake wa huko maana wanaume wameweka order kama wananunua magari.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Mi binafsi nasema hata ziwa lilale kama banzoka iliyopitishiwa moto bado Robot hawawez ziba nafasi yetu wanawake.... especially kwenye vitu hiv:

1.Robot hatoi utelezi ila anawekewa
2.Robot hana katerero
3.Robot hajui kuifinyia ndani
4.Robot hana joto asilia
5.Robot hana story za udaku Usiku kupiga na mumewe
Mengine wataongezea wanawake wenzangu

NB:Mwanadamu ni mwanadamu tu Yaan hafananishwi jaman
Roboti anachepuka na anatunza siri milele, bora sie tukibanwa tunasema.
 
Utapata wafuasi kibao,Hawa pasua kichwa wanaoshindwa kumudu kumpa Mwanamke hata laki moja eti Leo wanajifanya watamiliki midoli ya dola 3000,si uongo tu huo.[emoji22]
Tukilipa hiyo Dollar 3000 ndio hatulipi tena Milele hadi uzeeni.

Mbona magari tunalipia zaidi ya dollar 10,000 tushindwe lipia dollar 3000.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom