Naona vitisho vinazidi Kwa siye wadada na hiyo Midori(Robots)

Naona vitisho vinazidi Kwa siye wadada na hiyo Midori(Robots)

Ila on a serious note;

Hakuna roboti la kike linatengenezwa hizi ni propaganda na hizo picha zote mnazoziona ni AI generated. Elon Musk hatengenezi maroboti ya kike.

Binafsi naamini haiwezekani kabisa ku-replace mwanamke, itakua ngumu sana ku-replace vitu vyenu vyote
Nenda YouTube kuna jamaa ni mjapan anayatengeneza. Nimepost picha zake hapo chini

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Ila uzuri wa roboti hajui yafuatayo:,
1) Robot hajui kuomba pesa aka kupiga mizinga
2) Robot hajui hajui kula pesa za nauli za wanaume.
3) Robot hajui kuchepuka (ku-cheat).
4). Roboti haitaji vizawadi kutoka kwa bwana
5) Robot hajui mambo ya kunywa bia
6) ..............
7) ................
8) .............
Wengine malizieni
Roboti halina magonjwa kama gono, HIV/AIDS, UTI.

Roboti haliendi kwa mganga likaloge sperm zako

Roboti halina malalamiko yoyote, halisemi naumia, nachoka etc

Roboti halikwambiii mwagia nje
 
Roboti hata mkilipiga mande halikatai

Roboti Hana Mambo mengi

Roboti hapotezi muda kwenye kioo


Roboti ana upara haendi saluni


Roboti Ni chapu chapu

Hanuki mdomo ,
Hana fangasi

Size ya mnato una set mwenyewe


Roboti hakuulizi unamaliza sa ngapi


Nakupenda roboti I wish tungejuana mapema
 
Mi binafsi nasema hata ziwa lilale kama banzoka iliyopitishiwa moto bado Robot hawawez ziba nafasi yetu wanawake.... especially kwenye vitu hiv:

1.Robot hatoi utelezi ila anawekewa
2.Robot hana katerero
3.Robot hajui kuifinyia ndani
4.Robot hana joto asilia
5.Robot hana story za udaku Usiku kupiga na mumewe
Mengine wataongezea wanawake wenzangu

NB:Mwanadamu ni mwanadamu tu Yaan hafananishwi jaman
KWA ZAMA HIZI BORA YA ROBOTS:

Methali 21:19:Afadhali kuishi jangwani, kuliko kukaa na mwanamke mgomvi na msumbufu.
Mit 25:24:Ni afadhali kukaa katika pembe ya darini, Kuliko katika nyumba pana pamoja na mwanamke mgomvi.

ROBOT UNA MKUTA YUKO SEALED KABISA, SIO USED KAMA 🤣
ROBOT HANA EX KAMA WEWE,
ROBOT HACHITI KAMA WEWE.


HUKU ROBOTS,
KULE MASHOGA
TUKO PAZURI SANA SASA.
 
Mi binafsi nasema hata ziwa lilale kama banzoka iliyopitishiwa moto bado Robot hawawez ziba nafasi yetu wanawake.... especially kwenye vitu hiv:

1.Robot hatoi utelezi ila anawekewa
2.Robot hana katerero
3.Robot hajui kuifinyia ndani
4.Robot hana joto asilia
5.Robot hana story za udaku Usiku kupiga na mumewe
Mengine wataongezea wanawake wenzangu

NB:Mwanadamu ni mwanadamu tu Yaan hafananishwi jaman
Hawezi kutoa uzazi tu labda mengine yote hapo yuko vizuri mara mbili ya nyie.
 
Back
Top Bottom