ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Wengine tunapenda vitu natural kabisa, mambo ya kungonoka na midoli ngoja Elon atafute wafuasi wengine.Ma Legendary mnajielewa Sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine tunapenda vitu natural kabisa, mambo ya kungonoka na midoli ngoja Elon atafute wafuasi wengine.Ma Legendary mnajielewa Sana.
hata used dubai kwa milioni sio mbaya,mradi tu tupate mbadala wa nyie mashetani🤣🤣🤣😂😂😂😂😂Ngoja likuzimikie katikati mzuka umeshakolea maana product za kichina mnazijua msijesema hatukuwaambia
Yaani limekojolewa ulaya weee ndio ulichukue?achana nalo halijui kuoga mtafute mwanaidi wa buza anajua kuoga vizuri kutoa janaba...mchawi maji tuhata used dubai kwa milioni sio mbaya,mradi tu tupate mbadala wa nyie mashetani🤣🤣🤣
Nenda YouTube kuna jamaa ni mjapan anayatengeneza. Nimepost picha zake hapo chiniIla on a serious note;
Hakuna roboti la kike linatengenezwa hizi ni propaganda na hizo picha zote mnazoziona ni AI generated. Elon Musk hatengenezi maroboti ya kike.
Binafsi naamini haiwezekani kabisa ku-replace mwanamke, itakua ngumu sana ku-replace vitu vyenu vyote
Roboti halina magonjwa kama gono, HIV/AIDS, UTI.Ila uzuri wa roboti hajui yafuatayo:,
1) Robot hajui kuomba pesa aka kupiga mizinga
2) Robot hajui hajui kula pesa za nauli za wanaume.
3) Robot hajui kuchepuka (ku-cheat).
4). Roboti haitaji vizawadi kutoka kwa bwana
5) Robot hajui mambo ya kunywa bia
6) ..............
7) ................
8) .............
Wengine malizieni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hatuitaji story, tutapiga na washkaji zetu Bar. Ndani show show.
Roboti ana faida lukuki sana,Roboti halina magonjwa kama gono, HIV/AIDS, UTI.
Roboti haliendi kwa mganga likaloge sperm zako
Roboti halina malalamiko yoyote, halisemi naumia, nachoka etc
Roboti halikwambiii mwagia nje
nitag kwenye hizo pichaNenda YouTube kuna jamaa ni mjapan anayatengeneza. Nimepost picha zake hapo chini
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
KWA ZAMA HIZI BORA YA ROBOTS:Mi binafsi nasema hata ziwa lilale kama banzoka iliyopitishiwa moto bado Robot hawawez ziba nafasi yetu wanawake.... especially kwenye vitu hiv:
1.Robot hatoi utelezi ila anawekewa
2.Robot hana katerero
3.Robot hajui kuifinyia ndani
4.Robot hana joto asilia
5.Robot hana story za udaku Usiku kupiga na mumewe
Mengine wataongezea wanawake wenzangu
NB:Mwanadamu ni mwanadamu tu Yaan hafananishwi jaman
Hahahah ndio tamu hilo mbona wenzenu wanaotupaga migongo baada ya kuwatupia nyavuni wapo kimya tu 🤣🤣🤣🤣Limdoli halina hata kusifiia mechi ilikuwaje limeduwaa tu
Unapewa cha kimyakimya ukitupia waajemi hakuna hata pole wala asante😁😁😁Hahahah ndio tamu hilo mbona wenzenu wanaotupaga migongo baada ya kuwatupia nyavuni wapo kimya tu 🤣
hii mada naona imekugusa 😂Yaani limekojolewa ulaya weee ndio ulichukue?achana nalo halijui kuoga mtafute mwanaidi wa buza anajua kuoga vizuri kutoa janaba...mchawi maji tu
Hawezi kutoa uzazi tu labda mengine yote hapo yuko vizuri mara mbili ya nyie.Mi binafsi nasema hata ziwa lilale kama banzoka iliyopitishiwa moto bado Robot hawawez ziba nafasi yetu wanawake.... especially kwenye vitu hiv:
1.Robot hatoi utelezi ila anawekewa
2.Robot hana katerero
3.Robot hajui kuifinyia ndani
4.Robot hana joto asilia
5.Robot hana story za udaku Usiku kupiga na mumewe
Mengine wataongezea wanawake wenzangu
NB:Mwanadamu ni mwanadamu tu Yaan hafananishwi jaman
Kaka watu wengi watayanunua maana ni mbadala wa nyeto pia itaovercome changamoto zinazoletwa na madem zetu!Nasikia kuna kidude unaseti aisee kila siku unakuwa kama unakula bikra mzee.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Utapata wafuasi kibao,Hawa pasua kichwa wanaoshindwa kumudu kumpa Mwanamke hata laki moja eti Leo wanajifanya watamiliki midoli ya dola 3000,si uongo tu huo.😢Wengine tunapenda vitu natural kabisa, mambo ya kungonoka na midoli ngoja Elon atafute wafuasi wengine.
Muachane robot aende wapi?!Uzur wa robot hadai mali tukiachana,na Hilo ndo lengo kubwa la kutengenezwa kwao
Kama mtu anauwezo wa kujenga nyumba ya mil 30,atashindwaje kununua robot la mil 7
***** mzungu akituandalia wanaume wa Tanzania mke mwema.Well maintenanceView attachment 2638356