Naona vitisho vinazidi Kwa siye wadada na hiyo Midori(Robots)

Naona vitisho vinazidi Kwa siye wadada na hiyo Midori(Robots)

Kwendraa waende zao wasitutishie tutaolewa na wazungu
Wazungu wengi mashoga na waliobaki hawataki mazoea ya ajabu na wanawake wanakula hawa mademu wanajiuza then kila mtu apite vile. Wanaume waliokuwa wanaoa kwa upendo walibakia afrika sasa nyie kwasababu ya kuleta akili za udangaji na njaa mshawakera wanatafuta alternative Elon Musk kaokoa jahazi.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Roboti ni gogo
Roboti ni maiti iliyobadilishwa jina
Roboti haipigi stori upweke upo palepale dear
Kuhusu gogo hilo haina shida tunaelewa ni mdoli so hauwezi katika.

Kuhusu maiti huo ni uongo roboti hawezi kufa.

Tukitaka story tunawapigia simu washkaji tunaongea then maisha yanaendelea.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Mi binafsi nasema hata ziwa lilale kama banzoka iliyopitishiwa moto bado Robot hawawez ziba nafasi yetu wanawake.... especially kwenye vitu hiv:

1.Robot hatoi utelezi ila anawekewa
2.Robot hana katerero
3.Robot hajui kuifinyia ndani
4.Robot hana joto asilia
5.Robot hana story za udaku Usiku kupiga na mumewe
Mengine wataongezea wanawake wenzangu

NB:Mwanadamu ni mwanadamu tu Yaan hafananishwi jaman
Ila uzuri wa roboti hajui yafuatayo:,
1) Robot hajui kuomba pesa aka kupiga mizinga
2) Robot hajui hajui kula pesa za nauli za wanaume.
3) Robot hajui kuchepuka (ku-cheat).
4). Roboti haitaji vizawadi kutoka kwa bwana
5) Robot hajui mambo ya kunywa bia
6) ..............
7) ................
8) .............
Wengine malizieni
 
Ila uzuri wa roboti hajui yafuatayo:,
1) Robot hajui kuomba pesa aka kupiga mizinga
2) Robot hajui hajui kula pesa za nauli za wanaume.
3) Robot hajui kuchepuka (ku-cheat).
4). Roboti haitaji vizawadi kutoka kwa bwana
5) Robot hajui mambo ya kunywa bia
6) ..............
7) ................
8) .............
Wengine malizieni
NAKAZIA
 
View attachment 2638297

Faida ya Madude ya Elon Musk

1. Hayana UKIMWI wala UTI Sugu
2. Hayakuombi matumizi
3. Hayuna Gubu
4. Hayachoki
5. Utamu mwingi
6. Hayachepuki
7. Yana Face ID kwahiyo hugongewi

Wewe unataka nini tena ?
Hebu ona watoto walivyo nona hao kama sinia la kitimoto iliyoipuliwa jikoni inakuja mezani ikifuka Moshi na Pepsi baridi.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Mi binafsi nasema hata ziwa lilale kama banzoka iliyopitishiwa moto bado Robot hawawez ziba nafasi yetu wanawake.... especially kwenye vitu hiv:

1.Robot hatoi utelezi ila anawekewa
2.Robot hana katerero
3.Robot hajui kuifinyia ndani
4.Robot hana joto asilia
5.Robot hana story za udaku Usiku kupiga na mumewe
Mengine wataongezea wanawake wenzangu

NB:Mwanadamu ni mwanadamu tu Yaan hafananishwi jaman
na pengo la wanaume linazibika ? .........baby nipo usiwaze mi natosha
 
Mimi Clepatina nikiwa nimepiga magoti huku machozi yakinilenga lenga kwa sauti ya upole na unyenyekevu nasemajee WANAUME ZETU NAOMBA MTUSAMEHE MABAYA YOTE TUNAYOWAFANYIA WAUME ZETU VIPENZI SWEETHEARTS HANDSOMES PLEASE MSIOE MAROBOTI[emoji1787].
Sasa mkioa maroboti sisi atatuoa nani jamani[emoji1787].

NB:Nafikiria kwenda kuchoma moto kiwanda cha maroboti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah nimecheka hadi nimelala chini hapa. Dah umenichekesha balaa.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Mi binafsi nasema hata ziwa lilale kama banzoka iliyopitishiwa moto bado Robot hawawez ziba nafasi yetu wanawake.... especially kwenye vitu hiv:

1.Robot hatoi utelezi ila anawekewa
2.Robot hana katerero
3.Robot hajui kuifinyia ndani
4.Robot hana joto asilia
5.Robot hana story za udaku Usiku kupiga na mumewe
Mengine wataongezea wanawake wenzangu

NB:Mwanadamu ni mwanadamu tu Yaan hafananishwi jaman
mbon mnajihami hivi subirini kwanza hzo totoz zije ndo tuone soko lenu litakuwaje
 
Back
Top Bottom