Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
Wazungu wengi mashoga na waliobaki hawataki mazoea ya ajabu na wanawake wanakula hawa mademu wanajiuza then kila mtu apite vile. Wanaume waliokuwa wanaoa kwa upendo walibakia afrika sasa nyie kwasababu ya kuleta akili za udangaji na njaa mshawakera wanatafuta alternative Elon Musk kaokoa jahazi.Kwendraa waende zao wasitutishie tutaolewa na wazungu
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app