Dallas green
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 1,377
- 2,800
Aya wenzio walikua wabishi ivo ivo wew subir tu nyundo ya kichwa au prize ukipona ponaShindwa kwanini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aya wenzio walikua wabishi ivo ivo wew subir tu nyundo ya kichwa au prize ukipona ponaShindwa kwanini
Je tukitishia kujiua bado mtaenda kwa roboth🤣🤣Mshatupiga sana vizinga mmekula sana nauli zetu na mmetuchit sana tuacheni watoto wa wanawake wenzenu tupumzike sasa na mirobot yetu 😀
Sawa ila mtatukumbuka na yakiwashinda huko msitutafute🤣Machozi ya uongo😂😂😂
Ah wewe siwezi kosa demu hapa jfNani anategemea kuliwa na wewe mzabzab Kaa kwakutulia na 40 Yako wewe unaonewagwa huruma
Oohh electronic hizo utaambiwa inakaa na chaji wiki 2Hawatumii umeme wao wanchargiwa tu wanakaa wiki ndio wanazima au wiki mbili inategemea umenunu how much
Na wanaroga hawa wanawake balaaaSema robot haendi kwa mganga kuroga mume
Baba mkwe wetu elon musk hana shida ya mahali kwa pupa tunalipia kidogo kidogoNendeni kwa maroboti kama mnahela mnadhani wananunuliwa kihela ya nyanya Hawa wanagharama zao ambao ni Bora umlee Fatma wa buza na pesa ya kujitibia ghono inabakia[emoji16][emoji16][emoji16]
Jiueni tu mtakuwa replaced na mirobot 🤣🤣🤣Je tukitishia kujiua bado mtaenda kwa roboth🤣🤣
Kataa kutuma nauliKataa Mizinga
Kataa Gono
Kubali Roboti
Roboti haiingii periodOohh electronic hizo utaambiwa inakaa na chaji wiki 2
Baada ya matumizi unakuta roboti kama pasi
Ndio utajua kisirani kipo ama laa
Roboti hatapeli nauli🤣🤣Ya wigi?
Nimekaa pale nawasubiriNgoja waje sisi watumiaji ndo tutatoa maoni wewe endelea kufunga na kuomba wasiwe watamu.
Ukitingisha holo wowowo tunarudi fastaJe tukitishia kujiua bado mtaenda kwa roboth🤣🤣
Kama anauzwa $5000 watu wengi sana tutalinunua 😁 Bora wangeanzia $30000Ila unadola elfu Tano??
Hatuwatafuti ng’oo 😂😂😂 mikono siipo tutabaki na shida zetu na maroboti yetu😂😂😂Sawa ila mtatukumbuka na yakiwashinda huko msitutafute🤣
Uzur wa robot hadai mali tukiachana,na Hilo ndo lengo kubwa la kutengenezwa kwaoBado sana, kwanza hela zenyewe za kununulia hawana.