Naona vitisho vinazidi Kwa siye wadada na hiyo Midori(Robots)

Naona vitisho vinazidi Kwa siye wadada na hiyo Midori(Robots)

Hawatumii umeme wao wanchargiwa tu wanakaa wiki ndio wanazima au wiki mbili inategemea umenunu how much
Oohh electronic hizo utaambiwa inakaa na chaji wiki 2
Baada ya matumizi unakuta roboti kama pasi
Ndio utajua kisirani kipo ama laa
 
Nendeni kwa maroboti kama mnahela mnadhani wananunuliwa kihela ya nyanya Hawa wanagharama zao ambao ni Bora umlee Fatma wa buza na pesa ya kujitibia ghono inabakia[emoji16][emoji16][emoji16]
Baba mkwe wetu elon musk hana shida ya mahali kwa pupa tunalipia kidogo kidogo
 
Robot haliwezi kukusaidia kuirudisha ndani ikichomoka[emoji1787][emoji1787] wala haliwezi kukulilia baby nipe yote nakojoaaaaa! Kwanza halinyonyi chuchu wala haliwezi kuifinyia na kuchora namba [emoji13]
 
Back
Top Bottom