Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuitaji story, tutapiga na washkaji zetu Bar. Ndani show show.Roboti ni gogo
Roboti ni maiti iliyobadilishwa jina
Roboti haipigi stori upweke upo palepale dear
I know ila sasa hivi hatutapretend tena tumekoma🤣.Hakuta kuwa na jipya, Huwa mnajua kupretend ila baada ya mdaa mambo yanajirudia palepale😂😂😂
🥰Ila on a serious note;
Hakuna roboti la kike linatengenezwa hizi ni propaganda na hizo picha zote mnazoziona ni AI generated. Elon Musk hatengenezi maroboti ya kike.
Binafsi naamini haiwezekani kabisa ku-replace mwanamke, itakua ngumu sana ku-replace vitu vyenu vyote
Anaogopa spoku na pliers!🙄Labda ungeandika sija..... badala ya hatuja.....
Kesi za usaliti tunazisoma humu mara nyingi sana mbona!!
Apo umemaliza mkuu wao kaz yao kuinamisha kichwa tu bao zote sass c bora robot mda wote lipo kama katoto1.Robot ana joto kuliko nyie
2. Robot inabana
3.Robot chuchu saa sita
4. Robot mauno ya hatari. Nyie kazi yenu kutikisika tu
Aku mie Sina zaidi ya huyu basiKwa hiyo unakiri nyie ni wasambazaji wazur wa gono kwa wanaume sio??
Achen uchafu
Kuna mtu kashaamua kunioa mazimaFanya umpe hata mmoja mkuu kabla robot hajaja utanisbukur sana badae
Maridhiano muhimu sana kabla hatujapitisha katiba mpya.Mnaonaje tukae mezani tujadili kabla hamjaenda kwa roboti?🤣
Mnaogopa mtakufa njaaaTunajirekebishe please msiende kwa roboti🙏
Waambie nawewe utanunua didlo usiku kila mtu yupo busyMmekuwa katili
Roboti sawa na mkono au sabuni»ROBORT HACHEAT,
»ROBORT HANA MAJI MENGI,
»ROBORT HANA KISIRANI,
»ROBORT HAMGOMBANI,
»ROBORT ASEMI AMECHOKA,
»ROBORT HARIDHISHWI UNAJIRIDHISHA MWENYEWE,
»ROBORT HUJISUMBUI KUMUANDAA,
»ROBORT HANIPENDEI HELA
»ROBORT ANA SHAPE ILE YA MIDOLI YA NGUO 😋
»ROBORT NA KADHALIKA...
Kumbe unamjua huyu binti...? 🥺😳Kitu cha Rock City
Hhahaa hata mkitupa bure kuna vikorokoro hamtaweza kutupea ila maroboti yatatupea kazi mnayo mwaka huu 🤣Na ndivyo inavyotakiwa.
Mbususu tutawapa bure cha msingi msiende kwa Both🤣