Naona vitisho vinazidi Kwa siye wadada na hiyo Midori(Robots)

Naona vitisho vinazidi Kwa siye wadada na hiyo Midori(Robots)

Mimi Clepatina nikiwa nimepiga magoti huku machozi yakinilenga lenga kwa sauti ya upole na unyenyekevu nasemajee WANAUME ZETU NAOMBA MTUSAMEHE MABAYA YOTE TUNAYOWAFANYIA WAUME ZETU VIPENZI SWEETHEARTS HANDSOMES PLEASE MSIOE MAROBOTI🤣.
Sasa mkioa maroboti sisi atatuoa nani jamani🤣.

NB:Nafikiria kwenda kuchoma moto kiwanda cha maroboti
Poueee! Sisi na marobot tu! Tumechoka kupigwa vibuti, kuringiwa, kuteseka na kunyimwa unyumba, kusalitiwa na kupakaziwa watoto za watu!😂😂😂
 
Mpaka uset mitambo si dudu inakuwa imelala
Sidhani kama litakua unaliset mara Kwa mara! Changamoto unayofikiria ww wao walifikiria kabla hawajaanza hyo project! Walishamstudy mwanamke na wakascan tabia zake mda wa kudinyana
 
Nendeni kwa maroboti kama mnahela mnadhani wananunuliwa kihela ya nyanya Hawa wanagharama zao ambao ni Bora umlee Fatma wa buza na pesa ya kujitibia ghono inabakia[emoji16][emoji16][emoji16]
Kwa hiyo unakiri nyie ni wasambazaji wazur wa gono kwa wanaume sio??

Achen uchafu
 
Sidhani kama litakua unaliset mara Kwa mara! Changamoto unayofikiria ww wao walifikiria kabla hawajaanza hyo project! Walishamstudy mwanamke na wakascan tabia zake mda wa kudinyana
😳
 
Mi binafsi nasema hata ziwa lilale kama banzoka iliyopitishiwa moto bado Robot hawawez ziba nafasi yetu wanawake.... especially kwenye vitu hiv:

1.Robot hatoi utelezi ila anawekewa
2.Robot hana katerero
3.Robot hajui kuifinyia ndani
4.Robot hana joto asilia
5.Robot hana story za udaku Usiku kupiga na mumewe
Mengine wataongezea wanawake wenzangu

NB:Mwanadamu ni mwanadamu tu Yaan hafananishwi jaman
Ingekuwa kure
Mi binafsi nasema hata ziwa lilale kama banzoka iliyopitishiwa moto bado Robot hawawez ziba nafasi yetu wanawake.... especially kwenye vitu hiv:

1.Robot hatoi utelezi ila anawekewa
2.Robot hana katerero
3.Robot hajui kuifinyia ndani
4.Robot hana joto asilia
5.Robot hana story za udaku Usiku kupiga na mumewe
Mengine wataongezea wanawake wenzangu

NB:Mwanadamu ni mwanadamu tu Yaan hafananishwi jaman
Kama ingekuwa ni ku-rank kwa umuhimu/ubora basi hiyo namba 3 ungeweka iwe namba 1.
 
Back
Top Bottom