Naona vitisho vinazidi Kwa siye wadada na hiyo Midori(Robots)

Naona vitisho vinazidi Kwa siye wadada na hiyo Midori(Robots)

kabla ya mimi kama mwanaume kuyapinga aya marobot yapaswa kuyatest kwanza uenda wakaendana na uhalisia na mwanamke, mbona nimenichukuliaga sheria mkononi kwa karibuni miaka mi4 na nilikuwa nainjoi sembuse iyo midoli adi joto inayo kabisa
 
endeleeni kuhangaika na maroboti🤣 I am enjoying natural smell
Screenshot_20230522_231100_Gallery.jpg
 
Mi binafsi nasema hata ziwa lilale kama banzoka iliyopitishiwa moto bado Robot hawawez ziba nafasi yetu wanawake.... especially kwenye vitu hiv:

1.Robot hatoi utelezi ila anawekewa
2.Robot hana katerero
3.Robot hajui kuifinyia ndani
4.Robot hana joto asilia
5.Robot hana story za udaku Usiku kupiga na mumewe
Mengine wataongezea wanawake wenzangu

NB:Mwanadamu ni mwanadamu tu Yaan hafananishwi jaman
To yeye hata usiponijibu ila hii thread yako ni dhahiri kwamba mmeanza kuwa na wasiwasi wa kukosa matumizi na mnaanza kilia njaa kwani lazima mbakie na usingo maza wenu na majukumu yenu...Robot haliwezi kuwa singo maza wa kuwa na michepuko ya kupiga vizinga😂😂😂
 
Back
Top Bottom