Naona vitisho vinazidi Kwa siye wadada na hiyo Midori(Robots)

Naona vitisho vinazidi Kwa siye wadada na hiyo Midori(Robots)

Roboti ni gogo
Roboti ni maiti iliyobadilishwa jina
Roboti haipigi stori upweke upo palepale dear
Enhee, waambie waelewe.Wanaume wanaangamizwa huku wakiona
 
20230528_173931.jpg


Faida ya Madude ya Elon Musk

1. Hayana UKIMWI wala UTI Sugu
2. Hayakuombi matumizi
3. Hayuna Gubu
4. Hayachoki
5. Utamu mwingi
6. Hayachepuki
7. Yana Face ID kwahiyo hugongewi

Wewe unataka nini tena ?
 
Mimi Clepatina nikiwa nimepiga magoti huku machozi yakinilenga lenga kwa sauti ya upole na unyenyekevu nasemajee WANAUME ZETU NAOMBA MTUSAMEHE MABAYA YOTE TUNAYOWAFANYIA WAUME ZETU VIPENZI SWEETHEARTS HANDSOMES PLEASE MSIOE MAROBOTI🤣.
Sasa mkioa maroboti sisi atatuoa nani jamani🤣.

NB:Nafikiria kwenda kuchoma moto kiwanda cha maroboti
 
Mimi Clepatina nikiwa nimepiga magoti huku machozi yakinilenga lenga kwa sauti ya upole na unyenyekevu nasemajee WANAUME ZETU NAOMBA MTUSAMEHE MABAYA YOTE TUNAYOWAFANYIA WAUME ZETU VIPENZI SWEETHEARTS HANDSOMES PLEASE MSIOE MAROBOTI🤣.
Sasa mkioa maroboti sisi atatuoa nani jamani🤣.

NB:Nafikiria kwenda kuchoma moto kiwanda cha maroboti
Mnazo vibrators, plugs na midoli ya kila aina.
 
Mimi Clepatina nikiwa nimepiga magoti huku machozi yakinilenga lenga kwa sauti ya upole na unyenyekevu nasemajee WANAUME ZETU NAOMBA MTUSAMEHE MABAYA YOTE TUNAYOWAFANYIA WAUME ZETU VIPENZI SWEETHEARTS HANDSOMES PLEASE MSIOE MAROBOTI🤣.
Sasa mkioa maroboti sisi atatuoa nani jamani🤣.

NB:Nafikiria kwenda kuchoma moto kiwanda cha maroboti
Aaa jamani hata usiwaplease.....waache wakafanye watakavyo....watarudi tu
 
Ningekuwa ninapesa ya waziwazi ningetoa order roboti waliClone kama Beyonce
 
Mimi Clepatina nikiwa nimepiga magoti huku machozi yakinilenga lenga kwa sauti ya upole na unyenyekevu nasemajee WANAUME ZETU NAOMBA MTUSAMEHE MABAYA YOTE TUNAYOWAFANYIA WAUME ZETU VIPENZI SWEETHEARTS HANDSOMES PLEASE MSIOE MAROBOTI🤣.
Sasa mkioa maroboti sisi atatuoa nani jamani🤣.

NB:Nafikiria kwenda kuchoma moto kiwanda cha maroboti
hakuna kurudi nyuma😂 what's done is done
 
Back
Top Bottom