Naona vitisho vinazidi Kwa siye wadada na hiyo Midori(Robots)

Naona vitisho vinazidi Kwa siye wadada na hiyo Midori(Robots)

Nimechukua namba yako jana, leo unaniomba hela, nikikupa io hela leo, kesho, na kesho kutwa, na mtondogoo utaniomba tena hela, kama nia yako sio kunikomoa, nia yako ni nini?

Chunguza vizuri humu mitandaoni, sio tu jamii forum, nenda nairaland, JamiiForums.com, reddit, etc utaona sisi wanaume wengi kwenye swala la mahusiano ya kimapenzi, tumewachoka wanawake, hatutaki hata kujihusisha na ninyi..tunaishia kucheza games, kunywa pombe, na kununua makahaba wanaojiuza barabarani, au kupiga nyeto Joannah
Mbona babu zenu hawakuwa Kama ninyi?Bibi zetu walihudumiwa kwa Raha mustarehe Bila masimango....kuombwa hela Leo na kesho ni kuongezea kwa majukumu
 
Unamfungua Kwa password so hakuna mtu ambaye anaweza kula kitu Yako bro
Unamfungua Kwa Face Id Mkuu Ili Masela wasije Pita nae Kama Ukiwaacha Nae.Wanasema Akiwa Na Washikaji Zako Hawezi Wapa Kitumbua Anapiga nao Story Tu.Alafu Nasikia Manyonyo Yanakuwa magumu Pia chini Kunajilock Mpaka Uweke Face Id Yako.
Ila Kuna mahacker Wanaweza Mhack Wakawa Wanajipigia Tu,Ukirudi Unakuta Kachoka Kumbe washikaji zako Wamempiga mtungo.
Hatari Sana,Kwa usalama Usije muacha roboti wako Na Washikaji zako Wa IT Utajuta
 
Unamfungua Kwa Face Id Mkuu Ili Masela wasije Pita nae Kama Ukiwaacha Nae.Wanasema Akiwa Na Washikaji Zako Hawezi Wapa Kitumbua Anapiga nao Story Tu.Alafu Nasikia Manyonyo Yanakuwa magumu Pia chini Kunajilock Mpaka Uweke Face Id Yako.
Ila Kuna mahacker Wanaweza Mhack Wakawa Wanajipigia Tu,Ukirudi Unakuta Kachoka Kumbe washikaji zako Wamempiga mtungo.
Hatari Sana,Kwa usalama Usije muacha roboti wako Na Washikaji zako Wa IT Utajuta
[emoji28][emoji28]
 
Mbona babu zenu hawakuwa Kama ninyi?Bibi zetu walihudumiwa kwa Raha mustarehe Bila masimango....kuombwa hela Leo na kesho ni kuongezea kwa majukumu
Aaaah tena msiwaingize kabisa mababu na mabibi zetu maana nyakati zao na zetu ni tofauti.

Bibi zetu walikuwa na roho nzuri sana na ukarimu plus hawakuwa na tamaa ya pesa na mali. Wangekuwa hivyo basi kusingekalika.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Wabongo walivyo na uchu,mbona Hilo litatumiwa Hadi hizo siku za kuchaji huku limechomekwa chaji matokeo yake halichukui round linakufa.
watatengeneza vibanda vya maroboti kama kulivyo na vibanda vya playstation😂
 
unaTune tu mkuu, unataka 37 ama 40 degrees ni wew tu
Kuna Mshikaji Naskia (Mmoja wa Engineer Wa Kuyatengeneza maroboti) Alikuwa analipiga Test Kama System ya Kutune Joto la Kitumbua Iko Sawa,Akawa Anatune Akazidisha Joto Mpaka 100c kwa Bahati Mbaya.
Sasa Hv Yuko Hospital Dyudyu Ya Motroooo Imebabuka.
 
Roboti ni gogo
Roboti ni maiti iliyobadilishwa jina
Roboti haipigi stori upweke upo palepale dear
Roboti Story Linapiga
Mbona Roboti Sofia unapiga nae Story,Mbona Unapiga Story Na Siri,Google Assistant,Alexa,Cortana Sembuse Huyo roboti
 
Wabongo walivyo na uchu,mbona Hilo litatumiwa Hadi hizo siku za kuchaji huku limechomekwa chaji matokeo yake halichukui round linakufa.
[emoji28][emoji28][emoji28] kabisa linakufa au linampiga shoti kwa babu
 
Back
Top Bottom