Naona wajuaji wameshaanza kulivalia njuga sakata la WCB na Harmonize

Naona wajuaji wameshaanza kulivalia njuga sakata la WCB na Harmonize

Kwa maana hiyo, kila mia iliyoingia, WCB walipata na Harmonize alipokea chake kulingana na makubaliano ya mgawanyo wa mrabaha. Mwaka mmoja na nusu baadaye, Harmonize ili awe huru, analazimika kulipia gharama za matengenezo ya wimbo.

Swali, WCB wanarejesha fedha ambazo waliingiza kutokana na wimbo huo? Haukuwa mkataba mzuri. Harmonize alisaini wakati huo kwa sababu alikuwa hajui kitu. Leo anafahamu kila kitu.
Mbona wachezaji wanakua na mkataba wa miaka mitano ,anaipa timu makombe ,lakini akivunja mkataba anatakiwa kuilipa timu
 
Back
Top Bottom