Naona wazee wa kudandia treni wameachia ya Corona sasa wamedandia ya sukari!

Naona wazee wa kudandia treni wameachia ya Corona sasa wamedandia ya sukari!

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Hiki kinachoendelea natumaini Jemedari Mkuu, Field Marshal atatoa kauli kuhusu huu uhuni wa sukari kama kipindi kile miezi sita ya mwanzo wakati anaingia madarakani. Hii si bure wapo wachochezi walio nyuma ya wafanyabiashara.

Naona wazee wa kudandia sasa ndio imekuwa kwao ni habari ya mjini na mada kuu. Tuwakumbushe wazee wa kudandia, CCM ni chama dume na kubwa na kikongwe hakitingishwi na hujuma wala wahuni

Kimepita kwenye mawimbi mazito na mikondo mikubwa yenye dhoruba kali, mabaharia waoga walijaribu kujitosa baharini na kukimbilia visiwa vya wagagagigikoko baada ya kuona huko hakufai waliomba tena kusaini kwenye meli yenye manahodha wenye uzoefu mkubwa.

Tuwakumbushe ndugu zetu mnadandia sana na kusahau kujitayarisha hii ni May, kumebaki miezi mitatu na nusu au ndio habari ile ile kama Serikali za mitaa ya visingizio?

Lakini nina hakika CHADEMA bila ruzuku haiwezi simama, hakuna wa kutoa pesa yake mfukoni kuchangia chama watashiriki tu ili washindwe wapate cha kusema. Kama ni wabunge hakuna hata mmoja atakayerudi bungeni maana wananchi wamewachoka na vitimbwi vyao!
 
Kipindi kile cha miezi sita ya mwanzo, field marshal wako sukari ilimshinda baada ya kuipandisha mwenyewe. Bei ya sukari ya sasa ni matokeo ya hatua zake mbovu. Ameingia madarakani sukari ilikuwa sh 1700/ sasa hivi ni sh 3500. Huo u field marshal unaompa unampa tu kwasababu wewe ni mpiga filimbi. Hamna kitu hapo. Tena nimjuavyo mimi ni mtu asiyena huruma kwa raia wake. Hawajali hata kidogo, labda nyie wapiga filimbi wake
Hiki kinachoendelea natumaini Jemedari Mkuu, Field Marshal atatoa kauli kuhusu huu uhuni wa sukari kama kipindi kile miezi sita ya mwanzo wakati anaingia madarakani. Hii si bure wapo wachochezi walio nyuma ya wafanyabiashara.

Naona wazee wa kudandia sasa ndio imekuwa kwao ni habari ya mjini na mada kuu. Tuwakumbushe wazee wa kudandia, CCM ni chama dume na kubwa na kikongwe hakitingishwi na hujuma wala wahuni

Kimepita kwenye mawimbi mazito na mikondo mikubwa yenye dhoruba kali, mabaharia waoga walijaribu kujitosa baharini na kukimbilia visiwa vya wagagagigikoko baada ya kuona huko hakufai waliomba tena kusaini kwenye meli yenye manahodha wenye uzoefu mkubwa.

Tuwakumbushe ndugu zetu mnadandia sana na kusahau kujitayarisha hii ni May, kumebaki miezi mitatu na nusu au ndio habari ile ile kama Serikali za mitaa ya visingizio?

Lakini nina hakika CHADEMA bila ruzuku haiwezi simama, hakuna wa kutoa pesa yake mfukoni kuchangia chama watashiriki tu ili washindwe wapate cha kusema. Kama ni wabunge hakuna hata mmoja atakayerudi bungeni maana wananchi wamewachoka na vitimbwi vyao!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dar sukari mtihani sana maduka mengi ya walaji wa mwisho hawana, sababu wanalalamika usumbusu bei elekezi isioendana na bei ya soko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiki kinachoendelea natumaini Jemedari Mkuu, Field Marshal atatoa kauli kuhusu huu uhuni wa sukari kama kipindi kile miezi sita ya mwanzo wakati anaingia madarakani. Hii si bure wapo wachochezi walio nyuma ya wafanyabiashara.

Naona wazee wa kudandia sasa ndio imekuwa kwao ni habari ya mjini na mada kuu. Tuwakumbushe wazee wa kudandia, CCM ni chama dume na kubwa na kikongwe hakitingishwi na hujuma wala wahuni

Kimepita kwenye mawimbi mazito na mikondo mikubwa yenye dhoruba kali, mabaharia waoga walijaribu kujitosa baharini na kukimbilia visiwa vya wagagagigikoko baada ya kuona huko hakufai waliomba tena kusaini kwenye meli yenye manahodha wenye uzoefu mkubwa.

Tuwakumbushe ndugu zetu mnadandia sana na kusahau kujitayarisha hii ni May, kumebaki miezi mitatu na nusu au ndio habari ile ile kama Serikali za mitaa ya visingizio?

Lakini nina hakika CHADEMA bila ruzuku haiwezi simama, hakuna wa kutoa pesa yake mfukoni kuchangia chama watashiriki tu ili washindwe wapate cha kusema. Kama ni wabunge hakuna hata mmoja atakayerudi bungeni maana wananchi wamewachoka na vitimbwi vyao!
Upuuzi mtupu
 
Usijaribu kuhamisha tatizo kutoka kwa serikali kwenda kwa chama chochote.

Mkuu aliwahi kunukuliwa akisema kuwa akiwa Rais, tutalimia meno. Ndo tumeanza hivo. Hii dhahiri hakujiandaa kabisa kuendesha hii nchi, bali kuhakikisha tunalimia meno. Uji/chai tunakunywa bila sukari- kulimia meno, ajira hakuna-kulimia meno, Corona limeingia yeye chimbo- kulimia meno.

Ukweli ni kwamba, watetezi wa serikali tujitathmini kama tuna mwingine wa kumlaumu katika hili sukari zaidi ya serikali yenyewe. Mi sioni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiki kinachoendelea natumaini Jemedari Mkuu, Field Marshal atatoa kauli kuhusu huu uhuni wa sukari kama kipindi kile miezi sita ya mwanzo wakati anaingia madarakani. Hii si bure wapo wachochezi walio nyuma ya wafanyabiashara.

Naona wazee wa kudandia sasa ndio imekuwa kwao ni habari ya mjini na mada kuu. Tuwakumbushe wazee wa kudandia, CCM ni chama dume na kubwa na kikongwe hakitingishwi na hujuma wala wahuni

Kimepita kwenye mawimbi mazito na mikondo mikubwa yenye dhoruba kali, mabaharia waoga walijaribu kujitosa baharini na kukimbilia visiwa vya wagagagigikoko baada ya kuona huko hakufai waliomba tena kusaini kwenye meli yenye manahodha wenye uzoefu mkubwa.

Tuwakumbushe ndugu zetu mnadandia sana na kusahau kujitayarisha hii ni May, kumebaki miezi mitatu na nusu au ndio habari ile ile kama Serikali za mitaa ya visingizio?

Lakini nina hakika CHADEMA bila ruzuku haiwezi simama, hakuna wa kutoa pesa yake mfukoni kuchangia chama watashiriki tu ili washindwe wapate cha kusema. Kama ni wabunge hakuna hata mmoja atakayerudi bungeni maana wananchi wamewachoka na vitimbwi vyao!
Umeandika ushuzi mtupu

Shenzi
 
Shukuruni hii nchi bado uwelewa wa watu wengi ni mdogo. Sio ishu za kudandia hv sukari kweli kilo elfu 6 watu wakae kimya tu
Mkuu, uelewa wanao Sana, Ila ni nchi ya watu wastarabu Sana, na ndiyo Maana kampeni zetu utaskia maneno yanasemwa, Unataka vita hutaki, basi watu woyooo! Vita hatutaki!!

Basi kama hutaki, usichachugue Chama fulani, Maana watu wake ni watu wakorofi, wanakimbia Bunge, wanaongea mpaka mishipa inawatoka, mara sijui bendera Yao inaashiria umwagaji wa damu, Wakati tulipata Uhuru Kwa Amani, basi mambo kibao

Lakini kweli, Ile rangi nyekundu kwenye Chama hicho huashilia nini bandugu?

Lakini hili la sukari ni jipu
 
Hiki kinachoendelea natumaini Jemedari Mkuu, Field Marshal atatoa kauli kuhusu huu uhuni wa sukari kama kipindi kile miezi sita ya mwanzo wakati anaingia madarakani. Hii si bure wapo wachochezi walio nyuma ya wafanyabiashara.

Naona wazee wa kudandia sasa ndio imekuwa kwao ni habari ya mjini na mada kuu. Tuwakumbushe wazee wa kudandia, CCM ni chama dume na kubwa na kikongwe hakitingishwi na hujuma wala wahuni

Kimepita kwenye mawimbi mazito na mikondo mikubwa yenye dhoruba kali, mabaharia waoga walijaribu kujitosa baharini na kukimbilia visiwa vya wagagagigikoko baada ya kuona huko hakufai waliomba tena kusaini kwenye meli yenye manahodha wenye uzoefu mkubwa.

Tuwakumbushe ndugu zetu mnadandia sana na kusahau kujitayarisha hii ni May, kumebaki miezi mitatu na nusu au ndio habari ile ile kama Serikali za mitaa ya visingizio?

Lakini nina hakika CHADEMA bila ruzuku haiwezi simama, hakuna wa kutoa pesa yake mfukoni kuchangia chama watashiriki tu ili washindwe wapate cha kusema. Kama ni wabunge hakuna hata mmoja atakayerudi bungeni maana wananchi wamewachoka na vitimbwi vyao!
"Those who stand for nothing fall for everthing".Wapinzani hawana wanachokisimamia,wanadandia treni tu toka 2015.October si mbali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, uelewa wanao Sana, Ila ni nchi ya watu wastarabu Sana, na ndiyo Maana kampeni zetu utaskia maneno yanasemwa, Unataka vita hutaki, basi watu woyooo! Vita hatutaki!!

Basi kama hutaki, usichachugue Chama fulani, Maana watu wake ni watu wakorofi, wanakimbia Bunge, wanaongea mpaka mishipa inawatoka, mara sijui bendera Yao inaashiria umwagaji wa damu, Wakati tulipata Uhuru Kwa Amani, basi mambo kibao

Lakini kweli, Ile rangi nyekundu kwenye Chama hicho huashilia nini bandugu?
N rangi tu km zilivyorangi nyingine mbona zipo bendera nyekundu ht Simba sc wanayo
 
Back
Top Bottom