paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,503
- 3,499
N rangi tu km zilivyorangi nyingine mbona zipo bendera nyekundu ht Simba sc wanayo
Hiki kinachoendelea natumaini Jemedari Mkuu, Field Marshal atatoa kauli kuhusu huu uhuni wa sukari kama kipindi kile miezi sita ya mwanzo wakati anaingia madarakani. Hii si bure wapo wachochezi walio nyuma ya wafanyabiashara.
Naona wazee wa kudandia sasa ndio imekuwa kwao ni habari ya mjini na mada kuu. Tuwakumbushe wazee wa kudandia, CCM ni chama dume na kubwa na kikongwe hakitingishwi na hujuma wala wahuni
Kimepita kwenye mawimbi mazito na mikondo mikubwa yenye dhoruba kali, mabaharia waoga walijaribu kujitosa baharini na kukimbilia visiwa vya wagagagigikoko baada ya kuona huko hakufai waliomba tena kusaini kwenye meli yenye manahodha wenye uzoefu mkubwa.
Tuwakumbushe ndugu zetu mnadandia sana na kusahau kujitayarisha hii ni May, kumebaki miezi mitatu na nusu au ndio habari ile ile kama Serikali za mitaa ya visingizio?
Lakini nina hakika CHADEMA bila ruzuku haiwezi simama, hakuna wa kutoa pesa yake mfukoni kuchangia chama watashiriki tu ili washindwe wapate cha kusema. Kama ni wabunge hakuna hata mmoja atakayerudi bungeni maana wananchi wamewachoka na vitimbwi vyao!
Chadema inakuuma nini roho?Hiki kinachoendelea natumaini Jemedari Mkuu, Field Marshal atatoa kauli kuhusu huu uhuni wa sukari kama kipindi kile miezi sita ya mwanzo wakati anaingia madarakani. Hii si bure wapo wachochezi walio nyuma ya wafanyabiashara.
Naona wazee wa kudandia sasa ndio imekuwa kwao ni habari ya mjini na mada kuu. Tuwakumbushe wazee wa kudandia, CCM ni chama dume na kubwa na kikongwe hakitingishwi na hujuma wala wahuni
Kimepita kwenye mawimbi mazito na mikondo mikubwa yenye dhoruba kali, mabaharia waoga walijaribu kujitosa baharini na kukimbilia visiwa vya wagagagigikoko baada ya kuona huko hakufai waliomba tena kusaini kwenye meli yenye manahodha wenye uzoefu mkubwa.
Tuwakumbushe ndugu zetu mnadandia sana na kusahau kujitayarisha hii ni May, kumebaki miezi mitatu na nusu au ndio habari ile ile kama Serikali za mitaa ya visingizio?
Lakini nina hakika CHADEMA bila ruzuku haiwezi simama, hakuna wa kutoa pesa yake mfukoni kuchangia chama watashiriki tu ili washindwe wapate cha kusema. Kama ni wabunge hakuna hata mmoja atakayerudi bungeni maana wananchi wamewachoka na vitimbwi vyao!
Mkuu unamaanisha ulichonijibu?,
Kiasi kwamba wewee unaweza ukajikuta inatengeneza tu kitu ambacho hujui ni cha nini?
Chadema inakuuma nini roho?
Haikusanyi kodi wala kufanya maamu
zi
KWANZA nenda kanywe dawa kabudi kawaletea
Kweli aise! Maana cdm ndiyo wamefanya sukari imeadimikaHiki kinachoendelea natumaini Jemedari Mkuu, Field Marshal atatoa kauli kuhusu huu uhuni wa sukari kama kipindi kile miezi sita ya mwanzo wakati anaingia madarakani. Hii si bure wapo wachochezi walio nyuma ya wafanyabiashara.
Naona wazee wa kudandia sasa ndio imekuwa kwao ni habari ya mjini na mada kuu. Tuwakumbushe wazee wa kudandia, CCM ni chama dume na kubwa na kikongwe hakitingishwi na hujuma wala wahuni
Kimepita kwenye mawimbi mazito na mikondo mikubwa yenye dhoruba kali, mabaharia waoga walijaribu kujitosa baharini na kukimbilia visiwa vya wagagagigikoko baada ya kuona huko hakufai waliomba tena kusaini kwenye meli yenye manahodha wenye uzoefu mkubwa.
Tuwakumbushe ndugu zetu mnadandia sana na kusahau kujitayarisha hii ni May, kumebaki miezi mitatu na nusu au ndio habari ile ile kama Serikali za mitaa ya visingizio?
Lakini nina hakika CHADEMA bila ruzuku haiwezi simama, hakuna wa kutoa pesa yake mfukoni kuchangia chama watashiriki tu ili washindwe wapate cha kusema. Kama ni wabunge hakuna hata mmoja atakayerudi bungeni maana wananchi wamewachoka na vitimbwi vyao!
Sababu ya sukari kuadimika ni cdmkadema wana bahati mbya sana, hawajawahi kudandia hoja ikawaokoa....au kwasababu hawavumill mpaka mwisho?
Maneno ya wanasiasa haya usiyaamini hata siku moja!Waziri husika anatakiwa awajibike, swala la sukari limekua tatizo sugu, Karibia kila mwaka linajirudia. Haiwezekani tuna miradi ya ma trilioni tuna hangaika na sukari.Mambo mengine madogomadogo wahusika hawako makini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kura ishapotea kabla hujapiga!Mm kura yangu inaenda CHADEMA naona kazi kubwa wanayofanya kuwatetea wananchi.
Asitokee zwazwa yeyote kunipangia katika hilo.
Huku nilipo Sukari inapatikana kwa taabu kubwa na ukiipata Kilo 1 ni Tsh 3500-4000.
Zitto hajawahi nunua sukari 6000 asikukaririshe maneno kama kasuku!Shukuruni hii nchi bado uwelewa wa watu wengi ni mdogo. Sio ishu za kudandia hv sukari kweli kilo elfu 6 watu wakae kimya tu
Si kweli hata kidogo hiki ulichoandika!Kipindi kile cha miezi sita ya mwanzo, field marshal wako sukari ilimshinda baada ya kuipandisha mwenyewe. Bei ya sukari ya sasa ni matokeo ya hatua zake mbovu. Ameingia madarakani sukari ilikuwa sh 1700/ sasa hivi ni sh 3500. Huo u field marshal unaompa unampa tu kwasababu wewe ni mpiga filimbi. Hamna kitu hapo. Tena nimjuavyo mimi ni mtu asiyena huruma kwa raia wake. Hawajali hata kidogo, labda nyie wapiga filimbi wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Yupi sasa kati ya mleta uzi au aliyemjibu mleta uzi!Upuuzi mtupu
Chama ndio kinachosimamisha serikali!Usijaribu kuhamisha tatizo kutoka kwa serikali kwenda kwa chama chochote.
Mkuu aliwahi kunukuliwa akisema kuwa akiwa Rais, tutalimia meno. Ndo tumeanza hivo. Hii dhahiri hakujiandaa kabisa kuendesha hii nchi, bali kuhakikisha tunalimia meno. Uji/chai tunakunywa bila sukari- kulimia meno, ajira hakuna-kulimia meno, Corona limeingia yeye chimbo- kulimia meno.
Ukweli ni kwamba, watetezi wa serikali tujitathmini kama tuna mwingine wa kumlaumu katika hili sukari zaidi ya serikali yenyewe. Mi sioni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umekunukia!Umeandika ushuzi mtupu
Shenzi
Litatumbuliwa tu liwe limeiva au bichi bila ganzi!Mkuu, uelewa wanao Sana, Ila ni nchi ya watu wastarabu Sana, na ndiyo Maana kampeni zetu utaskia maneno yanasemwa, Unataka vita hutaki, basi watu woyooo! Vita hatutaki!!
Basi kama hutaki, usichachugue Chama fulani, Maana watu wake ni watu wakorofi, wanakimbia Bunge, wanaongea mpaka mishipa inawatoka, mara sijui bendera Yao inaashiria umwagaji wa damu, Wakati tulipata Uhuru Kwa Amani, basi mambo kibao
Lakini kweli, Ile rangi nyekundu kwenye Chama hicho huashilia nini bandugu?
Lakini hili la sukari ni jipu
Mwenyekiti Mbowe hataki kutangaza tu lakini yeye ndio mtu wa kwanza kuifuata kisiwani!Yeye kapata dawa ya Madagascar hivyo hapo alipo roho yake iko kwatu.
Nilivaa barakoa original ikaniokoaUmekunukia!