Naona wazee wa kudandia treni wameachia ya Corona sasa wamedandia ya sukari!

Lakini wapinzani walivyotaka lockdown walijua sukari itapatikana wapi?

Dunia si imefungwa mkuu? Sukari tunaagizia wapi??

Lockdown hali si ingekuwa mbaya, hilo trailer tu

..kabla ya covid19 dunia ilikuwa haijafungwa.

..serikali ilipoona ugonjwa umeanza China ilichukua hatua gani za maandalizi?

..tulitakiwa tujiandae kwa kuhakikisha tuna bidhaa muhimu za kutosha kama nafaka, sukari, mafuta, etc kwa kuzingatia uwezekano wa supply lines kukatika.
 

Whaaat!!


Naomba uzi wako wewe personal, post ambayo ulikumbusha hilo
 
Whaaat!!


Naomba uzi wako wewe personal, post ambayo ulikumbusha hilo

..unashangaa nini?

..sasa kama watu hawakufikiria masuala yote hayo wanafanya nini huko serikalini?

..why are we paying them?

..kuna wakati huwa wanasema serikali ina akiba ya fedha kiasi fulani, je akiba hiyo ni ya nini kama siyo kwa nyakati za dharura kama kipindi hiki?

..katika dunia ya leo, THREATS siyo adui anayekujia na makombora na vifaru, threats ni pamoja na matukio kama hii covid19, wadudu waharibifu wa mazao, etc etc.
 
Je CCM kuna mtu anatia pesa zake mfukoni ku support chama? Je CCM wao hawapati Ruzuku? na Je HAO Chadema wadandia hoja ndo wameficha sukari?. je mnasubiri nini kuwapeleka mahakamani?
 
Wewe ushazoea kunywa matapu tapu hivyo chai kwako ni kachumbali na pilipili kwa wingi ili kutoa loki.
In God we Trust
 
Kikwete aliwacha sukari kilo moja sh 1800-leo hii ni sh 4000-

In God we Trust
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…