Right Way In Light
JF-Expert Member
- Jul 27, 2024
- 1,322
- 3,461
- Thread starter
- #281
Nakuja chief.Njoo DM nikupe mwongozo, hatuchukuagi hatua ndo tutafute ushahidi, tunakuwa na ushahidi,
Radisha mke, then umlie timing, umekurupuka!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuja chief.Njoo DM nikupe mwongozo, hatuchukuagi hatua ndo tutafute ushahidi, tunakuwa na ushahidi,
Radisha mke, then umlie timing, umekurupuka!
Kwakweli haya mambo ya ndoa za watu si ya kuingiliaToka saa 6 usiku mpaka dakika hii natupia huu uzi, niko macho, si kwamba sijaweza kulala ila sijapendelea ku share kitanda hizi siku kadhaa na wife. So niko zangu tu library ambapo mahala huwa napatumia kama ofisi yangu ya nyumbani pia kama prayer room binafsi hasa nyakati za usiku.
Namtafakari sana wife baada ya juzi kunitumia tishio kwa mara nyingine ya 5 katika miaka yetu 15 ya mahusiano na 11 ya ndoa takatifu.
Tishio lake ni lile lile "TUACHANE", "IT'S OVER".
Imagine ni mwanamke ndiye amekua frontline kunitisha tisha na haya maneno kila mara tunapopishana na yeye akiwa sababu.
Nimempuuzia kwa mara nyingi za kutosha but i think this time, nitachukua hatua.
Nimemvumilia kwenye mengi sana, na yeye kwao dada zake wanamchukuliaga kama perfect example. Sijawah kumu expose madhaifu yake meeengi sana ambayo kwa mwanaume yoyote (average) hangeweza kuchukuliana nayo.
Sijawahi kuya report kwao, wala kwetu. Sasa this time hiz red flags nimeona zinatosha na nikaamua kufanya decision kuwa "LET IT BE OVER FOR REAL NOW".
Kashani bip kwa muda mrefu, sasa nikisema nisubiri kupigiwa, yasije yakanikuta ya Hezbollah leaders, kupokea simu zenye vilipuzi, nikafa mazima.
Nikaamua kuwajuza dada zake woote kuhusu nini kimetokea juzi, wakawa hawataki kukubali kuwa ni kweli. Licha ya kuwatumia screen shot japo wametingishika vya kutosha.
Nime make the second move.
Kwakua hawaamini, na hawajamjua mdogo wao kwa jinsi ninavyomjua mimi, nimeamua kuwapa classified top secret file japo nikaondoa baadhi ya vipengele tata wasijedondosha simu zao wanapofingua ujumbe baada ya kuupata.
Why have i done this?
am boldly trying to make them realize kuwa this very time it is gona be over for real.
Niko nawaza tu kuhusu wanangu hapa hawa wanne (4) Mungu aliotujaalia ni namna gani nita handle. Juzi nilifikia uamuzi wa kumfukuza home (na nikampa nguo zake asepe) ila akawahi kumpigia maza home mkoani kuhusu yeye kufukuzwa na mimi, mama akanipandia hewani kuniomba(huwa ananijua mwanae nikoje nikishavurugwa). Nikamkatalia maza kata kata.
Baada ya dakika 10 naona simu ya dingi. Sasa huyu ni kamanda kwel kwel, ni wale mafaza wakoloni, neno lake ni sheria na haongei mara 2. Huyu kwake na utu uzima wangu, nakua mdogo kama pilitoni.
akasema neno moja tu "sitaki kusikia hilo suala mpaka nitakapo kuja tulizungumze" ,hivyo yan, kisha akakata simu.
So hapa nasubiri kikao na wazee na hapa, niitaweka msimamo wangu wazi kuwa siko tayar kuendelea.
LOoking forward for that meeting, nimemchek mwamba wangu mmjoa tulisoma CS one class kwasasa yeye ni afisa uhamiaji, nikamuomba anipe muongozo wa ku hack na ku track call, videos and messages zoote , kitu ambacho sikuwah kutaka kufika huko before but now kwakua nishaamua kumwaga na mimi mboga, najua nitaambulia some evidences huko zinisaidie kwenye kikao na wazee kama ushahidi mbali na files zangu nilizoziandaa tayari.
Ahsanteni.
Niwatakie alfajiri njema na jumapil njema.
Acha nianze kujiandaa kwaajil ya kufika ibadani.
Mungu awabariki
"Maranatha".
DIngi angu ni mtata sana, yukogo hivyo yan toka tunakua. He is 72 now very energetic like yuko 50s kulingana na nature ya shughul zake. So licha ya kumueheshimu, ila kuna mambo mengine still bado namuogopa kinamna flan.. ni mzazi so hii kitu huwa ina happen tu kama ujuavyo sisi generation ya 80' kurud nyuma.Inaonesha unamuogopa dingi yako sana,its strange,why?
Toka saa 6 usiku mpaka dakika hii natupia huu uzi, niko macho, si kwamba sijaweza kulala ila sijapendelea ku share kitanda hizi siku kadhaa na wife. So niko zangu tu library ambapo mahala huwa napatumia kama ofisi yangu ya nyumbani pia kama prayer room binafsi hasa nyakati za usiku.
Namtafakari sana wife baada ya juzi kunitumia tishio kwa mara nyingine ya 5 katika miaka yetu 15 ya mahusiano na 11 ya ndoa takatifu.
Tishio lake ni lile lile "TUACHANE", "IT'S OVER".
Imagine ni mwanamke ndiye amekua frontline kunitisha tisha na haya maneno kila mara tunapopishana na yeye akiwa sababu.
Nimempuuzia kwa mara nyingi za kutosha but i think this time, nitachukua hatua.
Nimemvumilia kwenye mengi sana, na yeye kwao dada zake wanamchukuliaga kama perfect example. Sijawah kumu expose madhaifu yake meeengi sana ambayo kwa mwanaume yoyote (average) hangeweza kuchukuliana nayo.
Sijawahi kuya report kwao, wala kwetu. Sasa this time hiz red flags nimeona zinatosha na nikaamua kufanya decision kuwa "LET IT BE OVER FOR REAL NOW".
Kashani bip kwa muda mrefu, sasa nikisema nisubiri kupigiwa, yasije yakanikuta ya Hezbollah leaders, kupokea simu zenye vilipuzi, nikafa mazima.
Nikaamua kuwajuza dada zake woote kuhusu nini kimetokea juzi, wakawa hawataki kukubali kuwa ni kweli. Licha ya kuwatumia screen shot japo wametingishika vya kutosha.
Nime make the second move.
Kwakua hawaamini, na hawajamjua mdogo wao kwa jinsi ninavyomjua mimi, nimeamua kuwapa classified top secret file japo nikaondoa baadhi ya vipengele tata wasijedondosha simu zao wanapofingua ujumbe baada ya kuupata.
Why have i done this?
am boldly trying to make them realize kuwa this very time it is gona be over for real.
Niko nawaza tu kuhusu wanangu hapa hawa wanne (4) Mungu aliotujaalia ni namna gani nita handle. Juzi nilifikia uamuzi wa kumfukuza home (na nikampa nguo zake asepe) ila akawahi kumpigia maza home mkoani kuhusu yeye kufukuzwa na mimi, mama akanipandia hewani kuniomba(huwa ananijua mwanae nikoje nikishavurugwa). Nikamkatalia maza kata kata.
Baada ya dakika 10 naona simu ya dingi. Sasa huyu ni kamanda kwel kwel, ni wale mafaza wakoloni, neno lake ni sheria na haongei mara 2. Huyu kwake na utu uzima wangu, nakua mdogo kama pilitoni.
akasema neno moja tu "sitaki kusikia hilo suala mpaka nitakapo kuja tulizungumze" ,hivyo yan, kisha akakata simu.
So hapa nasubiri kikao na wazee na hapa, niitaweka msimamo wangu wazi kuwa siko tayar kuendelea.
LOoking forward for that meeting, nimemchek mwamba wangu mmjoa tulisoma CS one class kwasasa yeye ni afisa uhamiaji, nikamuomba anipe muongozo wa ku hack na ku track call, videos and messages zoote , kitu ambacho sikuwah kutaka kufika huko before but now kwakua nishaamua kumwaga na mimi mboga, najua nitaambulia some evidences huko zinisaidie kwenye kikao na wazee kama ushahidi mbali na files zangu nilizoziandaa tayari.
Ahsanteni.
Niwatakie alfajiri njema na jumapil njema.
Acha nianze kujiandaa kwaajil ya kufika ibadani.
Mungu awabariki
"Maranatha".
Basi hilo neno unalosema sana kuna siku litakugharimu mno, ni suala la muda tu.Mbona mimi Hilo neno la tuachane nalisema sana na sina lolote uko nje ni yeye tu, mtuelewe tu wanawake
Yah sure . Na ndio maana hata mimi nimelivumilia mara zoote 4 ila hii ya 5 nimeona hii sasa ni serious. Sipaswi kulipuuziaBasi hilo neno unalosema sana kuna siku litakugharimu mno, ni suala la muda tu.
Kumtisha mwenza kuwa muachane ni hatari maana mwenzio atajua kumbe hamna future ya pamoja, so lazima ataanza kujitenga kwa mambo kadhaa na atajitahidi kutafuta mbadala wako kimya kimya. Akishanogewa huko atafanya kweli chap kumbe wewe ulikuwa unatania. Ni kama tu kumtishia mtu kuwa utamuua, hata kama haupo serious lazima atajihami
Mkuu,Sure mkuu kwenye suala la kuwapa taarifa ni yeye ndio akajiwah maana nilishamtimua, saa 2 usiku Friday tar 1, huko nje ndio akawapigia simu wazee wangu.
Hakuomba msamaha wala hakujigusa so hata wazee walipo fosi aingie ndani, chumban aliingia kulala saa 7 za usiku mda wote yuko sitting ana chat.!.Mkuu,
Ulivyomtimua reaction yake ilikuwaje, aliomba msamaha? Alikuomba kurudi?
NimekusomaDIngi angu ni mtata sana, yukogo hivyo yan toka tunakua. He is 72 now very energetic like yuko 50s kulingana na nature ya shughul zake. So licha ya kumueheshimu, ila kuna mambo mengine still bado namuogopa kinamna flan.. ni mzazi so hii kitu huwa ina happen tu kama ujuavyo sisi generation ya 80' kurud nyuma.
Nakushauri umtimizie haja ya moyo wake ya kuachana naye kama hutaki kufa kabla ya wakati wako.Toka saa 6 usiku mpaka dakika hii natupia huu uzi, niko macho, si kwamba sijaweza kulala ila sijapendelea ku share kitanda hizi siku kadhaa na wife. So niko zangu tu library ambapo mahala huwa napatumia kama ofisi yangu ya nyumbani pia kama prayer room binafsi hasa nyakati za usiku.
Namtafakari sana wife baada ya juzi kunitumia tishio kwa mara nyingine ya 5 katika miaka yetu 15 ya mahusiano na 11 ya ndoa takatifu.
Tishio lake ni lile lile "TUACHANE", "IT'S OVER".
Imagine ni mwanamke ndiye amekua frontline kunitisha tisha na haya maneno kila mara tunapopishana na yeye akiwa sababu.
Nimempuuzia kwa mara nyingi za kutosha but i think this time, nitachukua hatua.
Nimemvumilia kwenye mengi sana, na yeye kwao dada zake wanamchukuliaga kama perfect example. Sijawah kumu expose madhaifu yake meeengi sana ambayo kwa mwanaume yoyote (average) hangeweza kuchukuliana nayo.
Sijawahi kuya report kwao, wala kwetu. Sasa this time hiz red flags nimeona zinatosha na nikaamua kufanya decision kuwa "LET IT BE OVER FOR REAL NOW".
Kashani bip kwa muda mrefu, sasa nikisema nisubiri kupigiwa, yasije yakanikuta ya Hezbollah leaders, kupokea simu zenye vilipuzi, nikafa mazima.
Nikaamua kuwajuza dada zake woote kuhusu nini kimetokea juzi, wakawa hawataki kukubali kuwa ni kweli. Licha ya kuwatumia screen shot japo wametingishika vya kutosha.
Nime make the second move.
Kwakua hawaamini, na hawajamjua mdogo wao kwa jinsi ninavyomjua mimi, nimeamua kuwapa classified top secret file japo nikaondoa baadhi ya vipengele tata wasijedondosha simu zao wanapofingua ujumbe baada ya kuupata.
Why have i done this?
am boldly trying to make them realize kuwa this very time it is gona be over for real.
Niko nawaza tu kuhusu wanangu hapa hawa wanne (4) Mungu aliotujaalia ni namna gani nita handle. Juzi nilifikia uamuzi wa kumfukuza home (na nikampa nguo zake asepe) ila akawahi kumpigia maza home mkoani kuhusu yeye kufukuzwa na mimi, mama akanipandia hewani kuniomba(huwa ananijua mwanae nikoje nikishavurugwa). Nikamkatalia maza kata kata.
Baada ya dakika 10 naona simu ya dingi. Sasa huyu ni kamanda kwel kwel, ni wale mafaza wakoloni, neno lake ni sheria na haongei mara 2. Huyu kwake na utu uzima wangu, nakua mdogo kama pilitoni.
akasema neno moja tu "sitaki kusikia hilo suala mpaka nitakapo kuja tulizungumze" ,hivyo yan, kisha akakata simu.
So hapa nasubiri kikao na wazee na hapa, niitaweka msimamo wangu wazi kuwa siko tayar kuendelea.
LOoking forward for that meeting, nimemchek mwamba wangu mmjoa tulisoma CS one class kwasasa yeye ni afisa uhamiaji, nikamuomba anipe muongozo wa ku hack na ku track call, videos and messages zoote , kitu ambacho sikuwah kutaka kufika huko before but now kwakua nishaamua kumwaga na mimi mboga, najua nitaambulia some evidences huko zinisaidie kwenye kikao na wazee kama ushahidi mbali na files zangu nilizoziandaa tayari.
Ahsanteni.
Niwatakie alfajiri njema na jumapil njema.
Acha nianze kujiandaa kwaajil ya kufika ibadani.
Mungu awabariki
"Maranatha".
OK, unamaanisha 'hacking' ya simu yake?
Mkeo alikuji nn mkuu baada ya kuuliza?Huyu ndio alinitimgisha na hata wife alijua kabisa na nikawaga namueleza huyu mtoto vipi? Mbona sikuelewi??
Wacha wee!!Hata hivyo mkuu, wewe una tolerance ya hali ya juu sana...kwangu mimi wife hawezi thubutu kunitishia jambo kama hilo mara 2 akawa salama...lkn muhimu, kama umeamua mbwai na iwe mbwai then hakuna sbb ya kumfichia hata chembe ya udhaifu wake kwa ndugu zake, lazima awe exposed, coz i'm quite sure she's been going arround playing innocent huku akiyahubiri madhaifu yako.
She was soo much disturbed, na halikua swali la mara moja au 2 au 3. So hakuwah kuweza kunijibu zaod ya kusema "sasa haya ni maswali gani au nikueleweje?"Mkeo alikuji nn mkuu baada ya kuuliza?
Sio mwanaume tu. Mimi ni ke, alikuwa anapenda kuliongea hilo neno, kama vipi tuachane. Mbona nilimuacha kweli. Niliita mjumbe nikaondoka na kila kilicho changu ili asije kusema nimetoroka na kumuibia.Tuachane!!
Mwanamke akiniambia hivi kabla hajamaliza ntampatia jibu hapo hapo
Hiyo ni sifa ya mwanaume
Ukianza kujiuma uma tu kama mwanamke mwenzake basi umekwisha
Mwambie aende na achukue vya kwake hata akienda kuprocess kugawana mali gawana mali bila pingamizi lolote anachokistahili mpatie achana nae
Okay, say hello to the other Angels on your side.Umevumilia sana aisee unawezajw kukaa na mwanamke mzinzi?
Mimi sio mpaka nione ushahidi.
Hata kama sijamkamata nikipata hisia tu au hata ndoto kwamba mke wangu anapigwa nje basi ndio mwisho wake.
Sitakiwi kupata hata hisia au wasi wasi hilo ni kosa kwake. Why should i doubt about her? These are crual questions.