Naona wazi kabisa kitaumana. Najiona kabisa nimesha fade up

Naona wazi kabisa kitaumana. Najiona kabisa nimesha fade up

Toka saa 6 usiku mpaka dakika hii natupia huu uzi, niko macho, si kwamba sijaweza kulala ila sijapendelea ku share kitanda hizi siku kadhaa na wife. So niko zangu tu library ambapo mahala huwa napatumia kama ofisi yangu ya nyumbani pia kama prayer room binafsi hasa nyakati za usiku.

Namtafakari sana wife baada ya juzi kunitumia tishio kwa mara nyingine ya 5 katika miaka yetu 15 ya mahusiano na 11 ya ndoa takatifu.

Tishio lake ni lile lile "TUACHANE", "IT'S OVER".

Imagine ni mwanamke ndiye amekua frontline kunitisha tisha na haya maneno kila mara tunapopishana na yeye akiwa sababu.
Nimempuuzia kwa mara nyingi za kutosha but i think this time, nitachukua hatua.

Nimemvumilia kwenye mengi sana, na yeye kwao dada zake wanamchukuliaga kama perfect example. Sijawah kumu expose madhaifu yake meeengi sana ambayo kwa mwanaume yoyote (average) hangeweza kuchukuliana nayo.
Sijawahi kuya report kwao, wala kwetu. Sasa this time hiz red flags nimeona zinatosha na nikaamua kufanya decision kuwa "LET IT BE OVER FOR REAL NOW".
Kashani bip kwa muda mrefu, sasa nikisema nisubiri kupigiwa, yasije yakanikuta ya Hezbollah leaders, kupokea simu zenye vilipuzi, nikafa mazima.

Nikaamua kuwajuza dada zake woote kuhusu nini kimetokea juzi, wakawa hawataki kukubali kuwa ni kweli. Licha ya kuwatumia screen shot japo wametingishika vya kutosha.
Nime make the second move.
Kwakua hawaamini, na hawajamjua mdogo wao kwa jinsi ninavyomjua mimi, nimeamua kuwapa classified top secret file japo nikaondoa baadhi ya vipengele tata wasijedondosha simu zao wanapofingua ujumbe baada ya kuupata.

Why have i done this?
am boldly trying to make them realize kuwa this very time it is gona be over for real.
Niko nawaza tu kuhusu wanangu hapa hawa wanne (4) Mungu aliotujaalia ni namna gani nita handle. Juzi nilifikia uamuzi wa kumfukuza home (na nikampa nguo zake asepe) ila akawahi kumpigia maza home mkoani kuhusu yeye kufukuzwa na mimi, mama akanipandia hewani kuniomba(huwa ananijua mwanae nikoje nikishavurugwa). Nikamkatalia maza kata kata.
Baada ya dakika 10 naona simu ya dingi. Sasa huyu ni kamanda kwel kwel, ni wale mafaza wakoloni, neno lake ni sheria na haongei mara 2. Huyu kwake na utu uzima wangu, nakua mdogo kama pilitoni.
akasema neno moja tu "sitaki kusikia hilo suala mpaka nitakapo kuja tulizungumze" ,hivyo yan, kisha akakata simu.

So hapa nasubiri kikao na wazee na hapa, niitaweka msimamo wangu wazi kuwa siko tayar kuendelea.
LOoking forward for that meeting, nimemchek mwamba wangu mmjoa tulisoma CS one class kwasasa yeye ni afisa uhamiaji, nikamuomba anipe muongozo wa ku hack na ku track call, videos and messages zoote , kitu ambacho sikuwah kutaka kufika huko before but now kwakua nishaamua kumwaga na mimi mboga, najua nitaambulia some evidences huko zinisaidie kwenye kikao na wazee kama ushahidi mbali na files zangu nilizoziandaa tayari.

Ahsanteni.
Niwatakie alfajiri njema na jumapil njema.
Acha nianze kujiandaa kwaajil ya kufika ibadani.

Mungu awabariki
"Maranatha".
Kwakweli haya mambo ya ndoa za watu si ya kuingilia

Kama kuna uwezekano wewe nyamaza,kama ni kuachika ajiachie yeye mwenyewe

Mambo ya tracking na vingine usisubutu kufanya,utakufa kwa presha siku si zako,just drop it

Naangalia jinsi ya kuokoa watoto tu hapa

Kingine unahusisha watu wengi sana kwenye issue za ndoa yako...hao dada zake,sijui maza,sijui dingi,etc..achana nao

Mi hua naamini hakuna mtu anaeweza kukuelekeza cha kufanya kwenye mambo yako binafsi,hao watu wote wanakua irrelevant tayari

Inaonesha unamuogopa dingi yako sana,its strange,why?
 
Inaonesha unamuogopa dingi yako sana,its strange,why?
DIngi angu ni mtata sana, yukogo hivyo yan toka tunakua. He is 72 now very energetic like yuko 50s kulingana na nature ya shughul zake. So licha ya kumueheshimu, ila kuna mambo mengine still bado namuogopa kinamna flan.. ni mzazi so hii kitu huwa ina happen tu kama ujuavyo sisi generation ya 80' kurud nyuma.
 
Toka saa 6 usiku mpaka dakika hii natupia huu uzi, niko macho, si kwamba sijaweza kulala ila sijapendelea ku share kitanda hizi siku kadhaa na wife. So niko zangu tu library ambapo mahala huwa napatumia kama ofisi yangu ya nyumbani pia kama prayer room binafsi hasa nyakati za usiku.

Namtafakari sana wife baada ya juzi kunitumia tishio kwa mara nyingine ya 5 katika miaka yetu 15 ya mahusiano na 11 ya ndoa takatifu.

Tishio lake ni lile lile "TUACHANE", "IT'S OVER".

Imagine ni mwanamke ndiye amekua frontline kunitisha tisha na haya maneno kila mara tunapopishana na yeye akiwa sababu.
Nimempuuzia kwa mara nyingi za kutosha but i think this time, nitachukua hatua.

Nimemvumilia kwenye mengi sana, na yeye kwao dada zake wanamchukuliaga kama perfect example. Sijawah kumu expose madhaifu yake meeengi sana ambayo kwa mwanaume yoyote (average) hangeweza kuchukuliana nayo.
Sijawahi kuya report kwao, wala kwetu. Sasa this time hiz red flags nimeona zinatosha na nikaamua kufanya decision kuwa "LET IT BE OVER FOR REAL NOW".
Kashani bip kwa muda mrefu, sasa nikisema nisubiri kupigiwa, yasije yakanikuta ya Hezbollah leaders, kupokea simu zenye vilipuzi, nikafa mazima.

Nikaamua kuwajuza dada zake woote kuhusu nini kimetokea juzi, wakawa hawataki kukubali kuwa ni kweli. Licha ya kuwatumia screen shot japo wametingishika vya kutosha.
Nime make the second move.
Kwakua hawaamini, na hawajamjua mdogo wao kwa jinsi ninavyomjua mimi, nimeamua kuwapa classified top secret file japo nikaondoa baadhi ya vipengele tata wasijedondosha simu zao wanapofingua ujumbe baada ya kuupata.

Why have i done this?
am boldly trying to make them realize kuwa this very time it is gona be over for real.
Niko nawaza tu kuhusu wanangu hapa hawa wanne (4) Mungu aliotujaalia ni namna gani nita handle. Juzi nilifikia uamuzi wa kumfukuza home (na nikampa nguo zake asepe) ila akawahi kumpigia maza home mkoani kuhusu yeye kufukuzwa na mimi, mama akanipandia hewani kuniomba(huwa ananijua mwanae nikoje nikishavurugwa). Nikamkatalia maza kata kata.
Baada ya dakika 10 naona simu ya dingi. Sasa huyu ni kamanda kwel kwel, ni wale mafaza wakoloni, neno lake ni sheria na haongei mara 2. Huyu kwake na utu uzima wangu, nakua mdogo kama pilitoni.
akasema neno moja tu "sitaki kusikia hilo suala mpaka nitakapo kuja tulizungumze" ,hivyo yan, kisha akakata simu.

So hapa nasubiri kikao na wazee na hapa, niitaweka msimamo wangu wazi kuwa siko tayar kuendelea.
LOoking forward for that meeting, nimemchek mwamba wangu mmjoa tulisoma CS one class kwasasa yeye ni afisa uhamiaji, nikamuomba anipe muongozo wa ku hack na ku track call, videos and messages zoote , kitu ambacho sikuwah kutaka kufika huko before but now kwakua nishaamua kumwaga na mimi mboga, najua nitaambulia some evidences huko zinisaidie kwenye kikao na wazee kama ushahidi mbali na files zangu nilizoziandaa tayari.

Ahsanteni.
Niwatakie alfajiri njema na jumapil njema.
Acha nianze kujiandaa kwaajil ya kufika ibadani.

Mungu awabariki
"Maranatha".


Usikubali kuwekwa kikao kabisa. Kikubwa mwambie huyo mkeo kuwa ombi lake la kuachana umelifanyia analysis na majibu yametoka ni ndiyo umekubali muachane na umtake haraka sana aondoke.

Mwanamke akikuambia tuachane maana yake wewe sio wake tena ameshampata mwanaume mwingine na unatakiwa umjibu upesi "sawa nimekubali ombi lako la kuachana" alafu unakaa kimnya. Kosa umechukua muda mrefu sana kutoa majibu na bado unataka kukosea kuwekwa chini kwenye kikao cha kipuuzi.. sasa hivi unachotakiwa kufanya haraka ni kupanga mikakati ya namna ya kuishi na hao wanao wa nne na kuandikisha watoto mirathi haraka ili kuepusha kugawa mali kwa huyo ma-layer ( na muita hivyo cz sio mkeo tena ni vile haujui) . Na upange mkakati wa kuweka house girl mzuri na umjaki ili akutunzie wanao. Kuhusu kupata nyapu na kushauri sasa uwe baharia na karibu chmani ila kula kwa uangalifu mkubwa umeme na utapeli wa waziwazi upo huku duniani
 
Mbona mimi Hilo neno la tuachane nalisema sana na sina lolote uko nje ni yeye tu, mtuelewe tu wanawake
Basi hilo neno unalosema sana kuna siku litakugharimu mno, ni suala la muda tu.

Kumtisha mwenza kuwa muachane ni hatari maana mwenzio atajua kumbe hamna future ya pamoja, so lazima ataanza kujitenga kwa mambo kadhaa na atajitahidi kutafuta mbadala wako kimya kimya. Akishanogewa huko atafanya kweli chap kumbe wewe ulikuwa unatania. Ni kama tu kumtishia mtu kuwa utamuua, hata kama haupo serious lazima atajihami
 
Basi hilo neno unalosema sana kuna siku litakugharimu mno, ni suala la muda tu.

Kumtisha mwenza kuwa muachane ni hatari maana mwenzio atajua kumbe hamna future ya pamoja, so lazima ataanza kujitenga kwa mambo kadhaa na atajitahidi kutafuta mbadala wako kimya kimya. Akishanogewa huko atafanya kweli chap kumbe wewe ulikuwa unatania. Ni kama tu kumtishia mtu kuwa utamuua, hata kama haupo serious lazima atajihami
Yah sure . Na ndio maana hata mimi nimelivumilia mara zoote 4 ila hii ya 5 nimeona hii sasa ni serious. Sipaswi kulipuuzia
 
Mkuu,
Ulivyomtimua reaction yake ilikuwaje, aliomba msamaha? Alikuomba kurudi?
Hakuomba msamaha wala hakujigusa so hata wazee walipo fosi aingie ndani, chumban aliingia kulala saa 7 za usiku mda wote yuko sitting ana chat.!.
Sasa hapo mkuu unahitaji course ili uelewe kuwa this now is serious?????
 
DIngi angu ni mtata sana, yukogo hivyo yan toka tunakua. He is 72 now very energetic like yuko 50s kulingana na nature ya shughul zake. So licha ya kumueheshimu, ila kuna mambo mengine still bado namuogopa kinamna flan.. ni mzazi so hii kitu huwa ina happen tu kama ujuavyo sisi generation ya 80' kurud nyuma.
Nimekusoma
 
Tuachane!!
Mwanamke akiniambia hivi kabla hajamaliza ntampatia jibu hapo hapo
Hiyo ni sifa ya mwanaume
Ukianza kujiuma uma tu kama mwanamke mwenzake basi umekwisha
Mwambie aende na achukue vya kwake hata akienda kuprocess kugawana mali gawana mali bila pingamizi lolote anachokistahili mpatie achana nae
 
Toka saa 6 usiku mpaka dakika hii natupia huu uzi, niko macho, si kwamba sijaweza kulala ila sijapendelea ku share kitanda hizi siku kadhaa na wife. So niko zangu tu library ambapo mahala huwa napatumia kama ofisi yangu ya nyumbani pia kama prayer room binafsi hasa nyakati za usiku.

Namtafakari sana wife baada ya juzi kunitumia tishio kwa mara nyingine ya 5 katika miaka yetu 15 ya mahusiano na 11 ya ndoa takatifu.

Tishio lake ni lile lile "TUACHANE", "IT'S OVER".

Imagine ni mwanamke ndiye amekua frontline kunitisha tisha na haya maneno kila mara tunapopishana na yeye akiwa sababu.
Nimempuuzia kwa mara nyingi za kutosha but i think this time, nitachukua hatua.

Nimemvumilia kwenye mengi sana, na yeye kwao dada zake wanamchukuliaga kama perfect example. Sijawah kumu expose madhaifu yake meeengi sana ambayo kwa mwanaume yoyote (average) hangeweza kuchukuliana nayo.
Sijawahi kuya report kwao, wala kwetu. Sasa this time hiz red flags nimeona zinatosha na nikaamua kufanya decision kuwa "LET IT BE OVER FOR REAL NOW".
Kashani bip kwa muda mrefu, sasa nikisema nisubiri kupigiwa, yasije yakanikuta ya Hezbollah leaders, kupokea simu zenye vilipuzi, nikafa mazima.

Nikaamua kuwajuza dada zake woote kuhusu nini kimetokea juzi, wakawa hawataki kukubali kuwa ni kweli. Licha ya kuwatumia screen shot japo wametingishika vya kutosha.
Nime make the second move.
Kwakua hawaamini, na hawajamjua mdogo wao kwa jinsi ninavyomjua mimi, nimeamua kuwapa classified top secret file japo nikaondoa baadhi ya vipengele tata wasijedondosha simu zao wanapofingua ujumbe baada ya kuupata.

Why have i done this?
am boldly trying to make them realize kuwa this very time it is gona be over for real.
Niko nawaza tu kuhusu wanangu hapa hawa wanne (4) Mungu aliotujaalia ni namna gani nita handle. Juzi nilifikia uamuzi wa kumfukuza home (na nikampa nguo zake asepe) ila akawahi kumpigia maza home mkoani kuhusu yeye kufukuzwa na mimi, mama akanipandia hewani kuniomba(huwa ananijua mwanae nikoje nikishavurugwa). Nikamkatalia maza kata kata.
Baada ya dakika 10 naona simu ya dingi. Sasa huyu ni kamanda kwel kwel, ni wale mafaza wakoloni, neno lake ni sheria na haongei mara 2. Huyu kwake na utu uzima wangu, nakua mdogo kama pilitoni.
akasema neno moja tu "sitaki kusikia hilo suala mpaka nitakapo kuja tulizungumze" ,hivyo yan, kisha akakata simu.

So hapa nasubiri kikao na wazee na hapa, niitaweka msimamo wangu wazi kuwa siko tayar kuendelea.
LOoking forward for that meeting, nimemchek mwamba wangu mmjoa tulisoma CS one class kwasasa yeye ni afisa uhamiaji, nikamuomba anipe muongozo wa ku hack na ku track call, videos and messages zoote , kitu ambacho sikuwah kutaka kufika huko before but now kwakua nishaamua kumwaga na mimi mboga, najua nitaambulia some evidences huko zinisaidie kwenye kikao na wazee kama ushahidi mbali na files zangu nilizoziandaa tayari.

Ahsanteni.
Niwatakie alfajiri njema na jumapil njema.
Acha nianze kujiandaa kwaajil ya kufika ibadani.

Mungu awabariki
"Maranatha".
Nakushauri umtimizie haja ya moyo wake ya kuachana naye kama hutaki kufa kabla ya wakati wako.
 
mke awe wa ndoa au unaishi nae kienyeji akikutamkia kwa kinywa chake neno TUACHANE, bila kushurutishwa au hata kwa UTANI, MUACHE yani ACHANA NAE. ukiendekeza kumyenyekea ujue IMEKULA KWAKO. jua kuwa neno tuachane ameshaliwaza akilini mwake mara milion elfu.
 
Duh dunian kweli watu tunafanana Kwa mengi,hii story yako mkuu kama nimekutumia uniandikie aisee,tofaut ni hapo kweny vikao tu mm sijafikia huko Bado ila wanawake aisee🙌
 
Hata hivyo mkuu, wewe una tolerance ya hali ya juu sana...kwangu mimi wife hawezi thubutu kunitishia jambo kama hilo mara 2 akawa salama...lkn muhimu, kama umeamua mbwai na iwe mbwai then hakuna sbb ya kumfichia hata chembe ya udhaifu wake kwa ndugu zake, lazima awe exposed, coz i'm quite sure she's been going arround playing innocent huku akiyahubiri madhaifu yako.
Wacha wee!!

Dearest concerned Tanzanian, what gives you that much authority anyway?
 
Mkeo alikuji nn mkuu baada ya kuuliza?
She was soo much disturbed, na halikua swali la mara moja au 2 au 3. So hakuwah kuweza kunijibu zaod ya kusema "sasa haya ni maswali gani au nikueleweje?"
Ni mpaka mama alipokuja na picha zangu ambazo sikuwah kuzijua. Alipoziweka mezani aahh sikuuliza mara 2
 
Tuachane!!
Mwanamke akiniambia hivi kabla hajamaliza ntampatia jibu hapo hapo
Hiyo ni sifa ya mwanaume
Ukianza kujiuma uma tu kama mwanamke mwenzake basi umekwisha
Mwambie aende na achukue vya kwake hata akienda kuprocess kugawana mali gawana mali bila pingamizi lolote anachokistahili mpatie achana nae
Sio mwanaume tu. Mimi ni ke, alikuwa anapenda kuliongea hilo neno, kama vipi tuachane. Mbona nilimuacha kweli. Niliita mjumbe nikaondoka na kila kilicho changu ili asije kusema nimetoroka na kumuibia.
Baada ya kuondoka ndugu zangu wakaitisha kikao cha kuhitimisha kuachana. Sikutaka sijui usuluhishi maana niliona hakuna mtu wa kubadilika pale.
That was the end
Ndoa ikavunjwa mahakamani
 
Umevumilia sana aisee unawezajw kukaa na mwanamke mzinzi?

Mimi sio mpaka nione ushahidi.
Hata kama sijamkamata nikipata hisia tu au hata ndoto kwamba mke wangu anapigwa nje basi ndio mwisho wake.

Sitakiwi kupata hata hisia au wasi wasi hilo ni kosa kwake. Why should i doubt about her? These are crual questions.
Okay, say hello to the other Angels on your side.

Hatari sana.



Indians na Betting machines zao wakiwekeza kwenye ndoa na odds zake, ni mavuno tu wallah!

So sad.
 
Back
Top Bottom