mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 3,074
- 6,472
usalit gan kwan ulimshika kifuan au umekuta textShida mwanamke msaliti,hivi unajua maumivu ya kusalitiwa kweli,Bora kuachana tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usalit gan kwan ulimshika kifuan au umekuta textShida mwanamke msaliti,hivi unajua maumivu ya kusalitiwa kweli,Bora kuachana tu
KumekuchaNjoo nikuliwaze 🐒
Hapo kwenye kupiga nyeto, ni ushauri wa kipumbavu sana ,acha ufalaShalom mtumishi
Hongera kwa maamuzi magumu
Wanawake huwa ni wapuuzi sana wewe ni kama mimi wanawake huwa wanatuchukulia wanaume wapole kama watu dhaifu sana
No turning back shikilia hapo hapo
Lea wanao hilo nikushauri sana
Na usiingie kwenye mahusiano mapya mzee
Kama unaweza piga nyeto tafta sabuni piga nyeto kwa sasa hata ukizidiwa vipi usitafte mwanamke ( kuna siku utanielewa)
Kunywa maji fanya kazi zako hio story usiwasimulie sana watu
Iache tu wakikuuliza sema ndivyo ilivyo ishia hapo
Ila lea wanao... Utapata mwanamke baadae sana na usimpe kabisa story za mwanamke aliyepita ila mwambie tu nlifanya maamuzi magumu mpe kwa ufupi atajua sasa upoje
Yana ukwel haya??🤣Mbona mimi Hilo neno la tuachane nalisema sana na sina lolote uko nje ni yeye tu, mtuelewe tu wanawake
For sure maana saa hii niko niko tuuu sieleweki yan😆Njoo nikuliwaze 🐒
Kama kamuhifadhi kwa miaka 15, anashindwa nini kuendelea kumuhifadhi? kama ni magonjwa wote wanayo, sasa anataka amuachie nani?Yaani malaya aendelee kuhifadhiwa ndani na kulishwa ili awe free sasa kufanya umalaya wake kama bwai bwai mzee kuna maisha hata maada ya kuacha mbona sisi wengine tuliweza move on...!
Hahaha yani waachane tu, kwani wao wakwanza?Ndoa Aiharibu Mke Kuvumilia Avumilie Mume Unachekesha mkuu
I guess you will live forever man.Usimpoteze, mawazo yako hayafaihata kidogo and I'm writing this from my own experience. Me and my wife we're now clocking 23yrs but I was in a terrible, awkward and miserable relationship before I met her. My first born from my first relationship is now a grown-up dude but if I would have forced myself to 'stick' sidhani kama ningekuwa hai yaani the frustrations she used to put me through ni balaa, kufa kwa sonona au kutokuwa sawa mentally would have been an obvious aftermath.
Hahaha i like that.Hamna kitu kama icho, Mwanamke akizingua mtimue, this is how we shape women, how we bring women back to square one
Ndoa zenye kudumu huonyesha mwanzo wakati munaanza maisha, ukianza kuona red flag mapema chukua hatua mapema, vyenginevyo utakuwa unapoteza muda wako bure tu, mahusiano hayalazimishwi hata Kama lengo ni kila mtu kutimiza shida zake usiharibu kufosi utajutia. Pole sana kakaHajacheza mbali mkuu. Mwanamke ukiona anakubabaishabkila saa tuachane wewe jua tu kuna mwamba huko anatikisa nyavu kibabe. Na hil si kwamba sikulihisi, ni vile niliamua kuwa mpole na kujifnya mjinga.
Sasa kwakua anataka sana, bas acha apewe tu hiyo liberty
Hata wangekuwa wapiliHahaha yani waachane tu, kwani wao wakwanza?
Kwamba mnapima?Mbona mimi Hilo neno la tuachane nalisema sana na sina lolote uko nje ni yeye tu, mtuelewe tu wanawake
NI kwel. Shukran sanaNdoa zenye kudumu huonyesha mwanzo wakati munaanza maisha, ukianza kuona red flag mapema chukua hatua mapema, vyenginevyo utakuwa unapoteza muda wako bure tu, mahusiano hayalazimishwi hata Kama lengo ni kila mtu kutimiza shida zake usiharibu kufosi utajutia. Pole sana kaka
Anza na DNA za watoto, matokeo yanaweza kumaliza kesi kirahisi sana😂😂😩kesi yetu ime base zaid huku. Japo sijawah mkamata red handed, ila nina vithibisho kadha wa kadha katika history toka 2012 mpaka sasa ambapo nimeamua kuvitafutia proof ukiachana na message ambazo nilizikamata those days way back
Ahahahah..kwa watoto am sure ni wangu.Kama ndo hivyo hata hio mitoto Wenda sio wako