Naona wazi kabisa kitaumana. Najiona kabisa nimesha fade up

Naona wazi kabisa kitaumana. Najiona kabisa nimesha fade up

Kikao kiki kaa kila mmoja akatoa la moyon,, na akakubal YAISHE//msamaha ukatolewa bas msamehe maisha YAENDELEE hakuna WAUKWELI ni neema ya mungu mama wa kambo ni mama wa kambo TUNA WATOTO MKUU,,,
 
Unakaaje na Mwanamke wa hivyo? Tuachane Tuachane Tuachane ni wimbo wa Zuchu kaoa Zuchu ndani?
Unajuaje kama mleta Uzi ndio Malaya na anatafuta huruma za watu umeshasikia upande wa pili au unahukumu tu sababu huyu kajieleza nyumba zina Siri kubwa huyu mke wake naye akipewa nafasi ajieleze hapa ndio tunaweza kujua shida Iko Kwa nani zaidi ya hapo sijaona shida hapa wavumiliane watoto wote hao nani atawalea on behalf
 
Toka saa 6 usiku mpaka dakika hii natupia huu uzi, niko macho, si kwamba sijaweza kulala ila sijapendelea ku share kitanda hizi siku kadhaa na wife. So niko zangu tu library ambapo mahala huwa napatumia kama ofisi yangu ya nyumbani pia kama prayer room binafsi hasa nyakati za usiku.

Namtafakari sana wife baada ya juzi kunitumia tishio kwa mara nyingine ya 5 katika miaka yetu 15 ya mahusiano na 11 ya ndoa takatifu.

Tishio lake ni lile lile "TUACHANE", "IT'S OVER".

Imagine ni mwanamke ndiye amekua frontline kunitisha tisha na haya maneno kila mara tunapopishana na yeye akiwa sababu.
Nimempuuzia kwa mara nyingi za kutosha but i think this time, nitachukua hatua.

Nimemvumilia kwenye mengi sana, na yeye kwao dada zake wanamchukuliaga kama perfect example. Sijawah kumu expose madhaifu yake meeengi sana ambayo kwa mwanaume yoyote (average) hangeweza kuchukuliana nayo.
Sijawahi kuya report kwao, wala kwetu. Sasa this time hiz red flags nimeona zinatosha na nikaamua kufanya decision kuwa "LET IT BE OVER FOR REAL NOW".
Kashani bip kwa muda mrefu, sasa nikisema nisubiri kupigiwa, yasije yakanikuta ya Hezbollah leaders, kupokea simu zenye vilipuzi, nikafa mazima.

Nikaamua kuwajuza dada zake woote kuhusu nini kimetokea juzi, wakawa hawataki kukubali kuwa ni kweli. Licha ya kuwatumia screen shot japo wametingishika vya kutosha.
Nime make the second move.
Kwakua hawaamini, na hawajamjua mdogo wao kwa jinsi ninavyomjua mimi, nimeamua kuwapa classified top secret file japo nikaondoa baadhi ya vipengele tata wasijedondosha simu zao wanapofingua ujumbe baada ya kuupata.

Why have i done this?
am boldly trying to make them realize kuwa this very time it is gona be over for real.
Niko nawaza tu kuhusu wanangu hapa hawa wanne (4) Mungu aliotujaalia ni namna gani nita handle. Juzi nilifikia uamuzi wa kumfukuza home (na nikampa nguo zake asepe) ila akawahi kumpigia maza home mkoani kuhusu yeye kufukuzwa na mimi, mama akanipandia hewani kuniomba(huwa ananijua mwanae nikoje nikishavurugwa). Nikamkatalia maza kata kata.
Baada ya dakika 10 naona simu ya dingi. Sasa huyu ni kamanda kwel kwel, ni wale mafaza wakoloni, neno lake ni sheria na haongei mara 2. Huyu kwake na utu uzima wangu, nakua mdogo kama pilitoni.
akasema neno moja tu "sitaki kusikia hilo suala mpaka nitakapo kuja tulizungumze" ,hivyo yan, kisha akakata simu.

So hapa nasubiri kikao na wazee na hapa, niitaweka msimamo wangu wazi kuwa siko tayar kuendelea.
LOoking forward for that meeting, nimemchek mwamba wangu mmjoa tulisoma CS one class kwasasa yeye ni afisa uhamiaji, nikamuomba anipe muongozo wa ku hack na ku track call, videos and messages zoote , kitu ambacho sikuwah kutaka kufika huko before but now kwakua nishaamua kumwaga na mimi mboga, najua nitaambulia some evidences huko zinisaidie kwenye kikao na wazee kama ushahidi mbali na files zangu nilizoziandaa tayari.

Ahsanteni.
Niwatakie alfajiri njema na jumapil njema.
Acha nianze kujiandaa kwaajil ya kufika ibadani.

Mungu awabariki
"Maranatha".
Naona kwenye kundi la Nice guy upo mkuu.

Jitahidi uwe katika kundi letu.Nje ni nice man ndani ni bad Man hii itakusaidia Sana.
 
Toka saa 6 usiku mpaka dakika hii natupia huu uzi, niko macho, si kwamba sijaweza kulala ila sijapendelea ku share kitanda hizi siku kadhaa na wife. So niko zangu tu library ambapo mahala huwa napatumia kama ofisi yangu ya nyumbani pia kama prayer room binafsi hasa nyakati za usiku.

Namtafakari sana wife baada ya juzi kunitumia tishio kwa mara nyingine ya 5 katika miaka yetu 15 ya mahusiano na 11 ya ndoa takatifu.

Tishio lake ni lile lile "TUACHANE", "IT'S OVER".

Imagine ni mwanamke ndiye amekua frontline kunitisha tisha na haya maneno kila mara tunapopishana na yeye akiwa sababu.
Nimempuuzia kwa mara nyingi za kutosha but i think this time, nitachukua hatua.

Nimemvumilia kwenye mengi sana, na yeye kwao dada zake wanamchukuliaga kama perfect example. Sijawah kumu expose madhaifu yake meeengi sana ambayo kwa mwanaume yoyote (average) hangeweza kuchukuliana nayo.
Sijawahi kuya report kwao, wala kwetu. Sasa this time hiz red flags nimeona zinatosha na nikaamua kufanya decision kuwa "LET IT BE OVER FOR REAL NOW".
Kashani bip kwa muda mrefu, sasa nikisema nisubiri kupigiwa, yasije yakanikuta ya Hezbollah leaders, kupokea simu zenye vilipuzi, nikafa mazima.

Nikaamua kuwajuza dada zake woote kuhusu nini kimetokea juzi, wakawa hawataki kukubali kuwa ni kweli. Licha ya kuwatumia screen shot japo wametingishika vya kutosha.
Nime make the second move.
Kwakua hawaamini, na hawajamjua mdogo wao kwa jinsi ninavyomjua mimi, nimeamua kuwapa classified top secret file japo nikaondoa baadhi ya vipengele tata wasijedondosha simu zao wanapofingua ujumbe baada ya kuupata.

Why have i done this?
am boldly trying to make them realize kuwa this very time it is gona be over for real.
Niko nawaza tu kuhusu wanangu hapa hawa wanne (4) Mungu aliotujaalia ni namna gani nita handle. Juzi nilifikia uamuzi wa kumfukuza home (na nikampa nguo zake asepe) ila akawahi kumpigia maza home mkoani kuhusu yeye kufukuzwa na mimi, mama akanipandia hewani kuniomba(huwa ananijua mwanae nikoje nikishavurugwa). Nikamkatalia maza kata kata.
Baada ya dakika 10 naona simu ya dingi. Sasa huyu ni kamanda kwel kwel, ni wale mafaza wakoloni, neno lake ni sheria na haongei mara 2. Huyu kwake na utu uzima wangu, nakua mdogo kama pilitoni.
akasema neno moja tu "sitaki kusikia hilo suala mpaka nitakapo kuja tulizungumze" ,hivyo yan, kisha akakata simu.

So hapa nasubiri kikao na wazee na hapa, niitaweka msimamo wangu wazi kuwa siko tayar kuendelea.
LOoking forward for that meeting, nimemchek mwamba wangu mmjoa tulisoma CS one class kwasasa yeye ni afisa uhamiaji, nikamuomba anipe muongozo wa ku hack na ku track call, videos and messages zoote , kitu ambacho sikuwah kutaka kufika huko before but now kwakua nishaamua kumwaga na mimi mboga, najua nitaambulia some evidences huko zinisaidie kwenye kikao na wazee kama ushahidi mbali na files zangu nilizoziandaa tayari.

Ahsanteni.
Niwatakie alfajiri njema na jumapil njema.
Acha nianze kujiandaa kwaajil ya kufika ibadani.

Mungu awabariki
"Maranatha".
Shalom mtumishi

Hongera kwa maamuzi magumu


Wanawake huwa ni wapuuzi sana wewe ni kama mimi wanawake huwa wanatuchukulia wanaume wapole kama watu dhaifu sana

No turning back shikilia hapo hapo

Lea wanao hilo nikushauri sana

Na usiingie kwenye mahusiano mapya mzee

Kama unaweza piga nyeto tafta sabuni piga nyeto kwa sasa hata ukizidiwa vipi usitafte mwanamke ( kuna siku utanielewa)

Kunywa maji fanya kazi zako hio story usiwasimulie sana watu

Iache tu wakikuuliza sema ndivyo ilivyo ishia hapo

Ila lea wanao... Utapata mwanamke baadae sana na usimpe kabisa story za mwanamke aliyepita ila mwambie tu nlifanya maamuzi magumu mpe kwa ufupi atajua sasa upoje
 
Tuliza moyo ndugu.Kuachana uzeeni kuna athari zake.Mtulize mama watoto myatulize.
Mke hataki kuendelea na jamaa,huoni mwisho wa siku mke anaweza kumuua hata kwa njia ya sumu inayoua taratibu?
Kwanini aendelee kumpa adhabu mkewe kwa kufosi kuoshi nae?
Maamuzi ya mke yaheshimiwe kuepusha madhara makubwa ambayo yanaweza kumkuta MUME.
Tambua mke atakua anamshirikisha hata ex wake au mtu mwingine wa jirani kabisa,kwa namna asivyotaka kuendelea kuishi na huyo jamaa na wao wanampa ushauri namna ya kudili nae,hujui wanamshauri nini.
 
Baba yako aheshimiwe lakini atambue na wewe ni baba sasa. Utawala wake unaishia nyumbani mwake na mkewe na wanao ishi ndani kwao.
Kwako anabaki mshauri tu. Ushauri siyo lazima upokelewe.

Atambue wewe ndiye atakae pata madhara ya kiafya n.k.
Atambue ni wewe ndiye unae dharaulika.
Ni wewe unaye pata maumivu rohoni.
Atambue dunia imebadilika haipo kama nyakati zao za ujana wao na mkewe.
 
Mambo mengine siomasikhara wana maanisha. Kaka yangu na jirani yangu wa upareni tumemzika mwezi wa sita kwa ajili ya kuupuuza haya mambo.
Kila wakati wakigombana na mkewe anamwambia kama vipi tuachane kila mtu achukue chake. Mke kamuakea sumu kwenye chakula jamaa bila kujua. Kula chakula baada ya muda kidogo puvu linamtoka na anatapatapa. Ndugu zake yalivyokuwa wanampeleka hospital neno la mwisho ni mke wangu kaniua.
Duuh,hamjamfungulia kesi?
 
Suala la kuweka watu pamoja waliozaliwa sehemu/jamii tofauti, jinsia tofauti na kulelewa kwa misingi tofauti si jepesi. Kwani hii huhitaji kuunganisha/ku-merge kati ya mnayofanana, mnayotofautiana vs mnayoyapenda vs msiyoyapenda nk.

Kwenye safari husika ya kuishi pamoja bado tunaendelea kupata mapokeo mapya ya kuishi duniani kwa kunyumbulika ndani ya sababu/factors tajwa kule juu(maana yake hatuna ukamilifu bado tuko dynamic).

Tukitambua kutokuwa wakamilifu, bado kwa kutambua hilo tunastahili kujengana kwa kuwezeshana yale yaliyotuweka pamoja yaendelee kuwa juu ya yale hasi.

Kuna sehemu mijadala yetu hukwamishwa na nini kilichoshibisha mioyo yetu/hesabia, makosa/kuhukumu vs furaha ni kiasi gani kati yetu. Hatuwezi kuwa na mjadala chanya kama ndani yetu tumehesabu na kubebelea makosa na hukumu.

Mfano:
Hapa tayari tuna taarifa ya upande mmoja ambao umeshamhukumu mwenzake juu ya mwenendo wa maisha. Hii inaweza kutoa picha ni kwa jinsi gani hata kwenye majadiliano ya kawaida kati ya wahusika nini huendelea. Je tunaweza kukaa pamoja na kujadili mambo na si mtu?

Haya yanayotolewa taarifa hatujui upande wa pili husukumwa na nini mpaka kuyafanya au kuyasema. Wakati mwingine sisi wenyewe twaweza kuwa chanzo cha matokeo ya tabia au vitendo vya mtu leo au kesho, ila tunabaki kuhukumu tu. Wengine tunawasababishia hata mvurugiko wa afya ya akili.

Suala la nini kifanyike ni tathmini huru na ya kina ya ni kwa kiasi gani umesababisha au umezuia(kuwajibika) kusababisha mwenzako kufikia alipo?
Umemsaidiaje(kuwajibika) kumrejesha toka alipo badala ya hukumu??

Wakati mwingine haya mahusiano tunaona unachofanya ni kidogo, lakini kwa mwenzako inafikia kuharibu afya yake ya akili. Tunawajibikaje na kwa kiasi gani kwa hayo yetu?

Nimalizie kwa kusema, kama mliingia kwenye mahusiano mkiwa na akili timamu na leo mmefika hapo, kila mmoja ajitafakari amefikaje hapo alipo na amemfikishaje mwemzake hapo alipo.

Maamzi ya kutengana au kuishi pamoja yako mikononi mwenu na yatokane na nyinyi kukaa pamoja na kukubali ukweli kati yenu na kila mmoja alivyochangia kwa njia hasi au chanya mpaka hapo mlipo na yanayowasibu.

Mwisho mseme wahusika wenyewe, hapa sababu zetu ni hizi na hatuwezi kuishi pamoja kwa sababu hizi ingawa tumejitahidi kufanya vile au tunaweza kuishi pamoja kwa sababu hizi pamoja na haya makandokando yetu ila tufanye hili ili iwe vile.

Tusisukumwe na ubinafsi na kutokujielewa vyema kufanya maamzi mazito ya maisha yetu, tujitambue vyema kwanza na kujadili hoja zetu zaidi na kuzitafutia mwafaka tukiwa huru kimawazo na mtizamo.
100% sahihi
 
Masikhala siyo mazuri hasa kwenye ndoa. Najua unataka ku prove kwamba unaweza, lakini ita ku cost sana. Najua unataka kumonyesha kwamba unaweza kuliko anavyokuchukulia lakini itawa cost sana.

Ndoa ni kitu kingine, hivyo mnapaswa kuilinda kama mboni za macho yenu.

All this ni utoto nakwambia, hata kama wewe ni mtu mzima. Kabla hamjaachana mnapaswa kukaa na muongee maisha baada ya kuachana ,kabla hamjaachana. Hapo ni pagumu sana. Unaweza kudhani ni rahisi lakini siyo rahisi hata kidogo.

Nyie mnaweza hata msilale pamoja lakini mkawa mnaishi nyumba moja ni tofauti na kuachana. Tena mna watoto hata kama ni wakubwa inasumbua sanaa akili.

Kakae ufikiri upya, Uvumilivu kwenye ndoa siyo ujinga.
Juzi nimeshuhudia watu wakiwa kwenye kesi ya kuachana, yaan ni huzuni sana, watoto wanamtaka mama Yao, baba anataka kukaa nao, Mara Mali zote ziuzwe kila mtu aanze upya, ikawa ni vilio, wote tulioshuhudia tukasema bora kusuluhisha na kuvumilia kuliko mateso yajayo
 
Hajacheza mbali mkuu. Mwanamke ukiona anakubabaishabkila saa tuachane wewe jua tu kuna mwamba huko anatikisa nyavu kibabe. Na hil si kwamba sikulihisi, ni vile niliamua kuwa mpole na kujifnya mjinga.
Sasa kwakua anataka sana, bas acha apewe tu hiyo liberty
Mbona mimi Hilo neno la tuachane nalisema sana na sina lolote uko nje ni yeye tu, mtuelewe tu wanawake
 
Special code

Kama unaishi na mkeo na wote mmeingia 30's ujue hapo looser ni wewe..
Maanake hapo wote hapo mnaingia 40 kwa pamoja.
Sasa iko hivi anaepata hasara hapo ni wewe mwanaume so ukiona mkeo ana above 30 na ameanza kukuletea kelele za kuachana fanya kweli yaani ile kweli kabisa haijalishi alitania au alikuwa serious..
Achana nae kwa muda kwanza hata miezi sita hata miaka miwili ikiwezekana but endelea kutunza watoto kama uwezo upo ila kama haupo sio dhambi maana ulimaliza senti zako kwaajili yao na mama yao..
Move on kajitafute kwanza maana baadae kuna asilimia 80 au 70 za wao kurudi kwenye himaya yako tena..
So akiondoka wewe rudi kwenye 20-25 Oa kwenye hiyo age ili huyo akija kufika kwenye 40's ambayo ni mwisho wake wewe uwe unaitafuta 60 hapo utakuwa uneenda sawa..
Yule wa mwanzo atarudi tu na kukuta tayari alishatoa gepu la mke mdogo kitendo ambacho inabidi tu akubaliane nacho maana hana choice tena..
So ataendelea kujilaumu tu kuwa pengine asingekupa gepu yule asingapata nafasi ya kuja.
Ishini humo wanaume wenzangu maana mimi nikiona mwanamke amefika 30's then anaruka ruka najua huyo anajitafutia msaidizi ambae hakupaswa kuja..
Nakaribisha maswali..
 
We jamaa na mkeo acheni ujinga, upo unajifariji hapa JF na Ushauri kutoka kwa baadhi ya watu ambao baadhi yawezekena hawajawahi ishi maisha ya ndoa, either wengine wameshaachana na wanawake zaidi ya watano akidumu kwenye ndoa miezi sita, yani uvunje ndoa yako kwa kauli ya' tuachane?'eti mwenzi hapendi kusema samahani , huko ni kuonyesha kukosa ukomavu, na ndo maana hakuna anayekusuport yeyote kwenye familia yenu zaidi ya mama yako na yeye anakusuport tu, wewe Huna makwazo kwa mwenzio au kwa sababu ni mwanamke ndo haruhusiwi kukasirika na sometimes kutoa maneno yanayokera, upo unajidanganya kwama nikiachana naye nitapata mwanamke mzuri na mwema zaidi yake" hilo lisahau utajuta , utakanyaga mavi ndugu na utajutia maisha yako yote nakuhakikishia, Hivi uanadhani mama yako hajawahi mtishia dingi kwamba tuachane kwa miaka yote waliyoishi ? Ungekuja na hoja za kutishia uhai au uhakika wa kusalitiwa yangekuwa mengine, hiki ni kipindi cha mpito tu , tena cha kipuuzi mmno, tunza familia yako kuitwa mwanaùme si lele mama, ukitaka kujua hayo kazungumze na mzee yeyote aliyedumu kwenye ndoa uone kama utaweza kuvaa viatu vyake. Any way maamuzi ya mwisho ni yako, kupanga ni kuchagua mkuu.
Upo sahihi sana
 
Back
Top Bottom