GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Shida zakoWazee wa kula pipi bila maganda ha.taki kumeza dawa kufubaza wazee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida zakoWazee wa kula pipi bila maganda ha.taki kumeza dawa kufubaza wazee
Mkuu,Njoo DM nikupe mwongozo, hatuchukuagi hatua ndo tutafute ushahidi, tunakuwa na ushahidi,
Radisha mke, then umlie timing, umekurupuka!
Mkuu,
Ungetoa muongozo hapa kwa faida ya wengi, pls
Tunasubiria muendelezo kubababeki zakoAhsanteni.
Niwatakie alfajiri njema na jumapil njema.
Acha nianze kujiandaa kwaajil ya kufika ibadani.
Unakaaje na Mwanamke wa hivyo? Tuachane Tuachane Tuachane ni wimbo wa Zuchu kaoa Zuchu ndani?Daa inasikitisha ila jaribuni kuyaongea for the sake of your kids please. Kusingekuwa watoto hata asubuhi moja mngeachana tu ila watoto sasa tena 4 labda ukute sio wakwako na anataka muachane awapeleke Kwa baba yao.
Sema hapo wewe unajua kama ni mama mwema wa kumwachia watoto na kama sio basi jitahidi ubaki na watoto wako maana hakuna mwanaume atakubali kumuoa na watoto 4.
Watoto wengi wa mitaani walitokana na wazazi wao kuachana
wengine hua wako serioua mkuu tena wengu waoBecause anafikiri at that age na hao watoto you wont dare kuchukua maamuzi hayo, kuna kitu au mtu anampa kiburi. This time akibip akute mabegi nje kabisa
Akili itamkaa sawa, hawa vibe huwa wanatikisa kibiriti
Unavyozungumzia true love kwa wanawake wenye rangi nyeusi waliokulia kwa mtogole unajua kama unajishushia heshima?. Mtu kamba katolewa kwa chipsi kavu mapenzi ya kweli ayatolee wapiMkuu Nina ushauri mdogo Sana Ila ukipuuzia ni wewe ..
If a woman you love forces to say anataka muachane usipanic
Mosi: Usimjibu majibu marefu Sana mwambie Sawa haina shida halafu Anza kufanya sasa wewe mchakato WA kutengana naye , maumivu ni sehemu ya upendo .
Tena mharakishe afanikishe Nia yake .
Hapa kuna mawili
Kama ukimhatakisha akajia umeaccept anaweza loose control that's where true love for you will start ndio atakapoanzia kukupenda .
If she leaves make sure harudi Kwa gharama yoyote Ile .. Cut off every contact with her and that's life Man Move on
Yaani malaya aendelee kuhifadhiwa ndani na kulishwa ili awe free sasa kufanya umalaya wake kama bwai bwai mzee kuna maisha hata maada ya kuacha mbona sisi wengine tuliweza move on...!Masikhala siyo mazuri hasa kwenye ndoa. Najua unataka ku prove kwamba unaweza, lakini ita ku cost sana. Najua unataka kumonyesha kwamba unaweza kuliko anavyokuchukulia lakini itawa cost sana.
Ndoa ni kitu kingine, hivyo mnapaswa kuilinda kama mboni za macho yenu.
All this ni utoto nakwambia, hata kama wewe ni mtu mzima. Kabla hamjaachana mnapaswa kukaa na muongee maisha baada ya kuachana ,kabla hamjaachana. Hapo ni pagumu sana. Unaweza kudhani ni rahisi lakini siyo rahisi hata kidogo.
Nyie mnaweza hata msilale pamoja lakini mkawa mnaishi nyumba moja ni tofauti na kuachana. Tena mna watoto hata kama ni wakubwa inasumbua sanaa akili.
Kakae ufikiri upya, Uvumilivu kwenye ndoa siyo ujinga.
ExctlyPopote penye anguko kubwa la mwanaume aliyesimama nyuma kuna mwanamke. Kuwa makini sana na hiko kiumbe, kinaweza kukufanya uje uishi maisha ambayo hukutegemea.
Mama amekujibu kiutu uzoma jiongeze tu watetezi unao..Ahsante sana mama angu.
Ahahaha juzi mama nikamueleza kwa undani sanaa, mama nika feel jinsi alivyojisikia vibaya sana sema akamaliza kwakusema "sasa mimi siwezi kukaa upande wako, wasije sema nakutetea na ninaharibu ndoa yako, ila tutaangalia cha kufanya ila mkeo anakosea sana"
😂😂😂. Ali mind sana maza
Moyoni nikasema mama zetu wana hisia sana linapokua suala ma watoto wao, huyu angekua na full authority angevunja ndoa on spot 😆😆
Kimantiki yaliyoongelewa ni mapenzi kweli au ni ugomvi katika ndoa?mapenzi yanaua kuwa makini
THIS IS MATURITY..wanawake wrngi wana asili ya kuongea atoe sumu..thts why tunadumu muda mrefu..huyu ana lake jamboWe jamaa na mkeo acheni ujinga, upo unajifariji hapa JF na Ushauri kutoka kwa baadhi ya watu ambao baadhi yawezekena hawajawahi ishi maisha ya ndoa, either wengine wameshaachana na wanawake zaidi ya watano akidumu kwenye ndoa miezi sita, yani uvunje ndoa yako kwa kauli ya' tuachane?'eti mwenzi hapendi kusema samahani , huko ni kuonyesha kukosa ukomavu, na ndo maana hakuna anayekusuport yeyote kwenye familia yenu zaidi ya mama yako na yeye anakusuport tu, wewe Huna makwazo kwa mwenzio au kwa sababu ni mwanamke ndo haruhusiwi kukasirika na sometimes kutoa maneno yanayokera, upo unajidanganya kwama nikiachana naye nitapata mwanamke mzuri na mwema zaidi yake" hilo lisahau utajuta , utakanyaga mavi ndugu na utajutia maisha yako yote nakuhakikishia, Hivi uanadhani mama yako hajawahi mtishia dingi kwamba tuachane kwa miaka yote waliyoishi ? Ungekuja na hoja za kutishia uhai au uhakika wa kusalitiwa yangekuwa mengine, hiki ni kipindi cha mpito tu , tena cha kipuuzi mmno, tunza familia yako kuitwa mwanaùme si lele mama, ukitaka kujua hayo kazungumze na mzee yeyote aliyedumu kwenye ndoa uone kama utaweza kuvaa viatu vyake. Any way maamuzi ya mwisho ni yako, kupanga ni kuchagua mkuu.
Mada iko hapa na majibu yako hapaHaya yanayotolewa taarifa hatujui upande wa pili husukumwa na nini mpaka kuyafanya au kuyasema. Wakati mwingine sisi wenyewe twaweza kuwa chanzo cha matokeo ya tabia au vitendo vya mtu leo au kesho, ila tunabaki kuhukumu tu. Wengine tunawasababishia hata mvurugiko wa afya ya akili.
Suala la nini kifanyike ni tathmini huru na ya kina ya ni kwa kiasi gani umesababisha au umezuia(kuwajibika) kusababisha mwenzako kufikia alipo?
Umemsaidiaje(kuwajibika) kumrejesha toka alipo badala ya hukumu??
Afanye kudondosha hapa hapa maana uko PM kutajaa sana ivyo kwa heshima ya wengi dondosha hapa hapa MkuuMkuu dondosha hiyo code, niko na notebook yangu hapa