Naona wazi kabisa kitaumana. Najiona kabisa nimesha fade up

Naona wazi kabisa kitaumana. Najiona kabisa nimesha fade up

Toka saa 6 usiku mpaka dakika hii natupia huu uzi, niko macho, si kwamba sijaweza kulala ila sijapendelea ku share kitanda hizi siku kadhaa na wife. So niko zangu tu library ambapo mahala huwa napatumia kama ofisi yangu ya nyumbani pia kama prayer room binafsi hasa nyakati za usiku.

Namtafakari sana wife baada ya juzi kunitumia tishio kwa mara nyingine ya 5 katika miaka yetu 15 ya mahusiano na 11 ya ndoa takatifu.

Tishio lake ni lile lile "TUACHANE", "IT'S OVER".

Imagine ni mwanamke ndiye amekua frontline kunitisha tisha na haya maneno kila mara tunapopishana na yeye akiwa sababu.
Nimempuuzia kwa mara nyingi za kutosha but i think this time, nitachukua hatua.

Nimemvumilia kwenye mengi sana, na yeye kwao dada zake wanamchukuliaga kama perfect example. Sijawah kumu expose madhaifu yake meeengi sana ambayo kwa mwanaume yoyote (average) hangeweza kuchukuliana nayo.
Sijawahi kuya report kwao, wala kwetu. Sasa this time hiz red flags nimeona zinatosha na nikaamua kufanya decision kuwa "LET IT BE OVER FOR REAL NOW".
Kashani bip kwa muda mrefu, sasa nikisema nisubiri kupigiwa, yasije yakanikuta ya Hezbollah leaders, kupokea simu zenye vilipuzi, nikafa mazima.

Nikaamua kuwajuza dada zake woote kuhusu nini kimetokea juzi, wakawa hawataki kukubali kuwa ni kweli. Licha ya kuwatumia screen shot japo wametingishika vya kutosha.
Nime make the second move.
Kwakua hawaamini, na hawajamjua mdogo wao kwa jinsi ninavyomjua mimi, nimeamua kuwapa classified top secret file japo nikaondoa baadhi ya vipengele tata wasijedondosha simu zao wanapofingua ujumbe baada ya kuupata.

Why have i done this?
am boldly trying to make them realize kuwa this very time it is gona be over for real.
Niko nawaza tu kuhusu wanangu hapa hawa wanne (4) Mungu aliotujaalia ni namna gani nita handle. Juzi nilifikia uamuzi wa kumfukuza home (na nikampa nguo zake asepe) ila akawahi kumpigia maza home mkoani kuhusu yeye kufukuzwa na mimi, mama akanipandia hewani kuniomba(huwa ananijua mwanae nikoje nikishavurugwa). Nikamkatalia maza kata kata.
Baada ya dakika 10 naona simu ya dingi. Sasa huyu ni kamanda kwel kwel, ni wale mafaza wakoloni, neno lake ni sheria na haongei mara 2. Huyu kwake na utu uzima wangu, nakua mdogo kama pilitoni.
akasema neno moja tu "sitaki kusikia hilo suala mpaka nitakapo kuja tulizungumze" ,hivyo yan, kisha akakata simu.

So hapa nasubiri kikao na wazee na hapa, niitaweka msimamo wangu wazi kuwa siko tayar kuendelea.
LOoking forward for that meeting, nimemchek mwamba wangu mmjoa tulisoma CS one class kwasasa yeye ni afisa uhamiaji, nikamuomba anipe muongozo wa ku hack na ku track call, videos and messages zoote , kitu ambacho sikuwah kutaka kufika huko before but now kwakua nishaamua kumwaga na mimi mboga, najua nitaambulia some evidences huko zinisaidie kwenye kikao na wazee kama ushahidi mbali na files zangu nilizoziandaa tayari.

Ahsanteni.
Niwatakie alfajiri njema na jumapil njema.
Acha nianze kujiandaa kwaajil ya kufika ibadani.

Mungu awabariki
"Maranatha".
Duh Pole sana broo, hizi ndoa now days zimekua na changamoto nyingi sana. ila kama kikao kitakushaur uendelee kumsikilizia huenda akajirudi usikate tamaa maxima maana watot wetu hapo ndo watapata shda, usisahau kutuletea kamrejesho
 
"Mvumilivu hula mbivu" - Hizo ni soga za wazee wa zamani vijiweni .
20836956_1318075131649028_8076435440325885952_n.jpg
 
Hata iweje nyny ni wazaz najua now mnaongozwa na hisia za kuchokana kabla ya kufikia huko ungetumia njia ya kujitenga nae yaan kutoka hom hata mwez utapokuwa mbl nae majibu mngepata pia njia unayotumia kuanika mazaifu yake kwahao ndugu zake na wazaz sio sahih kama uliamua kukaa kimya ungekaa kimya hy mbinu ni mbovu mana kuna leo na kesho wewe si wa kwanza tupo wenzako yalitukuta hayo ila tulitumia hekima sio hisia usikubal kutekwa na hisia oya wazaz hawaachan ila wanatengana unachofanya mnajidharirisha wenyew
Shida mwanamke msaliti,hivi unajua maumivu ya kusalitiwa kweli,Bora kuachana tu
 
Aisee pole sana mkuu brake up inaumiza hasa ya mda reasonable kama hii 15yrs but ndio hvo inapofikia muda wake no option ni kufanya maamuzi ya ujasiri tu.
 
Nikiri wazi baada ya kumvumilia kwa muda mrefu, nimeamua kufanya hiki exactly kama ulivyokiona. Amekua akinichulia kinyonge sana asijue nimefanya mjinga for a long time ili maisha yasonge. Bila hivyo hata hii miaka 35 tusingefika

sAsa unafanyaje kwa mwanamke kama huyu?
Hivi ushawah kukaa na mwanamke mzinguaji lakini kwane NENO SAMAHANI ni MSAMIATI haupogo kwenye kinywa chake?
Yan anazingua live halaf haombi samahani wala nini. Akijitahid sana utakia "BAS TUFANYE YAISHE BWANA" hiv ushawah kaa na mtu wa namna hii hata for 1 year? Sasa mimi nimedumu naye for 15 years amd now am done

Hii ya watoto wala sio sababu ya kufanya uendelee kuwa mtumwa

Ahsante kwa ushauri
Mimi nimekutangulia mwaka kwenye maamuzi!!
Anyway one year after breakup sio nzuri wala tamu kwenu wote hata huyo kibwengo anaebweka kuwa muachane.
Wangu alifikia hatua ya kusema kuwa alirogwa ili atoke kwenye ndoa yake..
Akadai pia tangu atoke kwenye ndoa she hasn't been the same!! Wakati huo nilikuwa bado namuhitaji lakini roho iligoma kabisa kurudi kuishi pamoja..
Alidai hisia zimekata hata akienda na mwanaume hasikii chochote kabisa nikajua huu ni utoto iweje unihubirie porojo za hivi
Japo ilinitachi sana kusikia vile kuwa amekuwa akilala na wanaume tofauti tofauti ili aishi but I had nothing to do..
Its better to live with unknown bitch than living with someone who you real know that she was yours but still went and fucked around while alikuwa kwenye himaya yako.

God alibless nikapata dogo la Kitutsi moja hivi ndio naishi nalo
Yule wa mwanzo amebaki kulaani tu mara aje usiku kumtisha huyu kuwa anampa onyo la mwisho amwache mume wake..

Hawakumbuki tena wale wanaume wake waliomfanya atoke kwangu na kwenda kupanga..
So broo kumove on ni bora sana kwako ila ni kubaya kwa mkeo na wanao believe me..
Hako kamke kako kamekengeuka kama kale ka kwangu so suala ni kukapiga chini kabisa.
Ukitaka nikufungulie code moja tu ingia PM yangu iko wazi pia ni ruksa kwa mwanaume yeyote kuja PM ajifunze.
Pia hata mkiona vip naimwaga hapa ili na wao yaani ke waione but
Huenda ikapelekea hawa wanawake kushituka na kujirekebisha halafu wakawa ving'ang'anizi sana wasiwaruhusu wanaume kuitumia hii code Right Way In Light sema..
 
Toka saa 6 usiku mpaka dakika hii natupia huu uzi, niko macho, si kwamba sijaweza kulala ila sijapendelea ku share kitanda hizi siku kadhaa na wife. So niko zangu tu library ambapo mahala huwa napatumia kama ofisi yangu ya nyumbani pia kama prayer room binafsi hasa nyakati za usiku.

Namtafakari sana wife baada ya juzi kunitumia tishio kwa mara nyingine ya 5 katika miaka yetu 15 ya mahusiano na 11 ya ndoa takatifu.

Tishio lake ni lile lile "TUACHANE", "IT'S OVER".

Imagine ni mwanamke ndiye amekua frontline kunitisha tisha na haya maneno kila mara tunapopishana na yeye akiwa sababu.
Nimempuuzia kwa mara nyingi za kutosha but i think this time, nitachukua hatua.

Nimemvumilia kwenye mengi sana, na yeye kwao dada zake wanamchukuliaga kama perfect example. Sijawah kumu expose madhaifu yake meeengi sana ambayo kwa mwanaume yoyote (average) hangeweza kuchukuliana nayo.
Sijawahi kuya report kwao, wala kwetu. Sasa this time hiz red flags nimeona zinatosha na nikaamua kufanya decision kuwa "LET IT BE OVER FOR REAL NOW".
Kashani bip kwa muda mrefu, sasa nikisema nisubiri kupigiwa, yasije yakanikuta ya Hezbollah leaders, kupokea simu zenye vilipuzi, nikafa mazima.

Nikaamua kuwajuza dada zake woote kuhusu nini kimetokea juzi, wakawa hawataki kukubali kuwa ni kweli. Licha ya kuwatumia screen shot japo wametingishika vya kutosha.
Nime make the second move.
Kwakua hawaamini, na hawajamjua mdogo wao kwa jinsi ninavyomjua mimi, nimeamua kuwapa classified top secret file japo nikaondoa baadhi ya vipengele tata wasijedondosha simu zao wanapofingua ujumbe baada ya kuupata.

Why have i done this?
am boldly trying to make them realize kuwa this very time it is gona be over for real.
Niko nawaza tu kuhusu wanangu hapa hawa wanne (4) Mungu aliotujaalia ni namna gani nita handle. Juzi nilifikia uamuzi wa kumfukuza home (na nikampa nguo zake asepe) ila akawahi kumpigia maza home mkoani kuhusu yeye kufukuzwa na mimi, mama akanipandia hewani kuniomba(huwa ananijua mwanae nikoje nikishavurugwa). Nikamkatalia maza kata kata.
Baada ya dakika 10 naona simu ya dingi. Sasa huyu ni kamanda kwel kwel, ni wale mafaza wakoloni, neno lake ni sheria na haongei mara 2. Huyu kwake na utu uzima wangu, nakua mdogo kama pilitoni.
akasema neno moja tu "sitaki kusikia hilo suala mpaka nitakapo kuja tulizungumze" ,hivyo yan, kisha akakata simu.

So hapa nasubiri kikao na wazee na hapa, niitaweka msimamo wangu wazi kuwa siko tayar kuendelea.
LOoking forward for that meeting, nimemchek mwamba wangu mmjoa tulisoma CS one class kwasasa yeye ni afisa uhamiaji, nikamuomba anipe muongozo wa ku hack na ku track call, videos and messages zoote , kitu ambacho sikuwah kutaka kufika huko before but now kwakua nishaamua kumwaga na mimi mboga, najua nitaambulia some evidences huko zinisaidie kwenye kikao na wazee kama ushahidi mbali na files zangu nilizoziandaa tayari.

Ahsanteni.
Niwatakie alfajiri njema na jumapil njema.
Acha nianze kujiandaa kwaajil ya kufika ibadani.

Mungu awabariki
"Maranatha".
Unaachana na mkeo mkiwa na watoto wanne kisa akikasirika anasema muachane? Au cjaelewa mkuu
 
Mimi nimekutangulia mwaka kwenye maamuzi!!
Anyway one year after breakup sio nzuri wala tamu kwenu wote hata huyo kibwengo anaebweka kuwa muachane.
Wangu alifikia hatua ya kusema kuwa alirogwa ili atoke kwenye ndoa yake..
Akadai pia tangu atoke kwenye ndoa she hasn't been the same!! Wakati huo nilikuwa bado namuhitaji lakini roho iligoma kabisa kurudi kuishi pamoja..
Alidai hisia zimekata hata akienda na mwanaume hasikii chochote kabisa nikajua huu ni utoto iweje unihubirie porojo za hivi
Japo ilinitachi sana kusikia vile kuwa amekuwa akilala na wanaume tofauti tofauti ili aishi but I had nothing to do..
Its better to live with unknown bitch than living with someone who you real know that she was yours but still went and fucked around while alikuwa kwenye himaya yako.

God alibless nikapata dogo la Kitutsi moja hivi ndio naishi nalo
Yule wa mwanzo amebaki kulaani tu mara aje usiku kumtisha huyu kuwa anampa onyo la mwisho amwache mume wake..

Hawakumbuki tena wale wanaume wake waliomfanya atoke kwangu na kwenda kupanga..
So broo kumove on ni bora sana kwako ila ni kubaya kwa mkeo na wanao believe me..
Hako kamke kako kamekengeuka kama kale ka kwangu so suala ni kukapiga chini kabisa.
Ukitaka nikufungulie code moja tu ingia PM yangu iko wazi pia ni ruksa kwa mwanaume yeyote kuja PM ajifunze.
Pia hata mkiona vip naimwaga hapa ili na wao yaani ke waione but
Huenda ikapelekea hawa wanawake kushituka na kujirekebisha halafu wakawa ving'ang'anizi sana wasiwaruhusu wanaume kuitumia hii code Right Way In Light sema..
Mkuu dondosha hiyo code, niko na notebook yangu hapa
 
Mimi nimekutangulia mwaka kwenye maamuzi!!
Anyway one year after breakup sio nzuri wala tamu kwenu wote hata huyo kibwengo anaebweka kuwa muachane.
Wangu alifikia hatua ya kusema kuwa alirogwa ili atoke kwenye ndoa yake..
Akadai pia tangu atoke kwenye ndoa she hasn't been the same!! Wakati huo nilikuwa bado namuhitaji lakini roho iligoma kabisa kurudi kuishi pamoja..
Alidai hisia zimekata hata akienda na mwanaume hasikii chochote kabisa nikajua huu ni utoto iweje unihubirie porojo za hivi
Japo ilinitachi sana kusikia vile kuwa amekuwa akilala na wanaume tofauti tofauti ili aishi but I had nothing to do..
Its better to live with unknown bitch than living with someone who you real know that she was yours but still went and fucked around while alikuwa kwenye himaya yako.

God alibless nikapata dogo la Kitutsi moja hivi ndio naishi nalo
Yule wa mwanzo amebaki kulaani tu mara aje usiku kumtisha huyu kuwa anampa onyo la mwisho amwache mume wake..

Hawakumbuki tena wale wanaume wake waliomfanya atoke kwangu na kwenda kupanga..
So broo kumove on ni bora sana kwako ila ni kubaya kwa mkeo na wanao believe me..
Hako kamke kako kamekengeuka kama kale ka kwangu so suala ni kukapiga chini kabisa.
Ukitaka nikufungulie code moja tu ingia PM yangu iko wazi pia ni ruksa kwa mwanaume yeyote kuja PM ajifunze.
Pia hata mkiona vip naimwaga hapa ili na wao yaani ke waione but
Huenda ikapelekea hawa wanawake kushituka na kujirekebisha halafu wakawa ving'ang'anizi sana wasiwaruhusu wanaume kuitumia hii code Right Way In Light sema..
Ulifanya uamuzi sahihi

Ndugu yetu Right Way In Light hakuna uamuzi mwingine sahihi fanya kama alivyofanya huyu jamaa

Usiwasikilize wazazi wala ndugu hata wakisema uendelee naye kumbuka wataongea na kusuluhisha watakuachia malaya lako ndani ya nyumba utaendelea kuteseka nalo
 
Toka saa 6 usiku mpaka dakika hii natupia huu uzi, niko macho, si kwamba sijaweza kulala ila sijapendelea ku share kitanda hizi siku kadhaa na wife. So niko zangu tu library ambapo mahala huwa napatumia kama ofisi yangu ya nyumbani pia kama prayer room binafsi hasa nyakati za usiku.

Namtafakari sana wife baada ya juzi kunitumia tishio kwa mara nyingine ya 5 katika miaka yetu 15 ya mahusiano na 11 ya ndoa takatifu.

Tishio lake ni lile lile "TUACHANE", "IT'S OVER".

Imagine ni mwanamke ndiye amekua frontline kunitisha tisha na haya maneno kila mara tunapopishana na yeye akiwa sababu.
Nimempuuzia kwa mara nyingi za kutosha but i think this time, nitachukua hatua.

Nimemvumilia kwenye mengi sana, na yeye kwao dada zake wanamchukuliaga kama perfect example. Sijawah kumu expose madhaifu yake meeengi sana ambayo kwa mwanaume yoyote (average) hangeweza kuchukuliana nayo.
Sijawahi kuya report kwao, wala kwetu. Sasa this time hiz red flags nimeona zinatosha na nikaamua kufanya decision kuwa "LET IT BE OVER FOR REAL NOW".
Kashani bip kwa muda mrefu, sasa nikisema nisubiri kupigiwa, yasije yakanikuta ya Hezbollah leaders, kupokea simu zenye vilipuzi, nikafa mazima.

Nikaamua kuwajuza dada zake woote kuhusu nini kimetokea juzi, wakawa hawataki kukubali kuwa ni kweli. Licha ya kuwatumia screen shot japo wametingishika vya kutosha.
Nime make the second move.
Kwakua hawaamini, na hawajamjua mdogo wao kwa jinsi ninavyomjua mimi, nimeamua kuwapa classified top secret file japo nikaondoa baadhi ya vipengele tata wasijedondosha simu zao wanapofingua ujumbe baada ya kuupata.

Why have i done this?
am boldly trying to make them realize kuwa this very time it is gona be over for real.
Niko nawaza tu kuhusu wanangu hapa hawa wanne (4) Mungu aliotujaalia ni namna gani nita handle. Juzi nilifikia uamuzi wa kumfukuza home (na nikampa nguo zake asepe) ila akawahi kumpigia maza home mkoani kuhusu yeye kufukuzwa na mimi, mama akanipandia hewani kuniomba(huwa ananijua mwanae nikoje nikishavurugwa). Nikamkatalia maza kata kata.
Baada ya dakika 10 naona simu ya dingi. Sasa huyu ni kamanda kwel kwel, ni wale mafaza wakoloni, neno lake ni sheria na haongei mara 2. Huyu kwake na utu uzima wangu, nakua mdogo kama pilitoni.
akasema neno moja tu "sitaki kusikia hilo suala mpaka nitakapo kuja tulizungumze" ,hivyo yan, kisha akakata simu.

So hapa nasubiri kikao na wazee na hapa, niitaweka msimamo wangu wazi kuwa siko tayar kuendelea.
LOoking forward for that meeting, nimemchek mwamba wangu mmjoa tulisoma CS one class kwasasa yeye ni afisa uhamiaji, nikamuomba anipe muongozo wa ku hack na ku track call, videos and messages zoote , kitu ambacho sikuwah kutaka kufika huko before but now kwakua nishaamua kumwaga na mimi mboga, najua nitaambulia some evidences huko zinisaidie kwenye kikao na wazee kama ushahidi mbali na files zangu nilizoziandaa tayari.

Ahsanteni.
Niwatakie alfajiri njema na jumapil njema.
Acha nianze kujiandaa kwaajil ya kufika ibadani.

Mungu awabariki
"Maranatha".
Hongera sana
 
Back
Top Bottom