Naona wazi kabisa kitaumana. Najiona kabisa nimesha fade up

Naona wazi kabisa kitaumana. Najiona kabisa nimesha fade up

Huwa inakuaje? Mnaoana mkiwa hamjuani au hampendani??

Mbaya zaidi hizi ni zile ndoa zenu mnazofanya harusi kuubwa na mbwembwe nyingi kuwachoma maex wenu.

Kuna demu wangu aliolewa, ni miaka mitatu tu sasa ndoa imekua ndoano, mwingine hata mwaka haukuisha wakawa wanaishi na mimewe kama kaka na dada waliofatana.

Shida ni nini nyie watu au huwa mnaoa wake za watu??
Hivi nikuulize umeoa? Kwa jinsi ulivyo andika ukaonekana huna ufahamu na mambo ya ndoa. Mwanamke akiamua kukubadilikia anakubadilikia bila sababu, wako hivyo. Na kama umeoa mshukuru Mungu kama hayajakukuta
 
We jamaa na mkeo acheni ujinga, upo unajifariji hapa JF na Ushauri kutoka kwa baadhi ya watu ambao baadhi yawezekena hawajawahi ishi maisha ya ndoa, either wengine wameshaachana na wanawake zaidi ya watano akidumu kwenye ndoa miezi sita, yani uvunje ndoa yako kwa kauli ya' tuachane?'eti mwenzi hapendi kusema samahani , huko ni kuonyesha kukosa ukomavu, na ndo maana hakuna anayekusuport yeyote kwenye familia yenu zaidi ya mama yako na yeye anakusuport tu, wewe Huna makwazo kwa mwenzio au kwa sababu ni mwanamke ndo haruhusiwi kukasirika na sometimes kutoa maneno yanayokera, upo unajidanganya kwama nikiachana naye nitapata mwanamke mzuri na mwema zaidi yake" hilo lisahau utajuta , utakanyaga mavi ndugu na utajutia maisha yako yote nakuhakikishia, Hivi uanadhani mama yako hajawahi mtishia dingi kwamba tuachane kwa miaka yote waliyoishi ? Ungekuja na hoja za kutishia uhai au uhakika wa kusalitiwa yangekuwa mengine, hiki ni kipindi cha mpito tu , tena cha kipuuzi mmno, tunza familia yako kuitwa mwanaùme si lele mama, ukitaka kujua hayo kazungumze na mzee yeyote aliyedumu kwenye ndoa uone kama utaweza kuvaa viatu vyake. Any way maamuzi ya mwisho ni yako, kupanga ni kuchagua mkuu.
 
Right Way In Light mkuu pole sana kwa changamoto. Mkeo sio tu anakutisha bali tayari hakuheshimu, na mwanamke akipoteza utii basi ndoa inakua imeisha na ukiendelea kukomaa nae jua hakuna rangi utaacha kuiona.

Muamuzi wa maisha yako ni wewe mwenyewe, maana ndiye unayeteseka au kufurahi na sio wengine, ikiwa ni pamoja na baba au mama.

Kama umeamua ngoma iondoke, huhitaji hata ma-evidence mengi, be a man just like your father, tumia hizohizo text zake za kukutishia kuwa ndio umeamua kuzifanyia kazi, aondoke. Kwamba amekua akikutisha tisha na sasa umeamua kulifanyia kazi suala lake.

Sababu ya kutoleta evidence hizo classified, ni kwa kuwa, wazee watalenga kusuluhisha ili muendelee kukaa pamoja bila kujua kuwa hawataweza kurudisha utii kwa huyo mwanamke. Komaa, amua kiume.

Kama mkeo atapenda kukaa na wewe, na kama bado unampenda sana, acha aende ila arudi baada ya yeye kuomba msamaha mwenyewe pasipo kupitia wazazi wala dada zake. Yaani aje kubembeleza msamaha yeye mwenyewe, walau hapo atakua anamaanisha.

Akizingua mazima, tuwasiliane nikusaidie kupata custody ya watoto na mgawanyo wa mali za machumo ya pamoja kama zipo.
Umeandika kikubwa sana mkuu!

Wamama sisi 50/50 jumlisha tamaa vinatuharibia sana maisha yetu..
 
Mwanamke akimuwekea mumewe sumu kwenye chakula anaonekana shetani, ila mwanaume akimcharanga mkewe mapanga au kumchoma na magunia ya mkaa aahh ni haki yake, na bado yani mpaka muelewe somo kuwa wanawake washachoka na wameamua liwalo na liwe
Ukatili wowote kwa yoyote haukubaliki. Why umuwekee mtu sumu, si uondoke tu.
 
Mkuu wanatishia kutoa laana. Yaani hilo neno ndio msamiati mkuu wa wazee wetu, wao sijui wanafaidika na nini wakiona mtoto wao amelaanika na isitoshe wao ndio wanakuwa wamefeli.
Eti wanata ku dictate mpaka mtu wa miaka 50. Wanasahau ukiisha ondoka nyumbani kinachofuata ni wewe kuogelea kwenye hii dunia kadri unavyoweza , kazi iliobaki kwao ni kushauri sio kulazimisha matakwa yao kwako.
Wazazi wengi ndoa zao ziliwashinda ila sasa wanataka eti watoto wawe/waishi kama malaika, kitu ambacho duniani hakipo.
Nilichojifunza mimi ndoa ni drama hapa duniani ila nyma ya pazia ni unafiki uliopitiliza.
Mimi mtazamo wangu kwa sasa bora zije ndoa za mkataba kama wenzetu hizi ndoa za dini sijui za kuishi milele ni uongo mtupu,.
Kwa hio ndugu yangu kuwa makini sana na hawa wazazi wa kiafrika, wao wanataka ushindi mbele ya walimwengu. Waafrika tunaishi kwa kutazama walimwengu watanionaje,tunaishi kwa kuwahadaa walimwengu.
Ni kweli kabisa. Ndoa nyingi zina unafiki wa hali ya juu ila ki uhalisia hamna ndoa. Mnaishi eti kwa sababu watu watanionaje.. mimi linapokuja suala la maisha na afya yangu ya akili , huwa sijali watu watanionaje. Waafrika lolote utakalotenda liwe baya au zuri utasemwa tu. Nimegundua mahusiano yasiyo na afya ndio yanapelekea waafrika wengi kufa mapema. Watu wanajijazia misumu mwilini zinasosababishwa na stress. Unakuta mtu kafa ghafla kumbe alikuwa ana ugonjwa sugu bila kujua.
 
Mpo busy kushauri mtu asiyejielewa...eti baba yangu ni mkoloni aongei mara mbili kwa sababu anajua wewe ni weak man unaweza tikiswa na mkeo mpaka unalala library 😂😂

Eti dada zake watanionaje wale ni shangaz zake yani ili jamaa lina utoto sana acha linyooshwe 😂
 
Masikhala siyo mazuri hasa kwenye ndoa. Najua unataka ku prove kwamba unaweza, lakini ita ku cost sana. Najua unataka kumonyesha kwamba unaweza kuliko anavyokuchukulia lakini itawa cost sana.

Ndoa ni kitu kingine, hivyo mnapaswa kuilinda kama mboni za macho yenu.

All this ni utoto nakwambia, hata kama wewe ni mtu mzima. Kabla hamjaachana mnapaswa kukaa na muongee maisha baada ya kuachana ,kabla hamjaachana. Hapo ni pagumu sana. Unaweza kudhani ni rahisi lakini siyo rahisi hata kidogo.

Nyie mnaweza hata msilale pamoja lakini mkawa mnaishi nyumba moja ni tofauti na kuachana. Tena mna watoto hata kama ni wakubwa inasumbua sanaa akili.

Kakae ufikiri upya, Uvumilivu kwenye ndoa siyo ujinga.
Hamna kitu kama icho, Mwanamke akizingua mtimue, this is how we shape women, how we bring women back to square one
 
Ni kitu ambacho nimekua nikikiwaza kama ambavyo mwanaume yeyote angewaza...sasa sitaknkwenda deep maana inaonyesha unataka nikupe classified details 🤣🤣
Ila si unajua waswahil wanasema ukiona swala juu ya mti jua kapandishwa?
Yani wewe unastaili kabisa kuonyooshwa trust me mkeo ni more intelligent kukuzidi yani huu utoto kichwani 🚮
 
Nakuona ni mtu wa meditation, 'Maranatha' Come Lord!

Mpige mkwara tu mbele ya wazazi, na hatari iliyopo kwa uzinzi, magonjwa na athari kwa watoto! Mkwara uwe wa uhakika kiasi kwamba neno la kuachana likome!

Ishini mlele watoto! Hakuna mwanamke malaika wala mwanaume malaika!
All the best, ishi na mkeo!
 
We jamaa na mkeo acheni ujinga, upo unajifariji hapa JF na Ushauri kutoka kwa baadhi ya watu ambao baadhi yawezekena hawajawahi ishi maisha ya ndoa, either wengine wameshaachana na wanawake zaidi ya watano akidumu kwenye ndoa miezi sita, yani uvunje ndoa yako kwa kauli ya' tuachane?'eti mwenzi hapendi kusema samahani , huko ni kuonyesha kukosa ukomavu, na ndo maana hakuna anayekusuport yeyote kwenye familia yenu zaidi ya mama yako na yeye anakusuport tu, wewe Huna makwazo kwa mwenzio au kwa sababu ni mwanamke ndo haruhusiwi kukasirika na sometimes kutoa maneno yanayokera, upo unajidanganya kwama nikiachana naye nitapata mwanamke mzuri na mwema zaidi yake" hilo lisahau utajuta , utakanyaga mavi ndugu na utajutia maisha yako yote nakuhakikishia, Hivi uanadhani mama yako hajawahi mtishia dingi kwamba tuachane kwa miaka yote waliyoishi ? Ungekuja na hoja za kutishia uhai au uhakika wa kusalitiwa yangekuwa mengine, hiki ni kipindi cha mpito tu , tena cha kipuuzi mmno, tunza familia yako kuitwa mwanaùme si lele mama, ukitaka kujua hayo kazungumze na mzee yeyote aliyedumu kwenye ndoa uone kama utaweza kuvaa viatu vyake. Any way maamuzi ya mwisho ni yako, kupanga ni kuchagua mkuu.
Ushauri wa kijinga umetumia zaidi hisia kuliko akili,

kauli ya tuachane ambayo inajirudia rudia mara nyingi imeonesha ukosefu wa heshima na hii ndio sababu ya kuvunja ndoa
 
Toka saa 6 usiku mpaka dakika hii natupia huu uzi, niko macho, si kwamba sijaweza kulala ila sijapendelea ku share kitanda hizi siku kadhaa na wife. So niko zangu tu library ambapo mahala huwa napatumia kama ofisi yangu ya nyumbani pia kama prayer room binafsi hasa nyakati za usiku.

Namtafakari sana wife baada ya juzi kunitumia tishio kwa mara nyingine ya 5 katika miaka yetu 15 ya mahusiano na 11 ya ndoa takatifu.

Tishio lake ni lile lile "TUACHANE", "IT'S OVER".

Imagine ni mwanamke ndiye amekua frontline kunitisha tisha na haya maneno kila mara tunapopishana na yeye akiwa sababu.
Nimempuuzia kwa mara nyingi za kutosha but i think this time, nitachukua hatua.

Nimemvumilia kwenye mengi sana, na yeye kwao dada zake wanamchukuliaga kama perfect example. Sijawah kumu expose madhaifu yake meeengi sana ambayo kwa mwanaume yoyote (average) hangeweza kuchukuliana nayo.
Sijawahi kuya report kwao, wala kwetu. Sasa this time hiz red flags nimeona zinatosha na nikaamua kufanya decision kuwa "LET IT BE OVER FOR REAL NOW".
Kashani bip kwa muda mrefu, sasa nikisema nisubiri kupigiwa, yasije yakanikuta ya Hezbollah leaders, kupokea simu zenye vilipuzi, nikafa mazima.

Nikaamua kuwajuza dada zake woote kuhusu nini kimetokea juzi, wakawa hawataki kukubali kuwa ni kweli. Licha ya kuwatumia screen shot japo wametingishika vya kutosha.
Nime make the second move.
Kwakua hawaamini, na hawajamjua mdogo wao kwa jinsi ninavyomjua mimi, nimeamua kuwapa classified top secret file japo nikaondoa baadhi ya vipengele tata wasijedondosha simu zao wanapofingua ujumbe baada ya kuupata.

Why have i done this?
am boldly trying to make them realize kuwa this very time it is gona be over for real.
Niko nawaza tu kuhusu wanangu hapa hawa wanne (4) Mungu aliotujaalia ni namna gani nita handle. Juzi nilifikia uamuzi wa kumfukuza home (na nikampa nguo zake asepe) ila akawahi kumpigia maza home mkoani kuhusu yeye kufukuzwa na mimi, mama akanipandia hewani kuniomba(huwa ananijua mwanae nikoje nikishavurugwa). Nikamkatalia maza kata kata.
Baada ya dakika 10 naona simu ya dingi. Sasa huyu ni kamanda kwel kwel, ni wale mafaza wakoloni, neno lake ni sheria na haongei mara 2. Huyu kwake na utu uzima wangu, nakua mdogo kama pilitoni.
akasema neno moja tu "sitaki kusikia hilo suala mpaka nitakapo kuja tulizungumze" ,hivyo yan, kisha akakata simu.

So hapa nasubiri kikao na wazee na hapa, niitaweka msimamo wangu wazi kuwa siko tayar kuendelea.
LOoking forward for that meeting, nimemchek mwamba wangu mmjoa tulisoma CS one class kwasasa yeye ni afisa uhamiaji, nikamuomba anipe muongozo wa ku hack na ku track call, videos and messages zoote , kitu ambacho sikuwah kutaka kufika huko before but now kwakua nishaamua kumwaga na mimi mboga, najua nitaambulia some evidences huko zinisaidie kwenye kikao na wazee kama ushahidi mbali na files zangu nilizoziandaa tayari.

Ahsanteni.
Niwatakie alfajiri njema na jumapil njema.
Acha nianze kujiandaa kwaajil ya kufika ibadani.

Mungu awabariki
"Maranatha".
Apa bado sitaweza kukushauri kuhusu mapenzi
 
Masikhala siyo mazuri hasa kwenye ndoa. Najua unataka ku prove kwamba unaweza, lakini ita ku cost sana. Najua unataka kumonyesha kwamba unaweza kuliko anavyokuchukulia lakini itawa cost sana.

Ndoa ni kitu kingine, hivyo mnapaswa kuilinda kama mboni za macho yenu.

All this ni utoto nakwambia, hata kama wewe ni mtu mzima. Kabla hamjaachana mnapaswa kukaa na muongee maisha baada ya kuachana ,kabla hamjaachana. Hapo ni pagumu sana. Unaweza kudhani ni rahisi lakini siyo rahisi hata kidogo.

Nyie mnaweza hata msilale pamoja lakini mkawa mnaishi nyumba moja ni tofauti na kuachana. Tena mna watoto hata kama ni wakubwa inasumbua sanaa akili.

Kakae ufikiri upya, Uvumilivu kwenye ndoa siyo ujinga.
Usimpoteze, mawazo yako hayafaihata kidogo and I'm writing this from my own experience. Me and my wife we're now clocking 23yrs but I was in a terrible, awkward and miserable relationship before I met her. My first born from my first relationship is now a grown-up dude but if I would have forced myself to 'stick' sidhani kama ningekuwa hai yaani the frustrations she used to put me through ni balaa, kufa kwa sonona au kutokuwa sawa mentally would have been an obvious aftermath.
 
A cheating woman belongs to the streets. Let her be.
Ga_BjWOXYAAzs9g.jpeg
 
Wife anakutishia NYAU sio?
vipi amesema hupati bebe na mtoto mkali?
 
Back
Top Bottom