Naona wazi kabisa kitaumana. Najiona kabisa nimesha fade up

Naona wazi kabisa kitaumana. Najiona kabisa nimesha fade up

Shukrani. Ni kwel kabisaa.
Sasa imagine mwanamke analeta hiz mbanga she is 36 years old with 4 kids.
Anyway sisemi kwamba hana soko, i dont mean that. Nawaza kwann asingefanya mapema???
Inawezekana hataki kuachwa na anakupenda sana tu ni mawenge yake tu maana huwa wana mawenge na moods.

We tafuta huo ushahidi vunja hiyo ndoa ukiupata, ukiukosa usiwe na haraka ya kuvunja ndoa, omba akapumzike kwao ili atumie huo muda kuamua iwapo anahitaji bado kuwa mkeo. Ila ukikutana na ushahidi kuwa amechepuka vunja ndoa.
 
TOka saa 6 usiku mpaka dakika hii natupia huu uzi, niko macho, si kwamba sijaweza kulala ila sijapendelea ku share kitanda hiz siku kadhaa na wife. So niko zangu tu library ambapo mahala huwa napatumia kama ofisi yangu ya nyumbani pia kama prayer room binafsi hasa nyakati za usiku.

Namtafakari sana wife baada ya juzi kunitumia tishio kwa mara nyingine ya 5 katika miaka yetu 15 ya mahusiano na 11 ya ndoa takatifu.

Tishio lake ni lile lile "TUACHANE", "IT'S OVER".

Imagine ni mwanamke ndiye amekua frontline kunitisha tisha na haya maneno kila mara tunapopishana na yeye akiwa sababu.
Nimempuuzia kwa mara nyingi za kutosha but i think this time, nitachukua hatua.

Nimemvumilia kwenye mengi sana, na yeye kwao dada zake wanamchukuliaga kama perfect example. Sijawah kumu expose madhaifu yake meeengi sana ambayo kwa mwanaume yoyote (average) hangeweza kuchukuliana nayo.
Sijawahi kuya report kwao, wala kwetu. Sasa this time hiz red flags nimeona zinatosha na nikaamua kufanya decision kuwa "LET IT BE OVER FOR REAL NOW".
Kashani bip kwa muda mrefu, sasa nikisema nisubiri kupigiwa, yasije yakanikuta ya Hezbollah leaders, kupokea simu zenye vilipuzi, nikafa mazima.

Nikaamua kuwajuza dada zake woote kuhusu nini kimetokea juzi, wakawa hawataki kukubali kuwa ni kweli. Licha ya kuwatumia screen shot japo wametingishika vya kutosha.
Nime make the second move.
Kwakua hawaamini, na hawajamjua mdogo wao kwa jinsi ninavyomjua mimi, nimeamua kuwapa classified top secret file japo nikaondoa baadhi ya vipengele tata wasijedondosha simu zao wanapofingua ujumbe baada ya kuupata.

Why have i done this?
am boldly trying to make them realize kuwa this very time it is gona be over for real.
Niko nawaza tu kuhusu wanangu hapa hawa wanne (4) Mungu aliotujaalia ni namna gani nita handle. Juzi nilifikia uamuzi wa kumfukuza home (na nikampa nguo zake asepe) ila akawahi kumpigia maza home mkoani kuhusu yeye kufukuzwa na mimi, mama akanipandia hewani kuniomba(huwa ananijua mwanae nikoje nikishavurugwa). Nikamkatalia maza kata kata.
Baada ya dakika 10 naona simu ya dingi. Sasa huyu ni kamanda kwel kwel, ni wale mafaza wakoloni, neno lake ni sheria na haongei mara 2. Huyu kwake na utu uzima wangu, nakua mdogo kama pilitoni.
akasema neno moja tu "sitaki kusikia hilo suala mpaka nitakapo kuja tulizungumze" ,hivyo yan, kisha akakata simu.

So hapa nasubiri kikao na wazee na hapa, niitaweka msimamo wangu wazi kuwa siko tayar kuendelea.
LOoking forward for that meeting, nimemchek mwamba wangu mmjoa tulisoma CS one class kwasasa yeye ni afisa uhamiaji, nikamuomba anipe muongozo wa ku hack na ku track call, videos and messages zoote , kitu ambacho sikuwah kutaka kufika huko before but now kwakua nishaamua kumwaga na mimi mboga, najua nitaambulia some evidences huko zinisaidie kwenye kikao na wazee kama ushahidi mbali na files zangu nilizoziandaa tayari.

Ahsanteni.
Niwatakie alfajiri njema na jumapil njema.
Acha nianze kujiandaa kwaajil ya kufika ibadani.

Mungu awabariki
"Maranatha".


Wanamla, she belong to the streets
 
Mambo mengine siomasikhara wana maanisha. Kaka yangu na jirani yangu wa upareni tumemzika mwezi wa sita kwa ajili ya kuupuuza haya mambo.
Kila wakati wakigombana na mkewe anamwambia kama vipi tuachane kila mtu achukue chake. Mke kamuakea sumu kwenye chakula jamaa bila kujua. Kula chakula baada ya muda kidogo puvu linamtoka na anatapatapa. Ndugu zake yalivyokuwa wanampeleka hospital neno la mwisho ni mke wangu kaniua.
Natafuta Ajira Jadda Liverpool VPN
 
tuachie lishangazi hilo lije mtaani vijana wa kwaya na wapiga vinanda tupate demu
 
Usiache kutupa mrejesho, unaweza kusaidia vijana wengi wanaopitia hali kama yako.
 
"TUACHANE'', " IT'S OVER''

If I don't know how serious she was? But I would've took that shit serious.


Mke wangu hawezi kunambia tuachane halafu nisubirie kikao cha kuachana, kikao cha kuachana kinafanyika mkiwa mmesha achana, ndoa ni ya watu wawili ndoa sio familia, mke na mume wote wanatakiwa waitake ndoa, mmoja wapo akionyesha nia ya kuondoka afunguliwe mlango bora shari kamili kuliko nusu shari.

Nachoshukuru mimi kwenye ndoa yangu hakuna anayeweza kuingilia Baba, mama wote wapo na wife mzazi wake mmoja yupo yaani kiufupi mimi sio mtu wa kukaa nisuruhishwe kuhusu masuala ya ndoa yangu, tunasuruhishana wenyewe na wife hoja inawekwa mezani inapanguliwa kwa hoja kwa utulivu na nidhamu ya hali ya juu mpaka kufikia muafaka, ikishindikana ndoa inaishia hapo.

Ukioa inatakiwa uwe tayari kuachana na mke wako any time t huwa nashangaa wanaosema ooh nikahofia watoto wangu watateseka upuuzi mtupu sababu hizo ni effects za kuachana lazima ziwepo ndo maana madawa tunayo meza kujitibia hatujali hizo side effects.

Ndoa sio ngumu ukioa mke smart kichwani anaye jua nafasi ya mke na mume kwenye ndoa,
 
TOka saa 6 usiku mpaka dakika hii natupia huu uzi, niko macho, si kwamba sijaweza kulala ila sijapendelea ku share kitanda hiz siku kadhaa na wife. So niko zangu tu library ambapo mahala huwa napatumia kama ofisi yangu ya nyumbani pia kama prayer room binafsi hasa nyakati za usiku.

Namtafakari sana wife baada ya juzi kunitumia tishio kwa mara nyingine ya 5 katika miaka yetu 15 ya mahusiano na 11 ya ndoa takatifu.

Tishio lake ni lile lile "TUACHANE", "IT'S OVER".

Imagine ni mwanamke ndiye amekua frontline kunitisha tisha na haya maneno kila mara tunapopishana na yeye akiwa sababu.
Nimempuuzia kwa mara nyingi za kutosha but i think this time, nitachukua hatua.

Nimemvumilia kwenye mengi sana, na yeye kwao dada zake wanamchukuliaga kama perfect example. Sijawah kumu expose madhaifu yake meeengi sana ambayo kwa mwanaume yoyote (average) hangeweza kuchukuliana nayo.
Sijawahi kuya report kwao, wala kwetu. Sasa this time hiz red flags nimeona zinatosha na nikaamua kufanya decision kuwa "LET IT BE OVER FOR REAL NOW".
Kashani bip kwa muda mrefu, sasa nikisema nisubiri kupigiwa, yasije yakanikuta ya Hezbollah leaders, kupokea simu zenye vilipuzi, nikafa mazima.

Nikaamua kuwajuza dada zake woote kuhusu nini kimetokea juzi, wakawa hawataki kukubali kuwa ni kweli. Licha ya kuwatumia screen shot japo wametingishika vya kutosha.
Nime make the second move.
Kwakua hawaamini, na hawajamjua mdogo wao kwa jinsi ninavyomjua mimi, nimeamua kuwapa classified top secret file japo nikaondoa baadhi ya vipengele tata wasijedondosha simu zao wanapofingua ujumbe baada ya kuupata.

Why have i done this?
am boldly trying to make them realize kuwa this very time it is gona be over for real.
Niko nawaza tu kuhusu wanangu hapa hawa wanne (4) Mungu aliotujaalia ni namna gani nita handle. Juzi nilifikia uamuzi wa kumfukuza home (na nikampa nguo zake asepe) ila akawahi kumpigia maza home mkoani kuhusu yeye kufukuzwa na mimi, mama akanipandia hewani kuniomba(huwa ananijua mwanae nikoje nikishavurugwa). Nikamkatalia maza kata kata.
Baada ya dakika 10 naona simu ya dingi. Sasa huyu ni kamanda kwel kwel, ni wale mafaza wakoloni, neno lake ni sheria na haongei mara 2. Huyu kwake na utu uzima wangu, nakua mdogo kama pilitoni.
akasema neno moja tu "sitaki kusikia hilo suala mpaka nitakapo kuja tulizungumze" ,hivyo yan, kisha akakata simu.

So hapa nasubiri kikao na wazee na hapa, niitaweka msimamo wangu wazi kuwa siko tayar kuendelea.
LOoking forward for that meeting, nimemchek mwamba wangu mmjoa tulisoma CS one class kwasasa yeye ni afisa uhamiaji, nikamuomba anipe muongozo wa ku hack na ku track call, videos and messages zoote , kitu ambacho sikuwah kutaka kufika huko before but now kwakua nishaamua kumwaga na mimi mboga, najua nitaambulia some evidences huko zinisaidie kwenye kikao na wazee kama ushahidi mbali na files zangu nilizoziandaa tayari.

Ahsanteni.
Niwatakie alfajiri njema na jumapil njema.
Acha nianze kujiandaa kwaajil ya kufika ibadani.

Mungu awabariki
"Maranatha".
Kasome matendo ya mitume 4:13
 
Una uhakika hao watoto wote ni wake hadi abaki nao!? Siku akitoa talaka ndiyo atajua wa kwake ni yupi kati ya hao walio wake!!
Aisee ngoja tuendelee kukataa ndoa
1000012671.jpg
 
"Tuachane"?🤔 huyo atakua na msela ambae anamchanganya sasa maana hilo neno limetoka kwa kumaanisha.
Piga chini tu! Hizi ndo sababu ya wanaume wengi kufa mapema kung'ang'ania ndoa kisa mmezaa watoto
 
Ni kosa kuingilia mahusiano ya mtu hata kama ni mkeo, wewe hack tu taarifa zake ila usijifanye kwenda nazo kama evidence utaumbuka. Kikubwa zitumie taarifa hizo kufanya maamuzi na zibaki kwako tu kwa kuwa tayari utakuwa umeona "red flag" (kama zipo kweli). All in all sikushauri sana ku la-hack taarifa zake,cha kufanya maamuzi based ya tabia unazoziona huku na wewe unajifanya tathimini wapi ulikosea mpaka yakaanza haya yote maana hawa watu huwa wanatunza receipts hata kama ulfanyia makosa miaka 7 iliyopita anakuwa anakuchora tu na kukuvumilia hasa kama hana options. Kama ikifika hatua ana plan B na anajimudu kimaisha ukileta za kuleta ndo hizi mambo zinatokea

Kikubwa fanya maamuzi mwenyewe, haya mambo ya vikao achana nayo yaani kikao kiwe ni kutoa taarifa ya mmeshindwana, hakuna ndugu wa mke atakuwa upande wako hadharani yaani hata mie ndio ningekuwa kaka wa mke wako ukiniletea mashitaka najifanya kushangaa imekuaje dada yangu amebadilika alafu baadae nakomaa nae tukiwa wawili kumpa mabango yake mpaka akae sawa
 
sasa sitaknkwenda deep maana inaonyesha unataka nikupe classified details 🤣🤣
Hakuna 'classified info' hapo, ni obvious kuwa unasaidiwa against your will. Na hilo ndo hufanya wake za watu kujisahau sana na kutenda kama huyo wako.

By the way, una hakika hao watoto wote 4 ni wako?
 
Shukrani. Ni kwel kabisaa.
Sasa imagine mwanamke analeta hiz mbanga she is 36 years old with 4 kids.
Anyway sisemi kwamba hana soko, i dont mean that. Nawaza kwann asingefanya mapema???
Because anafikiri at that age na hao watoto you wont dare kuchukua maamuzi hayo, kuna kitu au mtu anampa kiburi. This time akibip akute mabegi nje kabisa
Akili itamkaa sawa, hawa vibe huwa wanatikisa kibiriti
 
Masikhala siyo mazuri hasa kwenye ndoa. Najua unataka ku prove kwamba unaweza, lakini ita ku cost sana. Najua unataka kumonyesha kwamba unaweza kuliko anavyokuchukulia lakini itawa cost sana.

Ndoa ni kitu kingine, hivyo mnapaswa kuilinda kama mboni za macho yenu.

All this ni utoto nakwambia, hata kama wewe ni mtu mzima. Kabla hamjaachana mnapaswa kukaa na muongee maisha baada ya kuachana ,kabla hamjaachana. Hapo ni pagumu sana. Unaweza kudhani ni rahisi lakini siyo rahisi hata kidogo.

Nyie mnaweza hata msilale pamoja lakini mkawa mnaishi nyumba moja ni tofauti na kuachana. Tena mna watoto hata kama ni wakubwa inasumbua sanaa akili.

Kakae ufikiri upya, Uvumilivu kwenye ndoa siyo ujinga.
Kumbuka wana muda mrefu 11 years ya ndoa! Na jamaa kavumilia mengi! Mwisho wa siku mtu adondoke ghafla kisa ndoa na watoto! Good Enough wazazi wapo.
Apige chini tu.
 
Pole sana mkuu lkn ungetupa japo kwa ufupi kisa chenyewe
 
Mtoto wa kiume kueleza shida zako kwa wadada huo ni umbea
 
Ahahaha kwanini mkuu.?
Tunaishi kama vile hatuna wazazi, watoto, imani/dini....we simply don't care. Lakini tuanze na wewe, kuna mlango ulishaufungua labda so kama vile anafanya malipizi maybe? Maana hapa hatujamsikiliza yeye, THOUGH nothing validates uzinzi na uasherati. Kwa sababu sidhani kama mwenza wako akila mavi na wewe utakula, akijinyea na wewe utajinyea ili ulipize. So, maybe in the past kuna ngoma ulimchezesha so saivi ndo kama analipa labda?
 
kesi yetu ime base zaid huku. Japo sijawah mkamata red handed, ila nina vithibisho kadha wa kadha katika history toka 2012 mpaka sasa ambapo nimeamua kuvitafutia proof ukiachana na message ambazo nilizikamata those days way back
Inatosha mkuu, achana nae. Wanawake huwa wana tamaa za kijinga, baadhi yao wanadanganyika kwa mambo ya kipuuzi tu. Niliwahi kuwa na mwanamke kama wako, alikuwa ananipiga matukio ya kutosha ila nikawa namsamehe na kumvumilia, akajenga mazoea kwamba ananiweza, mimi ni mtu mmoja mvumilivu haswa ktk mahusiano.

Ilipofika hatua nikaamua kusimama kama wewe ulivyosimama, nikasema ngoja niachane nae tu. Mwanamke ukimuona anakazana atoke kwako na mahitaji ya msingi unayafanya kwake elewa kwamba kuna muhuni mmoja ameshamrubuni na wamekubaliana kuishi pamoja, hapo kama uzinzi wameshafanya sana na sasa anataka akakae nae kwa uhuru zaidi.
 
Back
Top Bottom