Naona wazi kabisa kitaumana. Najiona kabisa nimesha fade up

Naona wazi kabisa kitaumana. Najiona kabisa nimesha fade up

Masikhala siyo mazuri hasa kwenye ndoa. Najua unataka ku prove kwamba unaweza, lakini ita ku cost sana. Najua unataka kumonyesha kwamba unaweza kuliko anavyokuchukulia lakini itawa cost sana.

Ndoa ni kitu kingine, hivyo mnapaswa kuilinda kama mboni za macho yenu.

All this ni utoto nakwambia, hata kama wewe ni mtu mzima. Kabla hamjaachana mnapaswa kukaa na muongee maisha baada ya kuachana ,kabla hamjaachana. Hapo ni pagumu sana. Unaweza kudhani ni rahisi lakini siyo rahisi hata kidogo.

Nyie mnaweza hata msilale pamoja lakini mkawa mnaishi nyumba moja ni tofauti na kuachana. Tena mna watoto hata kama ni wakubwa inasumbua sanaa akili.

Kakae ufikiri upya, Uvumilivu kwenye ndoa siyo ujinga.
 
kesi yetu ime base zaid huku. Japo sijawah mkamata red handed, ila nina vithibisho kadha wa kadha katika history toka 2012 mpaka sasa ambapo nimeamua kuvitafutia proof ukiachana na message ambazo nilizikamata those days way back
Kwa suala la uzinzi ni right on the spot unapiga chini , mwanamke anayeenda kutombwa nje ya ndoa yake ni hatari kuliko sumu
 
Masikhala siyo mazuri hasa kwenye ndoa. Najua unataka ku prove kwamba unaweza, lakini ita ku cost sana. Najua unataka kumonyesha kwamba unaweza kuliko anavyokuchukulia lakini itawa cost sana.

Ndoa ni kitu kingine, hivyo mnapaswa kuilinda kama mboni za macho yenu.

All this ni utoto nakwambia, hata kama wewe ni mtu mzima. Kabla hamjaachana mnapaswa kukaa na muongee maisha baada ya kuachana ,kabla hamjaachana. Hapo ni pagumu sana. Unaweza kudhani ni rahisi lakini siyo rahisi hata kidogo.

Nyie mnaweza hata msilale pamoja lakini mkawa mnaishi nyumba moja ni tofauti na kuachana. Tena mna watoto hata kama ni wakubwa inasumbua sanaa akili.

Kakae ufikiri upya, Uvumilivu kwenye ndoa siyo ujinga.
Hakuna uvumilivu kwa mwanamke mzinzi, utaonekana bwege, na mwanamke akifika hatua anakuambia bora muachane tena mke wako, lazima utafakari anasemaje muachane amewawaza watoto? ikifika hatua hiyo jua mwanamke sio wa kwako hisia zimehamia sehemu nyingine
 
Right Way In Light mkuu pole sana kwa changamoto. Mkeo sio tu anakutisha bali tayari hakuheshimu, na mwanamke akipoteza utii basi ndoa inakua imeisha na ukiendelea kukomaa nae jua hakuna rangi utaacha kuiona.

Muamuzi wa maisha yako ni wewe mwenyewe, maana ndiye unayeteseka au kufurahi na sio wengine, ikiwa ni pamoja na baba au mama.

Kama umeamua ngoma iondoke, huhitaji hata ma-evidence mengi, be a man just like your father, tumia hizohizo text zake za kukutishia kuwa ndio umeamua kuzifanyia kazi, aondoke. Kwamba amekua akikutisha tisha na sasa umeamua kulifanyia kazi suala lake.

Sababu ya kutoleta evidence hizo classified, ni kwa kuwa, wazee watalenga kusuluhisha ili muendelee kukaa pamoja bila kujua kuwa hawataweza kurudisha utii kwa huyo mwanamke. Komaa, amua kiume.

Kama mkeo atapenda kukaa na wewe, na kama bado unampenda sana, acha aende ila arudi baada ya yeye kuomba msamaha mwenyewe pasipo kupitia wazazi wala dada zake. Yaani aje kubembeleza msamaha yeye mwenyewe, walau hapo atakua anamaanisha.

Akizingua mazima, tuwasiliane nikusaidie kupata custody ya watoto na mgawanyo wa mali za machumo ya pamoja kama zipo.
 
Hakuna uvumilivu kwa mwanamke mzinzi, utaonekana bwege, na mwanamke akifika hatua anakuambia bora muachane tena mke wako, lazima utafakari anasemaje muachane amewawaza watoto? ikifika hatua hiyo jua mwanamke sio wa kwako hisia zimehamia sehemu nyingine
Hahaha wapi kasema ni mzinzi? Acheni ku conclude mambo tusiyo yajua. Nani siyo mzinzi sasa?
 
. Najua unataka kumonyesha kwamba unaweza kuliko anavyokuchukulia lakini itawa cost sana.
Nikiri wazi baada ya kumvumilia kwa muda mrefu, nimeamua kufanya hiki exactly kama ulivyokiona. Amekua akinichulia kinyonge sana asijue nimefanya mjinga for a long time ili maisha yasonge. Bila hivyo hata hii miaka 35 tusingefika
Ndoa ni kitu kingine, hivyo mnapaswa kuilinda kama mboni za macho yenu.
sAsa unafanyaje kwa mwanamke kama huyu?
Hivi ushawah kukaa na mwanamke mzinguaji lakini kwane NENO SAMAHANI ni MSAMIATI haupogo kwenye kinywa chake?
Yan anazingua live halaf haombi samahani wala nini. Akijitahid sana utakia "BAS TUFANYE YAISHE BWANA" hiv ushawah kaa na mtu wa namna hii hata for 1 year? Sasa mimi nimedumu naye for 15 years amd now am done
All this ni utoto nakwambia, hata kama wewe ni mtu mzima. Kabla hamjaachana mnapaswa kukaa na muongee maisha baada ya kuachana ,kabla hamjaachana. Hapo ni pagumu sana. Unaweza kudhani ni rahisi lakini siyo rahisi hata kidogo.

Nyie mnaweza hata msilale pamoja lakini mkawa mnaishi nyumba moja ni tofauti na kuachana. Tena mna watoto hata kama ni wakubwa inasumbua sanaa akili.
Hii ya watoto wala sio sababu ya kufanya uendelee kuwa mtumwa
Kakae ufikiri upya, Uvumilivu kwenye ndoa siyo ujinga.
Ahsante kwa ushauri
 
Mkuu Kuna mawili ama matatu.
Moja hakupendi
Pili anajua unampenda sana hivyo anakujua bila yeye hutoboi.

Tatu sio ya umuhimu sana ni kwamba anatingisha kibert aone njiti zimo au lah!!

Ningekuwa Mimi kwanza siwezi lala library sababu yake nalala hapohapo kitandani. Halafu namwambia live kuwa asepe tu.


Baba au mama ana mpaka wake katika katika maamzi yangu. Hawezi ni amlia Kila kitu.sawa dingi ni mkoroni nitampigia simu na kumweleza yote akikata simu manake ameniruhusu nifanye maamzi yangu.


Watoto sio Kinga kabisa wanifanye niteseke kisa Kuna Watoto. Ikifika mwisho imefika tu mwanamke mpubavu huvunja ndoa yake Kwa mikono yake mwenyew!


Timua mzee wako hatakubali mtengane hata kama ungemfumania lazima atashauri mvumiliane.

Huna haja ya kutrack simu yake utajifia mapema tu. Kama umeamua kumwanga mboga beba na ugali kabisa.
 
Right Way In Light mkuu pole sana kwa changamoto. Mkeo sio tu anakutisha bali tayari hakuheshimu, na mwanamke akipoteza utii basi ndoa inakua imeisha na ukiendelea kukomaa nae jua hakuna rangi utaacha kuiona.

Muamuzi wa maisha yako ni wewe mwenyewe, maana ndiye unayeteseka au kufurahi na sio wengine, ikiwa ni pamoja na baba au mama.

Kama umeamua ngoma iondoke, huhitaji hata ma-evidence mengi, be a man just like your father, tumia hizohizo text zake za kukutishia kuwa ndio umeamua kuzifanyia kazi, aondoke. Kwamba amekua akikutisha tisha na sasa umeamua kulifanyia kazi suala lake.

Sababu ya kutoleta evidence hizo classified, ni kwa kuwa, wazee watalenga kusuluhisha ili muendelee kukaa pamoja bila kujua kuwa hawataweza kurudisha utii kwa huyo mwanamke. Komaa, amua kiume.

Kama mkeo atapenda kukaa na wewe, na kama bado unampenda sana, acha aende ila arudi baada ya yeye kuomba msamaha mwenyewe pasipo kupitia wazazi wala dada zake. Yaani aje kubembeleza msamaha yeye mwenyewe, walau hapo atakua anamaanisha.

Akizingua mazima, tuwasiliane nikusaidie kupata custody ya watoto na mgawanyo wa mali za machumo ya pamoja kama zipo.
Mkuu, niseme kwamba ahsante. Umeweza zana kuielewa situation yangu hata vile ambavyo sijaviandika wewe umevi percieve kwa usahihi mkubwa sana. Shukrani. Kwa ujumla yf hana utii.
Suala la yeye kubembeleza msahamah hilo haliwezi hata dakika 1.
 
Hahaha wapi kasema ni mzinzi? Acheni ku conclude mambo tusiyo yajua. Nani siyo mzinzi sasa?
Hajacheza mbali mkuu. Mwanamke ukiona anakubabaishabkila saa tuachane wewe jua tu kuna mwamba huko anatikisa nyavu kibabe. Na hil si kwamba sikulihisi, ni vile niliamua kuwa mpole na kujifnya mjinga.
Sasa kwakua anataka sana, bas acha apewe tu hiyo liberty
 
Mkuu Kuna mawili ama matatu.
Moja hakupendi
Pili anajua unampenda sana hivyo anakujua bila yeye hutoboi.

Tatu sio ya umuhimu sana ni kwamba anatingisha kibert aone njiti zimo au lah!!

Ningekuwa Mimi kwanza siwezi lala library sababu yake nalala hapohapo kitandani. Halafu namwambia live kuwa asepe tu.


Baba au mama ana mpaka wake katika katika maamzi yangu. Hawezi ni amlia Kila kitu.sawa dingi ni mkoroni nitampigia simu na kumweleza yote akikata simu manake ameniruhusu nifanye maamzi yangu.


Watoto sio Kinga kabisa wanifanye niteseke kisa Kuna Watoto. Ikifika mwisho imefika tu mwanamke mpubavu huvunja ndoa yake Kwa mikono yake mwenyew!


Timua mzee wako hatakubali mtengane hata kama ungemfumania lazima atashauri mvumiliane.

Huna haja ya kutrack simu yake utajifia mapema tu. Kama umeamua kumwanga mboga beba na ugali kabisa.
Thanks kwa hekima yako chief. Ahsante kwa ushauri.
 
Mkuu,Mbona Una hangaika sana?Mke ni wako,familia yako,Dada zake wanahuskajie?Vikao vya nini?Dawa ya Mke msumbufu ni mke mwenzake.Nothing less,Nothing More.Utakufa na Presha na Sukari uache wanao wakiteseka bila baba.
 
Nyie mnaweza hata msilale pamoja lakini mkawa mnaishi nyumba moja ni tofauti na kuachana. Tena mna watoto hata kama ni wakubwa inasumbua sanaa akili.
Ikiwa mtaendelea kuishi vyumba tofauti ndani ya nyumba moja hapo sasa ndio mtakua mmeamua rasmi kabisa kuwaharibu hao watoto wenu. Mtawandaa vibaya kuhusu mambo ya ndoa pindi watakapokua wakubwa.

Kama mnaamua kukaa pamoja kwa ajili ya watoto, sharti muendelee kulala chumba kimoja.

Kuna dogo alienda likizo kwa rafiki yake wa shule, aliporudi kwao akamwambia baba yake kuwa ile familia aliyokwenda ni maskini sana tofauti na kwao. Baba akauliza ni kwa sababu gani anasema hivyo, mtoto akajibu kuwa, ni maskini kwa kuwa hawana vyumba vya kutosha mpaka baba na mama wa familia ile wanalala chumba kimoja wakati wao (baba yake na mama yake) kila mmoja analala chumba chake. Dogo akajua hayo ndio maisha yanavyopaswa kuwa. Baba alisikitika sana namna walivyomharibu mtoto wao kifkra.
 
Back
Top Bottom