Naona wazi kabisa kitaumana. Najiona kabisa nimesha fade up

Naona wazi kabisa kitaumana. Najiona kabisa nimesha fade up

Mkuu,Mbona Una hangaika sana?Mke ni wako,familia yako,Dada zake wanahuskajie?Dawa ya Mke msumbufu ni mke mwenzake.Nothing less,Nothing More.Utakufa na Presha na Sukari uache wanao wakiteseka bila baba.
Ni kwel mkuu, nimekuelewa. Tatizo tunaheshimiana nao sana hawa watu na sikuona vizuri kutowafabya atleast wamjue mdogo wao, maana hawamjui katika mapana haya wasije mezeahwa maneno tofauti. Ao nikaona niwape facts ili kama wanataka uhakika waulizane na mdogo wao. Mimi am done nao kwa amani, si unajua , tayar ni ma aunts wa wanangu hawa already
 
Pole.
Pole mwanangu.
Ahsante sana mama angu.
Ahahaha juzi mama nikamueleza kwa undani sanaa, mama nika feel jinsi alivyojisikia vibaya sana sema akamaliza kwakusema "sasa mimi siwezi kukaa upande wako, wasije sema nakutetea na ninaharibu ndoa yako, ila tutaangalia cha kufanya ila mkeo anakosea sana"
😂😂😂. Ali mind sana maza
Moyoni nikasema mama zetu wana hisia sana linapokua suala ma watoto wao, huyu angekua na full authority angevunja ndoa on spot 😆😆
 
Ni kwel mkuu, nimekuelewa. Tatizo tunaheshimiana nao sana hawa watu na sikuona vizuri kutowafabya atleast wamjue mdogo wao, maana hawamjui katika mapana haya wasije mezeahwa maneno tofauti. Ao nikaona niwape facts ili kama wanataka uhakika waulizane na mdogo wao. Mimi am done nao kwa amani, si unajua , tayar ni ma aunts wa wanangu hawa already
Mkuu,Ushauri wangu ni simple sana?Mambo ya ndani ya nyumba na Mkeo ni yenu wawili yawe mazuri au mabaya.Peopoe should not know what goes on inside your bedroom.Iko hivi,Unapowaeleza watu shida za mhusiano yako hasa ndugu zake usifikiri kwamba unawashawishi kwamba ndugu yao ni mbaya.wao wanaona tu kwamba umemchoka sasa unamtafutia sababu.

Unachofanya kwa sasa hivi ndo unashusha heshima yako na ya familia yako.Kuwekwa kikao ni kushushiwa heshima ya kiwango cha juu.Nina rafiki yangu mmoja aliitwa kwenye kikao kuhusu masuala ya Ndoa?Mke akaeleza kwamba sijua ABC mpaka Z.Jamaa akawaangalia akasema tu 'Ndugu yenu Mvivu na Mchafu Chumbani Akiwa msafi na Mbunifu nitatulia" Mpaka Leo wakiletwa kesi ya Jamaa hakuna nayetaka kabisa kusoge karibu.Wanajua kabisa Jamii hapendi ujinga ujinga.

Kuishi na mwanamke au mwanaume kunahitaji kuvumiliana katika mengi sana.Ila sasa Mapungufu ya mwenzako ynapoanza kuathiri maisha yako na mahusiano yenu mnapaswa ama Mpeane Nafasi ya kupumua au Muachane kabisa.Ila sio mkusanye watu kujadili mambo yenu ambayo hata hayawahusu
 
TOka saa 6 usiku mpaka dakika hii natupia huu uzi, niko macho, si kwamba sijaweza kulala ila sijapendelea ku share kitanda hiz siku kadhaa na wife. So niko zangu tu library ambapo mahala huwa napatumia kama ofisi yangu ya nyumbani pia kama prayer room binafsi hasa nyakati za usiku.

Namtafakari sana wife baada ya juzi kunitumia tishio kwa mara nyingine ya 5 katika miaka yetu 15 ya mahusiano na 11 ya ndoa takatifu.

Tishio lake ni lile lile "TUACHANE", "IT'S OVER".

Imagine ni mwanamke ndiye amekua frontline kunitisha tisha na haya maneno kila mara tunapopishana na yeye akiwa sababu.
Nimempuuzia kwa mara nyingi za kutosha but i think this time, nitachukua hatua.

Nimemvumilia kwenye mengi sana, na yeye kwao dada zake wanamchukuliaga kama perfect example. Sijawah kumu expose madhaifu yake meeengi sana ambayo kwa mwanaume yoyote (average) hangeweza kuchukuliana nayo.
Sijawahi kuya report kwao, wala kwetu. Sasa this time hiz red flags nimeona zinatosha na nikaamua kufanya decision kuwa "LET IT BE OVER FOR REAL NOW".
Kashani bip kwa muda mrefu, sasa nikisema nisubiri kupigiwa, yasije yakanikuta ya Hezbollah leaders, kupokea simu zenye vilipuzi, nikafa mazima.

Nikaamua kuwajuza dada zake woote kuhusu nini kimetokea juzi, wakawa hawataki kukubali kuwa ni kweli. Licha ya kuwatumia screen shot japo wametingishika vya kutosha.
Nime make the second move.
Kwakua hawaamini, na hawajamjua mdogo wao kwa jinsi ninavyomjua mimi, nimeamua kuwapa classified top secret file japo nikaondoa baadhi ya vipengele tata wasijedondosha simu zao wanapofingua ujumbe baada ya kuupata.

Why have i done this?
am boldly trying to make them realize kuwa this very time it is gona be over for real.
Niko nawaza tu kuhusu wanangu hapa hawa wanne (4) Mungu aliotujaalia ni namna gani nita handle. Juzi nilifikia uamuzi wa kumfukuza home (na nikampa nguo zake asepe) ila akawahi kumpigia maza home mkoani kuhusu yeye kufukuzwa na mimi, mama akanipandia hewani kuniomba(huwa ananijua mwanae nikoje nikishavurugwa). Nikamkatalia maza kata kata.
Baada ya dakika 10 naona simu ya dingi. Sasa huyu ni kamanda kwel kwel, ni wale mafaza wakoloni, neno lake ni sheria na haongei mara 2. Huyu kwake na utu uzima wangu, nakua mdogo kama pilitoni.
akasema neno moja tu "sitaki kusikia hilo suala mpaka nitakapo kuja tulizungumze" ,hivyo yan, kisha akakata simu.

So hapa nasubiri kikao na wazee na hapa, niitaweka msimamo wangu wazi kuwa siko tayar kuendelea.
LOoking forward for that meeting, nimemchek mwamba wangu mmjoa tulisoma CS one class kwasasa yeye ni afisa uhamiaji, nikamuomba anipe muongozo wa ku hack na ku track call, videos and messages zoote , kitu ambacho sikuwah kutaka kufika huko before but now kwakua nishaamua kumwaga na mimi mboga, najua nitaambulia some evidences huko zinisaidie kwenye kikao na wazee kama ushahidi mbali na files zangu nilizoziandaa tayari.

Ahsanteni.
Niwatakie alfajiri njema na jumapil njema.
Acha nianze kujiandaa kwaajil ya kufika ibadani.

Mungu awabariki
"Maranatha".
To cut the blah blah short ni kwamba umechelewa sana kuchukua uamuzi, one point ujue she is/was your wife I mean yours only not your parent's or anyone else. Kwa kuwa umeamua kupitia processes za vikao kikubwa make sure uamuzi wako usiyumbishwe na mtu yoyote. Wewe ndiyo unaishi naye so whatever the fvck she put you through ni wewe pekee unaye-feel the level it pains you kumtima kwako, deep inside your heart.
Hao wazee waje ukiwa na uamuzi wako tayari na ni vizuri wangekuta 'umeshamtupa kiaina' ili ahudhurie hicho kikao kama 'mgeni', put her on her damn place I mean where she exactly belongs on the streets. Ndoa inapaswa kuwa sehemu ya kupata peace of mind, furaha na si sehemu ambayo ukitoka huko hekaheka za utafutaji zimekuvuruga eti ukirudi home nako unazidi kuvurugwa. Why should you go through all that? Your mental health is very important for your children, they gotta be your priority number one. Nyumba isiyo na maelewano inawaathiri sana watoto kisaikolojia.
NB: Ujinga wa vikao anaweza kukuzushia mambo yatakayo kudhalilisha na kukuaibisha wewe na wazazi wako, it's unnecessary process kama wewe mwenyewe umeshabaini kuwa hautoweza tena kuishi naye. Maisha yako unayapanga mwenyewe na uamuzi wako unachukua mwenyewe baada ya kupima pros and cons.
Be a man na chukua uamuzi as a man.
Good luck dude.
 
Kwa suala la uzinzi ni right on the spot unapiga chini , mwanamke anayeenda kutombwa nje ya ndoa yake ni hatari kuliko sumu
Sure ndio maana nakwepa sana kulala usingiz pamoja. So watoto wakisha lala huwa natoka Libary kufanya kaz zangu wasije ona hii halim
Maana who knows? Asije akanichoma kisu bure au akanimwagia mafuta ya moto 😆.
Kiukwel niko kwenye wakat mgumu sana.
Maana unajuaje mtu anachokuwazia rohoni mwake?? Mtu ambaye tayar yuko tayar muachane? Unafikir anaweza akafurahi akuache salama???
 
Mkuu,Ushauri wangu ni simple sana?Mambo ya ndani ya nyumba na Mkeo ni yenu wawili yawe mazuri au mabaya.Peopoe should not know what goes on inside your bedroom.Iko hivi,Unapowaeleza watu shida za mhusiano yako hasa ndugu zake usifikiri kwamba unawashawishi kwamba ndugu yao ni mbaya.wao wanaona tu kwamba umemchoka sasa unamtafutia sababu.

Unachofanya kwa sasa hivi ndo unashusha heshima yako na ya familia yako.Kuwekwa kikao ni kushushiwa heshima ya kiwango cha juu.Nina rafiki yangu mmoja aliitwa kwenye kikao kuhusu masuala ya Ndoa?Mke akaeleza kwamba sijua ABC mpaka Z.Jamaa akawaangalia akasema tu 'Ndugu yenu Mvivu na Mchafu Chumbani Akiwa msafi na Mbunifu nitatulia" Mpaka Leo wakiletwa kesi ya Jamaa hakuna nayetaka kabisa kusoge karibu.Wanajua kabisa Jamii hapendi ujinga ujinga.

Kuishi na mwanamke au mwanaume kunahitaji kuvumiliana katika mengi sana.Ila sasa Mapungufu ya mwenzako ynapoanza kuathiri maisha yako na mahusiano yenu mnapaswa ama Mpeane Nafasi ya kupumua au Muachane kabisa.Ila sio mkusanye watu kujadili mambo yenu ambayo hata hayawahusu
Nimekuelewa mkuu. Ahsante.
 
TOka saa 6 usiku mpaka dakika hii natupia huu uzi, niko macho, si kwamba sijaweza kulala ila sijapendelea ku share kitanda hiz siku kadhaa na wife. So niko zangu tu library ambapo mahala huwa napatumia kama ofisi yangu ya nyumbani pia kama prayer room binafsi hasa nyakati za usiku.

Namtafakari sana wife baada ya juzi kunitumia tishio kwa mara nyingine ya 5 katika miaka yetu 15 ya mahusiano na 11 ya ndoa takatifu.

Tishio lake ni lile lile "TUACHANE", "IT'S OVER".

Imagine ni mwanamke ndiye amekua frontline kunitisha tisha na haya maneno kila mara tunapopishana na yeye akiwa sababu.
Nimempuuzia kwa mara nyingi za kutosha but i think this time, nitachukua hatua.

Nimemvumilia kwenye mengi sana, na yeye kwao dada zake wanamchukuliaga kama perfect example. Sijawah kumu expose madhaifu yake meeengi sana ambayo kwa mwanaume yoyote (average) hangeweza kuchukuliana nayo.
Sijawahi kuya report kwao, wala kwetu. Sasa this time hiz red flags nimeona zinatosha na nikaamua kufanya decision kuwa "LET IT BE OVER FOR REAL NOW".
Kashani bip kwa muda mrefu, sasa nikisema nisubiri kupigiwa, yasije yakanikuta ya Hezbollah leaders, kupokea simu zenye vilipuzi, nikafa mazima.

Nikaamua kuwajuza dada zake woote kuhusu nini kimetokea juzi, wakawa hawataki kukubali kuwa ni kweli. Licha ya kuwatumia screen shot japo wametingishika vya kutosha.
Nime make the second move.
Kwakua hawaamini, na hawajamjua mdogo wao kwa jinsi ninavyomjua mimi, nimeamua kuwapa classified top secret file japo nikaondoa baadhi ya vipengele tata wasijedondosha simu zao wanapofingua ujumbe baada ya kuupata.

Why have i done this?
am boldly trying to make them realize kuwa this very time it is gona be over for real.
Niko nawaza tu kuhusu wanangu hapa hawa wanne (4) Mungu aliotujaalia ni namna gani nita handle. Juzi nilifikia uamuzi wa kumfukuza home (na nikampa nguo zake asepe) ila akawahi kumpigia maza home mkoani kuhusu yeye kufukuzwa na mimi, mama akanipandia hewani kuniomba(huwa ananijua mwanae nikoje nikishavurugwa). Nikamkatalia maza kata kata.
Baada ya dakika 10 naona simu ya dingi. Sasa huyu ni kamanda kwel kwel, ni wale mafaza wakoloni, neno lake ni sheria na haongei mara 2. Huyu kwake na utu uzima wangu, nakua mdogo kama pilitoni.
akasema neno moja tu "sitaki kusikia hilo suala mpaka nitakapo kuja tulizungumze" ,hivyo yan, kisha akakata simu.

So hapa nasubiri kikao na wazee na hapa, niitaweka msimamo wangu wazi kuwa siko tayar kuendelea.
LOoking forward for that meeting, nimemchek mwamba wangu mmjoa tulisoma CS one class kwasasa yeye ni afisa uhamiaji, nikamuomba anipe muongozo wa ku hack na ku track call, videos and messages zoote , kitu ambacho sikuwah kutaka kufika huko before but now kwakua nishaamua kumwaga na mimi mboga, najua nitaambulia some evidences huko zinisaidie kwenye kikao na wazee kama ushahidi mbali na files zangu nilizoziandaa tayari.

Ahsanteni.
Niwatakie alfajiri njema na jumapil njema.
Acha nianze kujiandaa kwaajil ya kufika ibadani.

Mungu awabariki
"Maranatha".
Tuliza moyo ndugu.Kuachana uzeeni kuna athari zake.Mtulize mama watoto myatulize.
 
Sure ndio maana nakwepa sana kulala usingiz pamoja. So watoto wakisha lala huwa natoka Libary kufanya kaz zangu wasije ona hii halim
Maana who knows? Asije akanichoma kisu bure au akanimwagia mafuta ya moto 😆.
Kiukwel niko kwenye wakat mgumu sana.
Maana unajuaje mtu anachokuwazia rohoni mwake?? Mtu ambaye tayar yuko tayar muachane? Unafikir anaweza akafurahi akuache salama???
All the best
 
Huwa inakuaje? Mnaoana mkiwa hamjuani au hampendani??

Mbaya zaidi hizi ni zile ndoa zenu mnazofanya harusi kuubwa na mbwembwe nyingi kuwachoma maex wenu.

Kuna demu wangu aliolewa, ni miaka mitatu tu sasa ndoa imekua ndoano, mwingine hata mwaka haukuisha wakawa wanaishi na mimewe kama kaka na dada waliofatana.

Shida ni nini nyie watu au huwa mnaoa wake za watu??
 
Tumekumbushwa kuhusu uzalendo, kumbe uzalendo huanzia nyumbani, kama nyumbani hakuna uhuru, (freedom), uzalendo utakuwa with a big NO
 
Hata iweje nyny ni wazaz najua now mnaongozwa na hisia za kuchokana kabla ya kufikia huko ungetumia njia ya kujitenga nae yaan kutoka hom hata mwez utapokuwa mbl nae majibu mngepata pia njia unayotumia kuanika mazaifu yake kwahao ndugu zake na wazaz sio sahih kama uliamua kukaa kimya ungekaa kimya hy mbinu ni mbovu mana kuna leo na kesho wewe si wa kwanza tupo wenzako yalitukuta hayo ila tulitumia hekima sio hisia usikubal kutekwa na hisia oya wazaz hawaachan ila wanatengana unachofanya mnajidharirisha wenyew
 
Back
Top Bottom