kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Ivi najiulizaga kama mimi ndo nimeumbwa tofauti na wanaume wenzangu sijuagi kabisa
Mimi siwezagi kutoka na demu ambaye sio mke wangu au mpenzi wangu
Na nikitoka na mwanamke fulani ni lazima yule wa kwanza niachane naye alafu niwe na mwengine siwezagi kukaa na wanawake wawili au watatu kwa kipindi kimoja
Mimi lile swala la kutafuna alafu naondoka siwezagi
Nakumbuka mwaka 2023 kuna demu nilitaka kabisa kumtafuna na kusepa kama wenzangu cha ajabu siku ambayo tunakutana tusex. demu nikamvua nguo kama kawaida nilishindwa kusimamisha nilijaribu kuvuta hisia za mke wangu katika akili yangu lakini wapi
Mimi naonaga kama sijakamilika ivi labda Mimi ni mgonjwa
Mimi siwezagi kutoka na demu ambaye sio mke wangu au mpenzi wangu
Na nikitoka na mwanamke fulani ni lazima yule wa kwanza niachane naye alafu niwe na mwengine siwezagi kukaa na wanawake wawili au watatu kwa kipindi kimoja
Mimi lile swala la kutafuna alafu naondoka siwezagi
Nakumbuka mwaka 2023 kuna demu nilitaka kabisa kumtafuna na kusepa kama wenzangu cha ajabu siku ambayo tunakutana tusex. demu nikamvua nguo kama kawaida nilishindwa kusimamisha nilijaribu kuvuta hisia za mke wangu katika akili yangu lakini wapi
Mimi naonaga kama sijakamilika ivi labda Mimi ni mgonjwa