Naongea na mwenye mbwa siongei na mbwa

Pamoja na hayo ndio amwite mwingine mbwa?
Mkuu sio Manji bwana ni Hans pope aliyesema hivyo kipindi Magu akiwa waziri wa ujenzi na miundo mbinu alipiga mkwara kuhusu malori na pope ana miliki malorry ndio akatoa kauli hiyo, mtoa thread amekosea au hajui au kakariri
 
Hilo ni dua la kuku Mzee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu sio Manji bwana ni Hans pope aliyesema hivyo kipindi Magu akiwa waziri wa ujenzi na miundo mbinu alipiga mkwara kuhusu malori na pope ana miliki malorry ndio akatoa kauli hiyo, mtoa thread amekosea au hajui au kakariri
Ninalijua hilo
 
Nasikia alisha omba msamaha mapema kapiga mpaka magoti na masharti juu... Mzee anachotaka anapewa hata yale maujenzi ya fujo kwa mzee nasikia ni yeye..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yule aliekuwa mbwa sasa ndio kashika Nchi...

Funzo: Tujifunze kuwa na akiba ya maneno maana hatujui ya kesho....

Na lile ghorofa lako uliosimamisha pale iringa angalia lisije kwenda na maji pia...
 
T
Tunamba hiyo video
 
Kuna vitu huwezi kuvisema lakini Hans Pope na JPM ni dhahili Hans Yupo mbali sana kwanzia siasa, biashara na Michezo!!.. Mungu amlaze Mzee Hans Pope sehemu salama Peponi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…