Naongea na mwenye mbwa siongei na mbwa

Naongea na mwenye mbwa siongei na mbwa

Na yule waziri aliyekasema maneno hayo bungeni akiwaambia waandishi habari wenzake?. Ama kweli usitukane wakunga ingali uzazi upo.
 
Kama sio busara za Mzee mwinyi ilikuwa anyongwe kwa jaribio la uhaini 1982 kwa kumpindua Map Nyerere akiwa na umri wa miaka 26 akiwa na wenzake akakamatwa akishirikiana na akina Maghee na Kapten Maganga mpaka Mzee Mwinyi akaja kuwatoa kwa msamaha!
 
Hili jamaa linaongea shit sana..lingenyongwa kutaka kumpindua mwalimu
 
Kuna siku nikiwa Lusaka kipindi cha kampeni mkurugenzi wa jiji la Lusaka alimyima sata kibali cha kufanya kampeni, sata akatinga hadi jiji akamwabia yule mkurugenzi kuwa hawaambie waliomtuma kuwa siku akiwa rais atakomesha tabia ya watumishi kuwa sehemu ya vyama tawala, alichoambulia sata ni tusi toka kwa yule mkurugenzi kuwa, wewe mbwa asiye na Elimu nani akupe urais wa nchi, kama siyo walinzi wa sata ngumi zingelika, bahati mbaya kwa mkurugenzi sata akashinda urais.
Duh!! So interesting mkuu.
Then what happened?
 
Kuna mtu mmoja shombe shombe (chotara/zero point five), yeye ni mmoja wa watu wenye ushawishi ndani ya klabu ambayo zamani iliitwa Sunderland. Huyu mtu ni mmoja wa wadau muhimu wa sekta ya usafirishaji, ni mmoja wa wamiliki wa magari makubwa yanayopeleka mizigo katika nchi jirani.

Wakati wa awamu ya nne aliingia kwenye mzozo na aliyekuwa waziri wa barabara, akafikia hatua ya kuongea kwa dharau akisema kwamba yeye haongei na mbwa bali anaongea na mmiliki wa mbwa, ilibidi aliyekuwa waziri mkuu aingilie kati na kuutatua ugomvi ule.

Mungu si athumani siku za kuishi huwa zinakwenda kasi sana, leo hii yule aliyeitwa mbwa ndiye mwenye mbwa, na ana sauti ya juu kabisa na yenye mamlaka.

Shombe shombe yupo kwenye wakati mgumu, kwani huyu mwenye mbwa wa sasa, anafahamu fika dharau aliyokutana nayo wakati akiwa kazini katika wizara ya barabara.

Nyeti zinahabarisha kwamba mwenye mbwa yupo njiani kuandaa mapigo yatakayorudisha heshima aliyoipoteza baada ya kudharauliwa mpaka kufananishwa na dogi.

Somo muhimu kwa shombe shombe na wengine wote wenye kupenda kuropoka hovyo bila ya kuitazama kesho inafananaje, ni kwamba mdomo ulikiponza kichwa.
Hii ni kweli?
 
Kuna mtu mmoja shombe shombe (chotara/zero point five), yeye ni mmoja wa watu wenye ushawishi ndani ya klabu ambayo zamani iliitwa Sunderland. Huyu mtu ni mmoja wa wadau muhimu wa sekta ya usafirishaji, ni mmoja wa wamiliki wa magari makubwa yanayopeleka mizigo katika nchi jirani.

Wakati wa awamu ya nne aliingia kwenye mzozo na aliyekuwa waziri wa barabara, akafikia hatua ya kuongea kwa dharau akisema kwamba yeye haongei na mbwa bali anaongea na mmiliki wa mbwa, ilibidi aliyekuwa waziri mkuu aingilie kati na kuutatua ugomvi ule.

Mungu si athumani siku za kuishi huwa zinakwenda kasi sana, leo hii yule aliyeitwa mbwa ndiye mwenye mbwa, na ana sauti ya juu kabisa na yenye mamlaka.

Shombe shombe yupo kwenye wakati mgumu, kwani huyu mwenye mbwa wa sasa, anafahamu fika dharau aliyokutana nayo wakati akiwa kazini katika wizara ya barabara.

Nyeti zinahabarisha kwamba mwenye mbwa yupo njiani kuandaa mapigo yatakayorudisha heshima aliyoipoteza baada ya kudharauliwa mpaka kufananishwa na dogi.

Somo muhimu kwa shombe shombe na wengine wote wenye kupenda kuropoka hovyo bila ya kuitazama kesho inafananaje, ni kwamba mdomo ulikiponza kichwa.
Duh, kama mbwa kaweza kugeuka kuwa mwenye mbwa, basi badala ya kuwa na visasi angejitambua kuwa kumbe yawezekana pia kesho akageuka tena kuwa mbwa.
Tena sio mbwa atakayekuwa na mmiliki bali mbwa koko asiye na mwenyewe wa kumhifadhi bali wa kuzurura hovyo. Ndivyo dunia ilivyo, visasi huwa vikianza havina mwisho.
 
Duh, kama mbwa kaweza kugeuka kuwa mwenye mbwa, basi badala ya kuwa na visasi angejitambua kuwa kumbe yawezekana pia kesho akageuka tena kuwa mbwa.
Tena sio mbwa atakayekuwa na mmiliki bali mbwa koko asiye na mwenyewe wa kumhifadhi bali wa kuzurura hovyo. Ndivyo dunia ilivyo, visasi huwa vikianza havina mwisho.

ya gadaffi
 
Alipo muumba binadamu ALLAH,alijisifu kwa kukiumba kiumbe bora,hivyo basi siyo busara kumfananisha binadamu na mbwa.Kama umewahi kutamka hivyo....pse fanya toba haraka saana.
 
Duh, kama mbwa kaweza kugeuka kuwa mwenye mbwa, basi badala ya kuwa na visasi angejitambua kuwa kumbe yawezekana pia kesho akageuka tena kuwa mbwa.
Tena sio mbwa atakayekuwa na mmiliki bali mbwa koko asiye na mwenyewe wa kumhifadhi bali wa kuzurura hovyo. Ndivyo dunia ilivyo, visasi huwa vikianza havina mwisho.
Visasi vipo mpaka kwenye ikulu ya Donald Trump kule Marekani. Au unasahau kuwa mwenye visasi ni mkristo au pengine muislam, mtu ambaye hukumbushwa kutubu dhambi zake?.

Nitajie kiongozi yoyote yule wa kitanzania kuanzia Mwalimu JKN mpaka hivi leo ambaye hana chembe ya ushahidi wa uwepo wa visasi kwenye hulka zake.
 
Back
Top Bottom