Naongea na Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

unae ndugu alietekwa na jiwe...? mimi binafsi nitafungua kesi kwa niaba ya familia yako...na hiyo kesi nitaisimamia mimi mwenyewe...ila nitahitaji uthibitisho tu wa huyo ndugu yako alie tekwa...!​
Anza na kesi ya Ben Sa8 aliyeuawa kabisa
 
nashukuru sana...japo jiwe limelengwa gizani
 
Huyo alishawaruhusu mawaziri na watumishi wake wale kwa urefu wa kamba zao. Ndio maana unaona mafisadi hapa Tanzania yana dunda dunda na kuserereka.
amekubali kuitwa mama hivyo wamama wengi huwakumbatia watoto wao watukutu😭😭😭
 
Hoja makini na mujarabu
Ninachosikitika ni kwamba mpelekewa hoja amegoma kufungua masikio yake. Anaamini ukishakuwa kwenye cheo kile basi ghafla unakuwa na akili kuliko Watanzania wote ndo maana akipewa zawadi za vyeti vya heshima hajiulizi mara mbili....

Nasikitika nchi imepoteza muelekeo.
Leo akina Lucas mwashambwa wanatumia majina yao halisi mitandaoni kwa sababu wao kusifu hata kwa mabaya ni sehemu ya usalama na uzalendo kwa taifa. Lakini sisi wakosoaji tunaambiwa kuna uhuru wa maoni lakini hakuna uhakika wa uhuru baada ya maoni ndo maana tunaendelea kujibanza nyuma ya pen names.

Rais wetu haambiliki na anajua kuwa sisi hatuna akili kumfikia yeye
 
Hio jeuri hana na msibani chato alipewa onyo ya kuwa usiposikia la mkuu na wewe tutakuzika kama huyu mwenzako. Tafuteni video ya kule Chato
 
Kama Mwendazake alimaliza ishu za miundombinu huko Dar Huwa mnalalamika Barabara mbovu mara Maji yajaze Jangwani Kwa nini?

Acha propaganda za kijinga wewe.Wapumbavu, mbumbumbu,maskini na wasiojitambua ndio walikuwa washabiki wa Mwendazake.

Ukiwa timamu huwezi shabikia mtu asiye na akili.mfano Mimi nishabikie reli wakati Sina Barabara? Reli Imewahi wasaidia watu gani kuondoka kwenye umaskini?

Si ajabu maskini wakiongezekaekukiko kupungua.

Mwisho as for me Samia Yuko right kabisa na ashikilie hapo hapo hakuna kutoka kwenye mstari,ukitaka mchukie ukiamua mpende utachagua kinachokupa Furaha uzuri namfahamu Madam President ni very emotional stable hakurupuki Wala hahitaji kujipendekeza Ili asifiwe.

Alishasema binadamu ndivyo walivyo ufanye watasema usifanye watasema kikubwa do what you think is right.Rais hatafutwi kupendwa na Kila mtu alifanya hivyo atakuwa mpumbavu.
 
asante sana... ndugu yangu wewe ni roles model wangu... miongoni mwa watu walio ni insipire hadi nikasomea uandishi ni wewe mkuu...harafu nikabahatika kusoma chuo kimoja na binti yako...🤣🤣🤣​
Asante sana Prince Mhando , nimefurahi kusikia hivyo, ila kiukweli kwenye miti hakuna wajenzi, nina watoto 9, hakuna hata mmoja aliyerithi kazi ya Baba, huyo binti keshaachana na hiyo fani kitambo!, na sisi sasa ndio wazee tunaishia ishia.
P
 
Mtu yeyote anayemsifia Magufuli hana akili!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…