Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lile ndo songi la Magu kwenye kampuni na malipo ni ubungeSina shaka ule wimbo aliouimba tena wa Ngwangwalu, Jiwe anatamani uwe wimbo wa Taifa!
Hata wewe mtoto unasema hivooooIla tangu alivyokua wcb mwishoni mwishoni alikua anaimba utumbo..si vibaya akauendeleza kwa jembe
Kwahiyo Clouds watakuwa wanapiga nyimbo za harmonize alizoshirikiana na wasanii wa wasafi au wataendeleza utoto wa ku mute ?Wimbo mkali, acheni negativity....
Mpk awe WCB ndo UNO ingekuwa Kali!?
[emoji119]
Sio hapa naona vijana wanatuma clip unachezekaAna nyimbo mpya kumbe ...mbona haijulikani
Kwahiyo Clouds watakuwa wanapiga nyimbo za harmonize alizoshirikiana na wasanii wa wasafi au wataendeleza utoto wa ku mute ?
ikija kuwa hivyo ndato mba mjusiHarmonize ni fagio la chuma ipo siku Diamond atasainishwa mkataba kwenye label ya Harmonize
Kumbe Konde boy bado anamu admire mentor wake. Sikuwaza kama anaweza kumtaja Mondi kwenye huo wimbo.[emoji23] Clouds machizi tu, hiyo nyimbo yenyewe kipindi inapigwa pale clouds kama ulisikiliza vizuri kuna kipande alichoimbwa Diamond kimekatwa....
Unafki umewapatia watz wengine ajira kama uamini tembelea ofisi za CMGAngekuwa WCB wangesema wimbo una matusi haaahaaa