Naota mdogo wangu ananikaba usiku. Je, anaweza kuwa mchawi?

Naota mdogo wangu ananikaba usiku. Je, anaweza kuwa mchawi?

Unawezakuta yupo kwenye mafunzo ambayo hata yeye hayaelewi na hajui madhara yake.
Umeongea point mkuu sababu hata mimi utoton walitakaga kunifunza hivyo lakin mungu hakuruhusu hayo naona yanakuja kwa mdogo wangu
 
Nataka nikupe tafsi ya ndoto zako ila sitaki kuwagombanisha
Ukiona mtu umelala nae hapo home anakuja kuchukuliwa usiku
Ni nafsi yake inaenda kutumikishwa huko na ulimwengu mwingine.
2. Kama mtu huyo huyo anarudi Sasa kukukaba kwenye ndoto Ina maana tayari yuko kazini alishapewa na majukumu kiroho
Sasa usigombane nae msaidie Mpeleke kanisani mapema Kwa mtu mwenye mamlaka za kiroho avunje hilo agano ...mwisho wake utakuwa mbaya usipofanya hivyo
 
Siwezi gombana nae nitakua sijengi bari nabomoa nsmpenda sana
 
Ni kwamba famalia imesha wahi pitia vitu kama hivyo na nilikua naota hivyo hivyo na nimempoteza ndugu yangu mwaka jana na sitak kumpoteza mwingine mimi
Jaribu hiyo tiba itakusaidia sana
 
Njia za kupambana ni mbili tu.
1. Sali sana, sali rozali, tafuta maji ya baraka yatumie
2. Nenda kwa Babu ukachanje akija kukukaba anakuona ila hawezi kukufikia.
Kusali sana hiyo point
 
Watangulizi wanasema ukiona mtoto mdogo kawa jeuri basi kunakua na nguvu ya ziada mwilini mwake anaweza asijitambue kwa maana ya kwamba hiyo nguvu ipo kimiujiza,, tafuta njia ya kumuokoa bado mapema.
 
Mwenzio mdogoangu kuna siku aliniambia nimemkaba usiku[emoji16]

Aliniambia"Dada usiku umenikaba shingoni Dada we mchawi"

Nikamuuliza unauhakika??...kakasema ndio nimekuona wewe......asee niliishiwa pozi
 
Watangulizi wanasema ukiona mtoto mdogo kawa jeuri basi kunakua na nguvu ya ziada mwilini mwake anaweza asijitambue kwa maana ya kwamba hiyo nguvu ipo kimiujiza,, tafuta njia ya kumuokoa bado mapema.
Sawa
 
Mwenzio mdogoangu kuna siku aliniambia nimemkaba usiku[emoji16]

Aliniambia"Dada usiku umenikaba shingoni Dada we mchawi"

Nikamuuliza unauhakika??...kakasema ndio nimekuona wewe......asee niliishiwa pozi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nimecheka kama mwehuuu
 
Hapana wachawi huweza kutumia sura ya mtu mwingine kujificha wayafanyayo ni mara chache sana mchawi kuja na sura yake halisi

Dogo sio mwanga sema wachawi wanatumia sura yake kufanya yao
 
Hapana wachawi huwez kutumia sura ya mtu mwingine kujificha wayafanyayo ni mara chache sana mchawi kuja na sura yake halisi

Dogo sio mwanga sema wachawi wanatumia sura yake kufanya yao
Ndio niko dilemma hapo sasa
 
Watangulizi wanasema ukiona mtoto mdogo kawa jeuri basi kunakua na nguvu ya ziada mwilini mwake anaweza asijitambue kwa maana ya kwamba hiyo nguvu ipo kimiujiza,, tafuta njia ya kumuokoa bado mapema.
Ana miaka 18 ila hakamatik
 
Ukimtuhum mdogo wako kwa uchawi technically atakaua amepewa na mama yako au bibi yako . It means it's a family thing. hebu chunguza ujue nani kati Yao alimpa huo uchawi
 
Back
Top Bottom