Naota mdogo wangu ananikaba usiku. Je, anaweza kuwa mchawi?

Naota mdogo wangu ananikaba usiku. Je, anaweza kuwa mchawi?

Mwanzo alikua anafatiliwa na wachawi nikawa namuokoa na kuna siku mbaba mmoja ni ndugu alikua mwanga akawa anasema mdogo wako yule ana macho angekua wa kiume angekua chief yaani nirivurugwa

Niamin mimi sio utani nimepitia mengi nayajua
Hahahaha nakuamini ila kunambia majini huyaogopi /ujakutana na majini (ujue kuna vijini vinayaogopa hadi majini)

Sasa kutana na majini asilia acha haya yanajiita mara maimuna(ukutane na maimuna mwenyewe utasanda)
 
Njia za kupambana ni mbili tu.
1. Sali sana, sali rozali, tafuta maji ya baraka yatumie
2. Nenda kwa Babu ukachanje akija kukukaba anakuona ila hawezi kukufikia.
EtI nn asali rozali Kisha kapigwe chale na Babu duuuh Kazi IPO aisee
 
Mkuu nenda kwenye maombi na uende naye huyo kama upo kanda ya ziwa niambie pm huko tuwasiliane umlete kwenye maombi nakuhakikishia kama NI ye mwenyewe atasema kama anatumika anayemtumia atasema. Usifikiri twataka sadaka hapana we njoo na nauli yako ya kuja na kurudi UKIWA na mhusika. Your welcome
 
Kanaropoka ropoka?? Maana wanakuwaga wanajiamini hao,hawamuogopi mtu
Utakuta mmama ana miaka hamsin kamkuta bombani anamwambia mwanangu naomba nikinge ndoo moja tu kwanza niondoke jibu hilo atakalopewa kamaa yeye tembo huyo mama swara yaani balaaa
 
Hahahaha nakuamini ila kunambia majini huyaogopi /ujakutana na majini (ujue kuna vijini vinayaogopa hadi majini)

Sasa kutana na majini asilia acha haya yanajiita mara maimuna(ukutane na maimuna mwenyewe utasanda)
Jini mwenyewe ndio namaanisha sio hawa binadam wenye majini tena chanzo chake alinipigia simu kilicho fuata ucku [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]siku ya pili siku ya tatu mwendo ule ule mpaka chumba nilikiina kichugu uzur najiamini na namwamini mungu nikasema hapa sishirikishi binadamu mpaka mungu aamue mbona jini alikimbia mwenyewe
 
Msaada jamanI

Nina mdogo wangu wa kike ana miaka 18 mwanzo nilikua naota wachawi wanakuja kumuiba nyumban nikawa nikawa namuokoa na kuna siku nilikua nimeenda nyumbani na tulilala wote usiku nikaota ananikaba tulipambana kweli na asubuhi yake nikamwambia kuna mtu kanikaba usiku akaniuliza umemtambua nikamjibu hapana akanyamaza tu na sasa hivi ana jeuri matusi haangaliagi wa kumtukana.

Je, anaweza kuwa mchawi kweli au vipi na sio mimi tu ninaye muota hata ndugu zangu wengine pia yaani mkigombana mchana tu usiku unalo na juzi nimemuuliza kakataa kasema hajui chochote.
Utakua unamuoea wivu tu

Kwa ujumla ndoto ya kukabwa inategemea unalalaje na Pia umekula mlo wa mwisho wa usiku saa ngapi

Lazima utakua unachelewa kula na unajaza sana msosi kwenye plate matokeo yake unatesa mfumo wa chakula na wa pumzi

Hakuna mchawi hapo… Bariki mida ya kula usiku na Acha wivu Kwa Mdogo wako
 
Kuna mtu anakuletea Taswira ya mdogo wako ili awagombanishe,, sio kila ndoto niyakuiamini budda
 
Jini mwenyewe ndio namaanisha sio hawa binadam wenye majini tena chanzo chake alinipigia simu kilicho fuata ucku [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]siku ya pili siku ya tatu mwendo ule ule mpaka chumba nilikiina kichugu uzur najiamini na namwamini mungu nikasema hapa sishirikishi binadamu mpaka mungu aamue mbona jini alikimbia mwenyewe
Huyo jini wa bongo movies
 
Back
Top Bottom