babyfancy
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 2,176
- 6,187
- Thread starter
- #121
500000 ya Tanzania ah Zimbabwe?Nimeona post yako, nilikuwa naangalia namna ya kukusaidia..lakini kwa haraka haraka kuna kitu kibaya, muulize tu nani kamfundisha hayo mambo? Akigoma tuma sh 500000tu, nimuumbue hadharani, alaf tukomeshe hiyo, na yeye tumtuo huko