kajamaa kadogo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,707
- 6,437
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Then why umhisi uchawi?Ni muone wivu kwa lipi kwa mfano ?hata kama ndio ningekua na wivu maana mimi na yeye tuna tofauti kubwa sana na nampenda ndugu yangu kuliko unavyo dhani yaani nampenda kuliko hata mama yangu mzazi huwezi amini embu kama huna la kuongea tulia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Ahahahaha ni Nomino tu
Wow, thank u. Kuna familia mbili hapa mtaani kwetu wanasema.ni wachawi. Na kiukweli ukiangalia maisha yao Mungu awasamehe[emoji23][emoji23][emoji119] kiukweli uchawi na umasikini ni kitu kimoja. Nipate hela nyingi ninunue nyumba ya mmona wapo aondoke abaki mmoja tujikusanye[emoji23][emoji23]Mchawi ni mtu mwenyewe vitendea kazi mwenyewe mshirikina ni yule anamshirikisha mganga akuroge
Hahaha na kweli. Wachawi wote ni masikiniNi flailing za umaskini uliokubuhu
Mshana JrMsaada jamanI
Nina mdogo wangu wa kike ana miaka 18 mwanzo nilikua naota wachawi wanakuja kumuiba nyumban nikawa nikawa namuokoa na kuna siku nilikua nimeenda nyumbani na tulilala wote usiku nikaota ananikaba tulipambana kweli na asubuhi yake nikamwambia kuna mtu kanikaba usiku akaniuliza umemtambua nikamjibu hapana akanyamaza tu na sasa hivi ana jeuri matusi haangaliagi wa kumtukana.
Je, anaweza kuwa mchawi kweli au vipi na sio mimi tu ninaye muota hata ndugu zangu wengine pia yaani mkigombana mchana tu usiku unalo na juzi nimemuuliza kakataa kasema hajui chochote.
Niseme ushirikina na umasikini ni kitu kimoja ila uchawi familia kibao tajir masikin labda uzungun tuWow, thank u. Kuna familia mbili hapa mtaani kwetu wanasema.ni wachawi. Na kiukweli ukiangalia maisha yao Mungu awasamehe[emoji23][emoji23][emoji119] kiukweli uchawi na umasikini ni kitu kimoja. Nipate hela nyingi ninunue nyumba ya mmona wapo aondoke abaki mmoja tujikusanye[emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Kwenye chumvi hapo [emoji849]mmmmhSasa katika thread yako kuna facts kadhaa umeziweka wazi:
1.Umesema kila mkigombana na huyo mdogo wako , Usiku unalo! Hii maake imeshatokea tena na tena ndo mana umeiamii!
2.Umesema ndoto zako wewe uazoota huwa ni za kweli na umetolea mfao wa ndugu yeu aliyefariki mwaka jana!
Basi mpaka hapo ni ndugu yako huyo ndiye anakukaba usiku, Sana kama wewe i mtu imanni, itumie imai yako imfannye ashidwe na alegee!
Kabla ya kulala usiku oga maji ya chumvi, mwaga chumvi kuzunguka kitanda chako, fanya sala na uome ulinzi wa Mungu!
Unanichanganya jamani[emoji23][emoji23][emoji23] mchawi halaf tajiri tena?Kuna wachawi matajiri ila washirikina wote masikin
Aisee... sema huyu mmama wanasema ni mchawi hapa mtaani kuna story za uomgo ananitungia nimechoka. Yaan mbali na kwamba wachawi wameninyooshaga ila sijisikii kuwaogopa sijuu kwanini[emoji23][emoji23] huyu msambaa huyu ngoja tu. Na mwanae ndo anauzaga bangi na demu wake. Kichwani sijui anavaaga ushanga wa ajabu kweli huyi kijana na ni kibaka. Toka ameanza ukibaka hajawahi kamatwa na akikanatwa anatoroka. Wanasema sijui ana hirizi. **** siki nitamletea pira kijana wake halaf niendelee naye. Yaan sijuu kwann simwogopi[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Niseme ushirikina na umasikini ni kitu kimoja ila uchawi familia kibao tajir masikin labda uzungun tu
Nyamaza tu Kiongozi, maana kama hayakukuta huwezi ijua NGUVU YA MUNGU.acha ulokole njaa huo na hao wachungaji wanaosema wamepambana na wachawi na wenyewe wanawmaisha ya dhambi au vipi..hizi dini ukiziendekeza zinakuharibu physiology kabisa..