Naota mdogo wangu ananikaba usiku. Je, anaweza kuwa mchawi?

Naota mdogo wangu ananikaba usiku. Je, anaweza kuwa mchawi?

Sasa katika thread yako kuna facts kadhaa umeziweka wazi:
1.Umesema kila mkigombana na huyo mdogo wako , Usiku unalo! Hii maake imeshatokea tena na tena ndo mana umeiamii!
2.Umesema ndoto zako wewe uazoota huwa ni za kweli na umetolea mfao wa ndugu yeu aliyefariki mwaka jana!
Basi mpaka hapo ni ndugu yako huyo ndiye anakukaba usiku, Sana kama wewe i mtu imanni, itumie imai yako imfannye ashidwe na alegee!
Kabla ya kulala usiku oga maji ya chumvi, mwaga chumvi kuzunguka kitanda chako, fanya sala na uome ulinzi wa Mungu!
 
Ni muone wivu kwa lipi kwa mfano ?hata kama ndio ningekua na wivu maana mimi na yeye tuna tofauti kubwa sana na nampenda ndugu yangu kuliko unavyo dhani yaani nampenda kuliko hata mama yangu mzazi huwezi amini embu kama huna la kuongea tulia
Then why umhisi uchawi?
 
Mchawi ni mtu mwenyewe vitendea kazi mwenyewe mshirikina ni yule anamshirikisha mganga akuroge
Wow, thank u. Kuna familia mbili hapa mtaani kwetu wanasema.ni wachawi. Na kiukweli ukiangalia maisha yao Mungu awasamehe[emoji23][emoji23][emoji119] kiukweli uchawi na umasikini ni kitu kimoja. Nipate hela nyingi ninunue nyumba ya mmona wapo aondoke abaki mmoja tujikusanye[emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Msaada jamanI

Nina mdogo wangu wa kike ana miaka 18 mwanzo nilikua naota wachawi wanakuja kumuiba nyumban nikawa nikawa namuokoa na kuna siku nilikua nimeenda nyumbani na tulilala wote usiku nikaota ananikaba tulipambana kweli na asubuhi yake nikamwambia kuna mtu kanikaba usiku akaniuliza umemtambua nikamjibu hapana akanyamaza tu na sasa hivi ana jeuri matusi haangaliagi wa kumtukana.

Je, anaweza kuwa mchawi kweli au vipi na sio mimi tu ninaye muota hata ndugu zangu wengine pia yaani mkigombana mchana tu usiku unalo na juzi nimemuuliza kakataa kasema hajui chochote.
Mshana Jr
 
Wow, thank u. Kuna familia mbili hapa mtaani kwetu wanasema.ni wachawi. Na kiukweli ukiangalia maisha yao Mungu awasamehe[emoji23][emoji23][emoji119] kiukweli uchawi na umasikini ni kitu kimoja. Nipate hela nyingi ninunue nyumba ya mmona wapo aondoke abaki mmoja tujikusanye[emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Niseme ushirikina na umasikini ni kitu kimoja ila uchawi familia kibao tajir masikin labda uzungun tu
 
Sasa katika thread yako kuna facts kadhaa umeziweka wazi:
1.Umesema kila mkigombana na huyo mdogo wako , Usiku unalo! Hii maake imeshatokea tena na tena ndo mana umeiamii!
2.Umesema ndoto zako wewe uazoota huwa ni za kweli na umetolea mfao wa ndugu yeu aliyefariki mwaka jana!
Basi mpaka hapo ni ndugu yako huyo ndiye anakukaba usiku, Sana kama wewe i mtu imanni, itumie imai yako imfannye ashidwe na alegee!
Kabla ya kulala usiku oga maji ya chumvi, mwaga chumvi kuzunguka kitanda chako, fanya sala na uome ulinzi wa Mungu!
Kwenye chumvi hapo [emoji849]mmmmh
 
Niseme ushirikina na umasikini ni kitu kimoja ila uchawi familia kibao tajir masikin labda uzungun tu
Aisee... sema huyu mmama wanasema ni mchawi hapa mtaani kuna story za uomgo ananitungia nimechoka. Yaan mbali na kwamba wachawi wameninyooshaga ila sijisikii kuwaogopa sijuu kwanini[emoji23][emoji23] huyu msambaa huyu ngoja tu. Na mwanae ndo anauzaga bangi na demu wake. Kichwani sijui anavaaga ushanga wa ajabu kweli huyi kijana na ni kibaka. Toka ameanza ukibaka hajawahi kamatwa na akikanatwa anatoroka. Wanasema sijui ana hirizi. **** siki nitamletea pira kijana wake halaf niendelee naye. Yaan sijuu kwann simwogopi[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
acha ulokole njaa huo na hao wachungaji wanaosema wamepambana na wachawi na wenyewe wanawmaisha ya dhambi au vipi..hizi dini ukiziendekeza zinakuharibu physiology kabisa..
Nyamaza tu Kiongozi, maana kama hayakukuta huwezi ijua NGUVU YA MUNGU.
 
Back
Top Bottom