Naota mdogo wangu ananikaba usiku. Je, anaweza kuwa mchawi?

Naota mdogo wangu ananikaba usiku. Je, anaweza kuwa mchawi?

Kuna mtu anakuletea Taswira ya mdogo wako ili awagombanishe,, sio kila ndoto niyakuiamini budda
Ni sawa ila swali linakuja kwani wachawi wako dunia ipi na wanapatikana familia zipi?
 
Kama unayaishi maisha ya dhambi hayo ndiyo matokeo yake, Shetani anapata njia rahisi kukuvamia katika shughuli zako za kila siku kuanzia ndoto mpaka utendaji wako kikazi, ili uweze kumkomesha shetani na wakala wake wote,

Cha kufanya sasa ili uikoe nafsi yako.
Tubu dhambi zako zote hata zile ambazo huzikumbuki kwa mwenyeenzi Mungu.

Samehe wote waliokukosea maana usiposamehe huwezi kusamehewa mbele ya Kiti cha ENZI.

Ita ulinzi wa roho Mtakatifu katika maisha yako yote,

Kumbuka kama kuna maagano umewai kufanya kwa waganga wa kienyeji, yakatae kwanza ndipo uje kwa Mungu anaeishi.
acha ulokole njaa huo na hao wachungaji wanaosema wamepambana na wachawi na wenyewe wanawmaisha ya dhambi au vipi..hizi dini ukiziendekeza zinakuharibu physiology kabisa..
 
Utakua unamuoea wivu tu

Kwa ujumla ndoto ya kukabwa inategemea unalalaje na Pia umekula mlo wa mwisho wa usiku saa ngapi

Lazima utakua unachelewa kula na unajaza sana msosi kwenye plate matokeo yake unatesa mfumo wa chakula na wa pumzi

Hakuna mchawi hapo… Bariki mida ya kula usiku na Acha wivu Kwa Mdogo wako
Uwezo wako wa kufikir ndipo ulipo ishia usiyo yaona wewe haimaanishi hayapo mimi na wewe tumeumbwa upeo tofauti hata sikulaum
 
Uwezo wako wa kufikir ndipo ulipo ishia usiyo yaona wewe haimaanishi hayapo mimi na wewe tumeumbwa upeo tofauti hata sikulaum
Badili ratiba ya kula, Acha wivu na punguza ushirikina
 
Badili ratiba ya kula, Acha wivu na punguza ushirikina
Ushirikina umezoea wewe na wivu umezoea wewe me sio mtu wa kufata mambo ya watu ila yakiwa yananihusu basi nitajihusisha kwa sehem yangu harafu nishagundua wewe kipofu usiye jua lolote unajosemesha tu
 
acha ulokole njaa huo na hao wachungaji wanaosema wamepambana na wachawi na wenyewe wanawmaisha ya dhambi au vipi..hizi dini ukiziendekeza zinakuharibu physiology kabisa..
Yes mimi siendekezi dini ninacho kiamini ni mungu pekee sijuagi kuamini wachungaji na never happen
 
Msaada jamanI

Nina mdogo wangu wa kike ana miaka 18 mwanzo nilikua naota wachawi wanakuja kumuiba nyumban nikawa nikawa namuokoa na kuna siku nilikua nimeenda nyumbani na tulilala wote usiku nikaota ananikaba tulipambana kweli na asubuhi yake nikamwambia kuna mtu kanikaba usiku akaniuliza umemtambua nikamjibu hapana akanyamaza tu na sasa hivi ana jeuri matusi haangaliagi wa kumtukana.

Je, anaweza kuwa mchawi kweli au vipi na sio mimi tu ninaye muota hata ndugu zangu wengine pia yaani mkigombana mchana tu usiku unalo na juzi nimemuuliza kakataa kasema hajui chochote.

Kumbe majibu unayo, sasa unataka nini juu ya jambo hilo???
 
Ushirikina umezoea wewe na wivu umezoea wewe me sio mtu wa kufata mambo ya watu ila yakiwa yananihusu basi nitajihusisha kwa sehem yangu harafu nishagundua wewe kipofu usiye jua lolote unajosemesha tu
Then soma title ya hii thread

Ni hivi… wewe una wivu, mshirikina na humpendi ndugu yako

In short hii thread imekuanika

Acha uchawi Dogo… there is more to life that hating your siblings
 
Then soma title ya hii thread

Ni hivi… wewe una wivu, mshirikina na humpendi ndugu yako

In short hii thread imekuanika

Acha uchawi Dogo… there is more to life that hating your siblings
Ni muone wivu kwa lipi kwa mfano ?hata kama ndio ningekua na wivu maana mimi na yeye tuna tofauti kubwa sana na nampenda ndugu yangu kuliko unavyo dhani yaani nampenda kuliko hata mama yangu mzazi huwezi amini embu kama huna la kuongea tulia
 
Jini mwenyewe ndio namaanisha sio hawa binadam wenye majini tena chanzo chake alinipigia simu kilicho fuata ucku [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]siku ya pili siku ya tatu mwendo ule ule mpaka chumba nilikiina kichugu uzur najiamini na namwamini mungu nikasema hapa sishirikishi binadamu mpaka mungu aamue mbona jini alikimbia mwenyewe
Ni Mungu sio mungu
 
Then soma title ya hii thread

Ni hivi… wewe una wivu, mshirikina na humpendi ndugu yako

In short hii thread imekuanika

Acha uchawi Dogo… there is more to life that hating your siblings
Mbona kama unatetea chama nawe umo nini?
 
Back
Top Bottom