Naota nafanya mapenzi

Hili ndo jibu....!
Sina haja kuandika Uzoefu wangu
 
Hii comment ni fungakazi!! Nimecheka mpaka machozi yametoka
 
Kuota unafanya mapenzi (ndoto nyevu) kunapoambatana na kumwaga shahawa ni dalili una sperm count za kutosha, hautakiwi kumind hasa kama unabalehe au umeamua ujiunge kwenye ile challenge ya Nofap.

Hauna shida yoyote, baadae mwili utazoea hizo ndoto zitakata.

Kama kwenye hizo ndoto haumwagi, basi hiyo ni reflection ya mawazo Yako ya ngono
 
Soma; DHAMBI AMBAZO HUWEZI TUBU PEKEAKO BILA KUSHIRIKISHA WATUMISHI WA MUNGU- RABBON
 
Dah! Utakuwa unafaidi sana uwapo ndotoni. 😴
 
Nina mke na watoto watatu mkuu
 
Namwaga kbs na nachukia maana unaamka umelowana kbs . Lkn pia wkt mwingine unakuwa km mnapapasana mimi sipendi sijui nifanyaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…