Naota nafanya mapenzi

Umesema kuna watumishi wa Mungu na mashehe??
 
Namwaga kbs na nachukia maana unaamka umelowana kbs . Lkn pia wkt mwingine unakuwa km mnapapasana mimi sipendi sijui nifanyaje
Umesema una mke, mwambie awe anakuamsha usiku unammwagia ndo unaendelea na usingizi. Thanks.
 
Inabidi ulale room ya peke yako kuepusha kudhalilika...
 
Ogea chumvi kabla ya kulala hizo ndoto zitakata
 
Hujaniwekea namba ya WhatsApp mtumishi nitumie basi.
 
Spending hiyo hali mkuu basi tu
 
Bila
Bilali picha ni uzushi
 
Uko sawa kbs lkn kupata mtumishi wa kweli kwa leo ni kz naambae atakusaidia ningumu kwa sasa
Omba mwenyewe, tatizo watu hatutaki kujifunza principles za maombi....!

Fata Principles omba mwenyewe....!
 
KAMA USHAWAH KUSIKIA JINI MAHABA BAS NDO ILO, UKWELI USIOPINGIKA UNA JINI MAHABA NDUGU YETU, NI JINI ALIYEKUPENDA NA KUKUFANYA WEWE NI MPENZI WAKE, ANAKUFATA USIKU KWENYE NJOZI NA KUKUPA PENZI, ATAKUFANYA USIOE WALA KUOLEWA KWA MWANAMKE, NA UZAZI PIA KUWA MGUMU.

Sent from my CMA-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Hakika unakuwa huna mzuka ata wa kuoa kila mchumba anaepatikana mnapishana pesa hupati hasira kemkem yani she is very messy as f word
 
Du mkuu hii mbona inaonekana ni kweli kabisa
 
Yaani una bahati ya kula raha kwa kufanya mapenzi bila gharama yoyote halafu unalalamika?
 
Izo ni ndoto km ulivyosema ila uko unapotaka kupewa utapewa na utaogopa
Ni vema uache iendelee kua ndoto sabu ni ndoto
Ila kuanza kutafta maana ya ndoto uwo ni uchawi
 
Mkulungwa leo kula Vega na maji mengi sana.Msubiri huyo mjinga anayekuijia ndotoni hatarudia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…